quinta-feira, 30 de março de 2017

MUNGU WA YESU KRISTO NA “PICHA” ZETU ZA MUNGU


Tafakari tarehe 1 Sam 16,1b, 6-7,10-13a; Eph 5,8-14; Jo 9,1-41


     Mungu ambaye Yesu ulionyesha ndiye Mungu wa huruma, Mungu aliyeshughulika na maisha ya binadamu, Mungu wa upendo, Mungu aliye Baba. Lakini mara nyingi tumesikia kwamba “Mungu anaadhibu;” au “Mungu analazimisha kwamba jambo lifanyike kwa njia moja na siyo ya nyingine; au kwamba mtu alimwua mwingine “kwa jina la Mungu;” au mbele ya hali mbaya, mtu anasema “ndiyo mapenzi ya Mungu,” n.k. Je, Mungu huyo tunayezungumzia ni Mungu mmoja aliyefunua Yesu Kristo? Nadhani wakati wa kupata kumjua Mungu vizuri umefika. Hakika “tunajua” mambo mengi kumhusu Mungu kwa njia ya akili; lakini ni lazima “kumjua” hasa kwa njia ya imani. Ninaongea juu ya kitenzi kujua kulingana na hali ya kibiblia, yaani uhusiano wa upendo. Baadhi ya namna za “mapepo” - picha za Mungu – tunaweza kufukuza kwa sala nyingi peke yake.

     Andiko la kwanza anaongea juu ya uchaguzi na upako wa Daudi kama mfalme. Vipimo Vilivyotumika kwa ajili ya jambo hili ni kinyume na matarajio yote ya kibinadamu. Kwa kawaida sisi tunapomtazama mtu tunaangalia hali ya nje ya mwili na kuzingatia nguvu zake; tena tunafikiria uwezo wa kuongea na mambo mengine ambayo yanasababisha mshangao kwetu – hayo ni mambo ya nje tu. Macho ya Bwana yanalenga yule aliye mdogo, asiye na umaarufu na yule mnyenyekevu. Mungu anaona vizuri kwa sababu anaweza kuona linalotokea moyoni mwa watu. Kwa hiyo, mtu anaweza kuona vizuri ikiwa anaweza kuona kama Mungu anavyoona na kisha, tena anaweza kutenda kulingana na moyo wake Mungu. Tunajua kwamba moyo ni mahali muhimu pa maamuzi yetu. Hivyo, ndipo moyoni tunapoamua kuishi kama watoto wa mwanga au watoto wa giza.

      Lakini kabla ya uamuzi wowote, Mt. Paulo anataka tufikirie kwamba tumeangazwa na Kristo ili tuwe na kuisha kama watoto wa mwanga. kwa upande wake, Mungu anatuhakikishia hali ya mwanga, lakini mwendelezo wa hali hii unalitegemea jibu la kila siku. Mimi najiguswa sana na maneno ya Mtakatifu fulani ambaye anasema, “Je, sisi tu ni nani? Sisi tu watoto wa Mungu; na tena, Je, tunakuwa nini? Hili ni jibu letu kwake.” Bila shaka kwamba katika majibu yetu haiwezekani kukosa matunda ya wema, haki na ukweli. Ni vizuri kujua kwamba Mungu ana mpango wa upendo kwa maisha yetu na tena anatupa zawadi zote kwa kutimiza mpango huu. “Yeye anatuambia kwa nabii Yeremia: Je, Efraimu si mwanangu mpendwa, mtoto ninayependezwa naye? Ingawa mara kwa mara ninanena dhidi yake, bado ninamkumbuka. Kwa hiyo moyo wangu unamwonea shauku, nina huruma kubwa kwa ajili yake (Yer 31.20).”

       Katika Yesu, Mungu ana njia maalum ya kuangalia. Yesu anaona mtu aliyezaliwa kipofu na mtazamo wake umejaa upole na huruma. Wakati wengine waliangalia na kumwona mtu aliye na hatia na kuadhibiwa na Mungu, Yesu alimwona mtoto mpendwa wa Mungu, ambaye ana hamu kubwa ya kushiriki kikamilifu katika jumuiya na kuwatambua wengine kama ndugu na dada wa kweli. Swali la wanafunzi linaonyesha mawazo ya mazingira yale ambayo yalifikiria upofu na magonjwa mengine kama adhabu ya Mungu. Yesu hakujibu nini iliyousababisha upofu. Yeye alipendelea kufunua picha ya kweli ya Mungu akiwatunza watu kwa njia ya pekee. Akimponya mtu aliyezaliwa kipofu, Yesu alidhihirisha pia utambulisho wake kama Masihi, kwa sababu kulingana na utabiri wa nabii Isaya Masiha aliyetarajiwa peke yake aliweza kufanya tendo kama hilo (Isa 29:18). Hivyo, maana ya maswali ya Mafarisayo na upinzani wao wa kukubali kwamba tendo hili litoke kwa Yesu.

    Yesu anajifunua kama mwanga wa ulimwengu na kuhakikisha kwamba wale wanaomfuata hawatembei gizani, bali watakuwa na mwanga wa uzima. Kumfuata Yesu ni kutembea katika mwanga. Na kufuata huku hufanyika katika mwendo wa kuangazwa kama ilivyotokea kwa uponyaji wa kipofu yule. Mate ya Yesu yalichanganywa na ardhi yalisababisha hali mpya. Ndio uumbaji mpya kwa yule kipofu kama ilivyotokea katika mwanzo wakati Mungu Alipomwumba mtu kwa udongo na kwa pumzi yake alimletea binadamu uhai. Mate ya Yesu ni ishara ya Neno lake linalotupa mtazamo mpya na hamu ya kutembea. Lakini kutambua kazi hii ya neno lake haitoshi kuwa mwanafunzi wake. Tunapaswa kumtambua yeye kama mtu aliye zaidi ya “binadamu aliyeitwa Yesu” na zaidi ya “nabii.” Yeye ni Kristo wa Mungu naye anataka kujifunua mwenyewe anapokutana na kila mmoja wetu kwa njia ya kibinafsi ili tuweze kumtambua na kumshuhudia. Ndiyo katika sala daima ambayo inatokea utambulisho wa mwanafunzi na Mwalimu wake.


        Kutokana na mwendo huu tunaweza kuchukua mambo matatu muhimu kwa safari yetu. Kwanza, ni kuhusu mtazamo wetu juu ya Mungu. Tunahitaji kurekebisha picha zetu za Mungu. Ndilo kosa kubwa kufikiri kwamba tunaweza kudhibiti Mungu na vipimo vyetu vidogo vidogo. Hatuwezi kuweka mipaka kwa ukarimu wake na huruma yake. Kile tunachohitaji kwa kweli ni kuruhusu Mungu awe Mungu na kutufunulia kwa nguvu zote za upendo wake. Pili, ni kuhusu maono yetu juu ya wengine. Tunapaswa kujifunza kuangalia kwa “mtazamo” wa Mungu, kwa sababu tuna maono yenye upungufu. Wakati tunapoangalia watu sisi huwahukumu na hata tunawaadhibu. Mtazamo wa Mungu hauhukumu wala hauadhibu, bali unamsukuma mtu aende mbele kwa sababu huu ni mtazamo wa upole na huruma. Tatu, ni kuhusu haja ya ushirika kati ya tamani yetu na mapenzi ya Mungu. Mapenzi yake ni “kutubadilisha ili tuwe kama Mwana wake Yesu.” Huu ni mwendo wa muda mrefu unaotokea kila siku kwa kusikiliza Neno lake ambalo linatuita kutubu, linagusa mioyo yetu na kutuimarisha tutende mema.” Hivyo, hatua kwa hatua, tutaponywa juu ya mtazamo wetu wenye upungufu kuhusu Mungu, kuhusu sisi wenyewe na kuhusu wengine.

Fr Ndega

domingo, 26 de março de 2017

O DEUS DE JESUS CRISTO E AS NOSSAS “IMAGENS” DE DEUS


Reflexão sobre 1Sm 16,1b,6-7,10-13a; Ef 5,8-14; Jo 9,1-41


       O Deus que Jesus revelou é o Deus misericórdia, o Deus que se ocupa com a vida humana, o Deus amor, o Deus que é Pai. Mas muitas vezes ouvimos dizer que “Deus castiga”; ou que “Deus exige” que seja feito de um jeito e não de outro; ou ainda, que o fulano matou “em nome de Deus”; ou diante de uma desgraça, alguém diz que “Deus quis assim”, etc. Será que estamos falando do mesmo Deus revelado por Jesus Cristo? Eu penso que já passou da hora de conhecermos melhor a Deus. Como já “conhecemos” muitas coisas sobre Deus à luz da razão, talvez esteja nos faltando “conhece-lo” à luz da fé. Estou falando do conhecer bíblico, isto é, relação pessoal e íntima. Algumas espécies de “demônios” – imagens de Deus - só são expulsas com muita oração.

       A primeira leitura fala sobre a eleição e unção de Davi como rei. Os critérios usados para esta eleição contrariam todos as expectativas humanas. Enquanto olhamos muito para o aspecto físico, e consideramos mais a força, a capacidade de discursar e todo o resto que nos impressiona – e, diga-se de passagem, são apenas aspectos externos – aos olhos do Senhor, conta mais aquele que é insignificante, o menor, o simples, o humilde. Deus vê além porque consegue ver o que se passa dentro do coração das pessoas. Portanto, só consegue ver bem quem consegue ver com o olhar de Deus, e depois, resta só agir segundo o seu coração. Como o coração é o centro das nossas decisões, é ali dentro que decidimos viver como filhos da luz ou filhos das trevas.

     Mas antes de qualquer decisão, São Paulo nos convida a considerar que já fomos iluminados por Cristo para sermos e vivermos como filhos e filhas da luz. Da parte de Deus, a condição de sermos filhos da luz já nos foi garantida, mas a continuidade deste processo é uma resposta cotidiana. Sempre me causou forte impressão a frase de um santo fulano que diz: “O que nós somos? Somos filhos de Deus; e o que nos tornamos? Esta é a nossa resposta a ele”. E claro que nesta nossa resposta não podem faltar os frutos da bondade, da justiça e da verdade. É bom saber que Deus tem um plano de amor para a nossa vida e que nos deu todas as condições para concretizar este plano. Nos diz através do profeta Jeremias, “Ele é para mim um filho tão querido, uma criança de tal modo preferida que cada vez que eu menciono o seu nome penso nele com amor. Por isso meu coração se comove por ele e sinto por ele uma profunda ternura” (Jr 31,20).

         Em Jesus, Deus tem um jeito especial de olhar. Jesus vê um cego de nascença e seu olhar é de ternura e compaixão. Lá onde todos viam um condenado, um castigado por Deus, Jesus vê um filho amado de Deus, que tem um desejo profundo de participar integralmente da comunidade vendo e reconhecendo os demais como verdadeiros irmãos e irmãs. A pergunta dos discípulos revela a mentalidade da época que considerava a cegueira e as outras doenças como uma punição divina. Jesus não responde sobre quem causou tal cegueira. Ele prefere revelar a verdadeira imagem de Deus através de um jeito especial de cuidar das pessoas. Curando o cego de nascença, Jesus revelava também sua identidade de messias, pois segundo uma profecia do profeta Isaias somente o messias esperado era capaz de realizar tal atividade (Isa 29,18). Daí se entende a razão do interrogatório por parte dos fariseus e a resistência deles em aceitar esta ação vinda de Jesus.

    Jesus se revela como luz do mundo e assegura que aqueles que o seguem não caminham nas trevas mas terão a luz da vida. Seguir Jesus é caminhar na luz. E este seguimento se dá numa “progressiva iluminação” [1], assim como aconteceu a cura do cego. A saliva de Jesus misturada com a terra produziu um efeito iluminador, restaurador. É a nova criação acontecendo para aquele cego assim como foi no início, quando Deus plasmou o ser humano do barro da terra e de seu hálito veio a vida. A saliva de Jesus é símbolo da sua Palavra que nos dá nova visão e nos motiva caminhar. Mas reconhecer esta função de sua palavra ainda não é suficiente para ser seu discípulo. É preciso reconhece-lo como alguém que é mais que um “um homem chamado Jesus” e mais que um “profeta”. Ele é o Messias-Cristo de Deus e ele mesmo quer revelar isso no encontro pessoal com cada um de nós para que possamos reconhecê-lo e testemunhá-lo. É no constante cultivo espiritual que se dá a identificação do discípulo com o Mestre.

        De todo este processo, tiramos três importantes conclusões para a nossa caminhada. O primeiro é sobre a visão que temos de Deus. Precisamos corrigir nossas imagens de Deus. É um equívoco pensar que podemos controlar Deus com nossas medidas mesquinhas. Não podemos por limites à sua generosidade e misericórdia. O que precisamos na verdade é deixar Deus ser Deus, permitindo que ele se revele a nós com toda a força do seu amor. O segundo é sobre a visão que temos dos outros. Precisamos aprender a olhar com os “óculos de Deus”, pois temos uma visão deficiente. Quando olhamos as pessoas facilmente as julgamos e até condenamos. O olhar de Deus não julga, não condena, mas motiva a caminhar porque é cheio de ternura e compaixão. O terceiro é sobre a necessidade de sintonizar-nos com o desejo de Deus. O desejo de Deus é “plasmar em nós a imagem e o coração do seu Filho”. Esse é um processo longo que vai acontecendo diariamente através da escuta de sua Palavra que “nos chama à conversão, comove o nosso coração e nos move à ação”. Assim, progressivamente vamos sendo curados de nossa visão deficiente com relação a ele, com relação a nós mesmos e com relação aos demais.


Fr Ndega

[1] Como Comunidades Cristãs, temos iniciado o nosso caminho quaresmal e já passamos da metade. Como todo evento importante pede uma preparação à altura, assim a quaresma é uma longa e frutuosa preparação para celebrarmos bem a Pascoa, evento central da nossa fé. Quaresma nos lembra os quarenta dias de Jesus no deserto, mas também a necessidade de se transfigurar a cada dia numa caminhada de fé vivida intensamente, de reconhecer a verdade da nossa vida acolhendo a verdade de Cristo como fez a samaritana, de vivermos como filhos da luz e crer em Jesus como ressurreição e vida. No início deste caminho penitencial, nós temos recebido as cinzas, que assinalam a necessidade de uma conversão sincera e contínua, seguindo o caminho indicado por Cristo, isto é, o Evangelho.

EL DIOS DE JESUCRISTO Y NUESTRAS “IMÁGENES” DE DIOS


Reflexión sobre 1Sam 16, 1b, 6-7, 10-13ª; Ef 5,8-14; Jn 9,1-41

El Dios que Jesús reveló es el Dios misericordia, el Dios que se ocupa de la vida humana, el Dios amor, el Dios que es Padre. Pero muchas veces escuchamos decir que “Dios castiga”, o “Dios exige” que se haga así… y no de otra manera; o aún, lo que fulano mató en “nombre de Dios”, o delante de una desgracia, alguien dice que “Dios lo quiso así”, etc. ¿Será que estamos hablando del mismo Dios revelado por Jesucristo? Pienso que es hora de conocer mejor a Dios. Como ya “conocemos” muchas cosas sobre Dios a la luz de la razón, tal vez nos esté faltando “conocerlo” a la luz de la fe. Estoy hablando del conocer bíblico, esto es, relación personal e íntima. Algunas especies de “demonios” – imágenes de Dios – sólo son expulsadas con mucha oración.

La primera lectura habla sobre la elección y unción del rey David. Los criterios usados para esta elección contradicen todas las expectativas humanas. Mientras miramos mucho para el aspecto físico, y consideramos más la fuerza y la capacidad de discurso, todo lo que nos impresiona – y, dígase de paso, son apenas aspectos externos – a los ojos del Señor, cuenta más aquel que es insignificante, o menor, el simple, el humilde. Dios ve más allá porque puede ver lo que pasa por dentro del corazón de las personas. Por lo tanto, sólo puede ver bien quien ve con la mirada de Dios, y después, es sólo actuar según el corazón. Sabemos que el corazón es el centro de nuestras decisiones. Por lo tanto, es allí dentro que decidimos vivir como hijos de la luz o hijos de las tinieblas.

Pero antes de cualquier decisión, San Pablo nos invita a considerar que ya fuimos iluminados por Cristo para ser y vivir como hijos e hijas de la luz. Por parte de Dios, la condición de ser hijos de la luz ya está garantizada, pero la continuidad de este proceso es una respuesta cotidiana. Siempre me causó una fuerte impresión la frase de un santo que dice: “¿qué somos? Somos hijos de Dios; ¿y qué nos volvemos? Esta es nuestra respuesta a él”. Y claro que en esta respuesta no pueden faltar los frutos de la bondad, la justicia y la verdad. Es bueno saber que Dios tiene un plan de amor para nuestra vida y que nos dio todas las condiciones para corresponder a este plan. Nos dice a través del profeta Jeremías, “Él es para mí un hijo tan querido, un niño de tal manera preferido que cada vez que menciono su nombre pienso en él con amor. Por eso mi corazón se conmueve por él y siento por él una profunda ternura”. (Jr 31,20).

En Jesús, Dios tiene una manera especial de mirar. Jesús ve un ciego de nacimiento y su mirada es de ternura y compasión. Ahí donde todos veían un condenado, un castigado por Dios, Jesús ve un hijo amado de Dios, que tiene un deseo profundo de participar integralmente de la comunidad viendo y reconociendo a los demás como verdaderos hermanos y hermanas. La pregunta de los discípulos revela la mentalidad de la época que consideraba la ceguera y otras enfermedades como una condenación divina. Jesús no responde sobre quien causó la ceguera, él prefiere revelar la verdadera imagen de Dios a través de una forma especial de cuidar a las personas. Curando al ciego de nacimiento, Jesús revela también su identidad de mesías, pues según una profecía del profeta Isaías, solamente el mesías esperado es capaz de realizar tal actividad (Is 29,18). De ahí se entiende la razón del interrogatorio que hacen los fariseos y la resistencia de ellos para aceptar esa acción que viene de Jesús.

Jesús se revela como luz del mundo y asegura que aquellos que lo siguen no caminan en tinieblas sino que tendrán la luz de la vida. Seguir a Jesús es caminar en la luz. Y este seguimiento se da en una progresiva iluminación, así como sucedió con la cura del ciego. La saliva de Jesús mezclada con la tierra produce un efecto iluminador, restaurador. Es la nueva creación sucediendo para aquel ciego así como fue en el comienzo, cuando Dios creó al ser humano del barro de la tierra y de su aliento vino la vida. La saliva de Jesús es símbolo de la su Palabra que ilumina y hace caminar. Pero reconocer esta función de su palabra todavía no es suficiente para ser su discípulo. Es necesario reconocerlo como alguien que es más que una persona y más que un profeta. Él es el Cristo de Dios y él mismo quiere revelar eso en el encuentro personal con cada uno de nosotros para que podamos reconocerlo y testimoniarlo. Es en el constante cultivo espiritual que se da la identificación del discípulo con el Maestro.


De todo este proceso sacamos tres conclusiones importantes para nuestro caminar. Primero es sobre la visión que tenemos de Dios, necesitamos corregir nuestras imágenes de Dios. Es una equivocación pensar que podemos controlar a Dios con nuestras medidas mezquinas. No podemos poner límites a su generosidad y misericordia. Necesitamos dejar a Dios ser Dios, permitir que él se revele a nosotros con toda la fuerza de su amor. Segundo, es sobre la visión que tenemos de los otros. Necesitamos aprender a mirar con los “anteojos de Dios”, pues tenemos una visión deficiente, cuando miramos a las personas fácilmente las juzgamos y hasta las condenamos. La mirada de Dios no juzga, no condena, sino que motiva a caminar, porque está lleno de ternura y compasión. Tercero, el deseo de Dios es plasmar en nosotros la imagen y el corazón de su Hijo. Ese es un proceso largo, que va sucediendo diariamente a través de la escucha de su Palabra que “nos llama a la conversión, conmueve nuestro corazón y nos mueve a la acción”. Así progresivamente nos vamos curando de nuestra visión deficiente en relación a él, en relación a nosotros mismos y en relación a los demás. 

Fr Ndega
Tradución: Nómade de Dios

IL DIO DI GESÙ CRISTO E LE NOSTRE “IMMAGINI” DI DIO


Riflessione su 1 Sam 16,1b, 6-7,10-13a; Ef 5.8 a 14; Gv 9,1-41


       Il Dio che Gesù ha rivelato è il Dio misericordia, il Dio che si occupa della vita umana, il Dio che è amore, il Dio che è Padre. Ma spesso si sente dire che “Dio punisce”; o “Dio esige” per essere fatto in questo modo... e non il contrario; o ancora, quell’ uomo ha ucciso “in nome di Dio”, o davanti a una disgrazia, qualcuno dice, questo è “volontà di Dio”, ecc. Forse stiamo parlando dello stesso Dio rivelato da Gesù Cristo? Penso che già sia ora di arrivare a conoscere meglio Dio. Come già “conosciamo” molte cose su Dio alla luce della ragione, potrebbe essere mancante “conoscerlo” alla luce della fede. Sto parlando del “conoscere” nel senso biblico, vale dire, relazione personale e intima. Alcune specie di “demoni” - immagini di Dio - sono scacciate solo con molta preghiera.

      La prima lettura parla dell’elezione e l’unzione di Davide. I criteri utilizzati per questo sono contrari a tutte le aspettative umane. Spesso noi guardiamo le persone per l’aspetto fisico, e consideriamo molto la forza, la capacità di parlare e tutto ciò che ci colpisce - e diciamo per inciso, sono solo gli aspetti esterni. Il Signore vede diversamente. Ai suoi occhi, il più importante è il più piccolo, l’insignificante, il semplice, l’umile. Dio vede bene perché vede ciò che accade dentro i cuori della gente. Pertanto, vede bene solo chi vede con gli “occhi” (sguardo) di Dio, per poi agire secondo il suo cuore. Sappiamo che il cuore è il centro delle nostre decisioni; è lì che possiamo decidere di vivere come figli della luce o figli delle tenebre.

     Ma prima di qualsiasi decisione, San Paolo ci invita a considerare che siamo stati illuminati da Cristo per essere e vivere come figli e figlie della luce. Da parte di Dio, la nostra condizione di essere figli della luce è già stata garantita, ma la continuità di questo processo è una risposta di tutti i giorni. Mi hanno sempre colpito le parole di un Santo che dice: “Che cosa siamo? Noi siamo figli di Dio; e che cosa siamo diventati? Questa è la nostra risposta a lui”. Naturalmente, in questa nostra risposta non possono mancare i frutti di bontà, giustizia e verità. È buono a sapere che Dio ha un piano di amore per la nostra vita e ci ha dato tutte le condizioni per realizzare questo piano. Ci dice per mezzo del profeta Geremia: “Non è un figlio carissimo per me Efraim, il mio bambino prediletto? Ogni volta che menziono il suo nome me ne ricordo sempre con affetto. Per questo il mio cuore si commuove per lui e sento per lui una profonda tenerezza" (Ger 31,20).

      In Gesù, Dio ha un modo particolare di guardare. Gesù vede un cieco nato e il suo sguardo è di tenerezza e compassione. Là dove tutti hanno visto un condannato, uno punito da Dio, Gesù vede un figlio amato da Dio, che ha un profondo desiderio di partecipare pienamente alla comunità, vedere e riconoscere gli altri come veri fratelli e sorelle. La questione sollevata dai discepoli rivela la mentalità del tempo che considerava cecità e altre malattie come punizione divina. Gesù non risponde su chi ha causato la cecità. Egli preferisce rivelare la vera immagine di Dio attraverso un modo speciale di cura per le persone. Guarendo un cieco nato, Gesù ha anche rivelato la sua identità di Messia, in quanto secondo la profezia del profeta Isaia solo il messia atteso ha potere di fare tale attività (Is 29,18). Quindi si comprende la ragione delle domande dei farisei al cieco e la loro resistenza ad accettare questa azione fatta da Gesù.

        Gesù si rivela come luce del mondo e assicura che colui che lo segue non camminerà nelle tenebre, ma avrà la luce della vita. Seguire Gesù è camminare nella luce. E questa sequela accade in un’illuminazione progressiva, come è accaduto al cieco. La saliva di Gesù mescolata con la terra ha causato un effetto illuminatore, rigenerante. È la nuova creazione che accade per il cieco come era al principio, quando Dio plasmò l’uomo dall’argilla della terra e dal suo respiro è venuta la vita. La saliva di Gesù è simbolo della sua Parola che ci dà nuova visione e ci motiva a camminare. Ma riconoscere la funzione della sua parola non è sufficiente per essere suo discepolo. Bisogna riconoscerlo come qualcuno che è più di un “uomo chiamato Gesù” e più di un “profeta”. Egli è il Cristo di Dio e vuole rivelarlo nell'incontro personale con ognuno di noi in modo che possiamo riconoscerlo e testimoniarlo. È proprio nella preghiera vissuta in profondità che si dà l’identificazione del discepolo con il Maestro.

         In questo intero processo possiamo giungere a tre importanti conclusioni per il nostro cammino. In primo luogo, si tratta della visione che abbiamo di Dio. Abbiamo bisogno di correggere le nostre immagini di Dio. È un errore pensare che possiamo controllare Dio con le nostre misure piccole. Non possiamo mettere limiti alla sua generosità e misericordia. Dobbiamo lasciare che Dio sia Dio, e che si riveli a noi con tutta la potenza del suo amore. In secondo luogo, si tratta della visione che abbiamo degli altri. Dobbiamo imparare a guardare attraverso gli “occhiali di Dio”, perché abbiamo una visione incompleta. Quando guardiamo le persone facilmente le giudichiamo e anche condanniamo. Lo sguardo di Dio non giudica, non condanna, ma motiva la persona a camminare perché è pieno di tenerezza e compassione. In terzo luogo, si tratta di sintonizzarci con il desiderio di Dio. Il desiderio di Dio è quello di “formare in noi l’immagine e il cuore di suo Figlio”. Questo è un processo lungo che accade ogni giorno attraverso l’ascolto della sua Parola che ci chiama alla conversione, ci colpisce il cuore e ci motiva all’azione. Così abbiamo gradualmente la guarigione della nostra limitata visione su di lui per quanto riguarda noi stessi e in relazione agli altri.

Fr Ndega
Revisione: Giusi


ESTAMOS RODEADOS POR UNA MULTITUD DE TESTIGOS


Una reflexión a partir de Juan 5, 31-47

Jesús vive intensamente la experiencia de ser Hijo amado, comprometiéndose totalmente con el proyecto de Dios. Él es testigo fiel por excelencia. No solamente sus obras testifican esa verdad, sino, principalmente, el Padre. Los Evangelios sinópticos destacan dos momentos significativos donde el Padre declara su amor y predilección por el Hijo, invitándonos a escuchar lo que él dice: en el momento de su bautismo y en la transfiguración. Quien sigue la voz del Hijo obedece a la voluntad del Padre. Él es la verdad de Dios para el ser humano y la verdad del ser humano para Dios. Quien se vuelve su testigo da testimonio de la verdad y quien es de la verdad escucha su voz.

En este sentido, Juan Bautista es presentado como modelo por haber gastado todas sus fuerzas para que el misterio de Dios revelado en Cristo Jesús fuese bien recibido por las personas. Por esta verdad, él dio la propia vida. Aunque Jesús no dependa del testimonio de un ser humano, reconoció su empeño y coraje. Para que nuestro testimonio sea verdadero como el de Juan es fundamental que la experiencia de la Palabra tome vida en nosotros. Cuanto más intensa sea esta experiencia, más eficaz será el testimonio. Ya en la Antigua Alianza muchas personas sensibles a la inspiración divina y atentas a la realidad, se volvieron verdaderos testigos de la Palabra. Así nació el movimiento profético.


La razón de todo el impulso renovador de los profetas estaba en la fidelidad a la Palabra de Dios, vivida de manera radical. Fueron capaces de interpretar los acontecimientos, ayudando al pueblo a no desanimarse en el camino de adhesión a los proyectos de Dios y a mantener firme la esperanza en el futuro. Así como sucedía con los profetas, es necesario que eduquemos nuestra sensibilidad para captar, internalizar y testimoniar la inspiración que viene de Dios. La realización en Cristo de todo lo que los profetas dijeron posibilitó un vigor constante en el testimonio de los mártires y se extiende hasta nuestros días con una multitud de testigos que, en nombre de la fe y por el bien de los demás, donan totalmente sus vidas. Fortalecidos por el Espíritu de Dios, también nosotros somos llamados a ser testigos, llevando nuestra respuesta hasta las últimas consecuencias. 

Fr Nndega
Tradución: Nómade de Dios

domingo, 19 de março de 2017

CHANZO CHA MAJI HAI AMBAYO YANAZIZIMA KIU ZOTE


Kutafakari kuhusu Kutoka 17, 3-7; Yohane 4, 5-42



       Maji ni zawadi ya thamani kubwa mno. Mara nyingi hatuitumii zawadi hii kama ipasavyo. Tunatambua tu umuhimu wa maji wakati tuko bila maji. Maisha ya viumbe vyote yanayategemea maji[1]. Tunajua umuhimu wa kunywa maji mazuri kwa ajili ya kiu na ya afya yetu, sio ukweli? Ingawa maji ni muhimu sana kwa ajili ya kuizima kiu yetu ya kimwili, maji haya hayatoshi kwa ajili ya kiu zingine zinazouhusu mwelekeo wetu wa ndani na wa kiroho, yaani kiu ya upendo, ya haki, ya furaha, ya heshima, na ya ukamilifu. Kwa namna hii ya kiu tunahitaji maji tofauti yaliyo maji hai. Tujiulize maswali, ‘ni nani anaweza kututolea maji haya’ na ‘tunawezaje kuyapata maji haya?’

           Kama tulivyotafakari, nyika ni mahali maalum pa mkutano na Mungu. Wakati huo huo nyikani ndipo mahali pa kujaribiwa. Watu wa biblia walivutiwa jangwani kwa ajili ya uzoefu wa Mungu aliye na uhusiano wa upendo na watu wake. Tukumbuke maneno ya Mungu mwenyewe katika kitabu cha nabii Hosea: “Kwa hiyo angalia, mimi nitamvutia, na kumleta nyikani, na kusema naye maneno ya kumtuliza moyo (Hos 2,14).” Vivyo hivyo Yesu alipojifunua kwa mwanamke Msamaria jangwani alimwambia, Mimi ninayesema nawe, ndiye (Yoh 4,26).”

         Mungu wetu ni “Mungu wa neno” na kuongea na watu wake moyo kwa moyo kwa sababu moyo ndio mahali pa uamuzi. Ndipo moyoni mwao ambapo Mungu aliweka kiu na njaa ya kulisikiliza Neno lake (cf. Am 8,11). Mara nyingi, kosa la utambuzi liliwaongoza kumwacha Mungu ili kuifuata “miungu mingine”. Mungu aliwatolea maji kwa ajili ya kiu ya mwili, lakini alitaka kuonyesha kwamba kuwepo kiu ya ndani kabisa waliyopaswa kugundua pole pole, yaani kiu ya kumjua Mungu vizuri na ya kuiamini riziki yake. Ufundishaji wa jangwa ulikuwa nafasi pia ya kutambua kuwa ndiye Mungu peke yake chemchemi ya maji hai kwa ajili ya kiu yao na sio miungu.

           Ufundishaji huu wa kimungu ni wazi sana pia katika mkutano wa Yesu na mwanamke Msamaria. Mwanamke huyo alifika kisimani katika saa sita mchana, yaani saa isiyo ya kawaida. Labda aliepuka kukutana na wengine ambao walimkosoa na kumdharau kwa sababu ya maisha yake yenye makosa mengi. Huu ni mkutano wa ajabu kwa maana Yesu ni Myahudi na, kulingana na andiko hili Wayahudi hawachangamani na Wasamaria[2]. Kweli, “Yesu amevunja ukuta uliokuwepo na uliomtenga yeye na yule mwanamke Msamaria. Anataka kutuonyesha kuwa Mungu hatumii vipimo vya wanadamu.”

         Yesu anapatikana kwa mkutano huu kwa ajili ya kumsaidia mwanamke huyo kugundua tena furaha ya kuishi. Kweli, mwanamke huyo hakuwa na mume wala heshima wala furaha. Kwanza kabisa, Yesu anamwomba maji, bali sio kwa ajili ya kiu ya kimwili. Je, ilikuwa kwa kiu gani?  Kulingana na Mt Agustino, “Yule ambaye aliomba maji alikuwa na kiu ya imani ya mwanamke Msamaria.” Yesu alimwomba maji kwa sababu alitaka kutoa maji tofauti na mazuri zaidi, ndiye yeye mwenyewe. Basi, kwa njia maalum na kwa uvumilivu, Yeye alimwongoza mwanamke atofautishe kati ya ‘kiu ya mwili’ na ‘kiu ya uzima.’ 

             Yesu aliyajua makosa mengi ya mwanamke Msamaria, lakini hakumhukumu kwa maana ya hayo. Yeye alipendekeza maisha mapya ambayo yanaanza moyoni. Kama mwanamke huyo hakumjua Yesu, alihitaji mwendo pole pole na hatua kwa hatua ili kumwamini na kuruhusu kuongozwa naye. “Kwanza alimwita Yesu Myahudi (Yoh 4:9); pili alimwita Yesu Bwana (Yoh 4:11.15); tatu, nabii (Yoh 4,19), nne, Kristo (Yoh 4, 25-26.28-29)[3].” Mwanamke Msamaria alifanya ugunduzi mkubwa wa maisha yake. Haraka ya kutangaza habari hii njema ilimfanya aache mtungi wake ulio mfano wa kuacha shida zake, vidonda vyake, ukabila, hofu, uasherati, aibu. yule mwanamke ambaye hakuwa mkweli aliweza kuwa shahidi wa ukweli. Maisha yake yaliyokuwa maana ya kashfa, kutoka hapo yalikuwa msaada kwa ajili ya kuwasaidia wengine katika imani.

           Mkutano wa Yesu na mwanamke Msamaria ni mfano wa uzoefu wetu wa Mungu. Huu ndio mkutano na huruma ambayo inamzaa mtu tena ili awe shahidi wa huruma huu. Kama tulivyotafakari, sisi tu “watafuta wa Mungu” tangu kuzaliwa kwetu kwa sababu Yeye mwenyewe aliweka moyoni mwetu tamani (kiu) kwa ajili yake. “Ikiwa tunamtafuta Mungu ni kwa sababu yeye alitutafuta kwanza (Kitabu cha Wimbo Ulio Bora).” Kwa maneno mengine, tamani yetu ya Mungu ndiye Mungu mwenyewe anayetamani ndani yetu. Hivyo, mwanamke Msamaria ambaye hana jina ni sisi sote tunayovutiwa kukutana na Mungu katika saa na mahali pasipotarajiwa. Anakuja kukutana nasi katika hali ya maisha yetu - yenye haja na udhaifu - na kutaka kuongea nasi moyo kwa moyo.

      Anatutafuta tunapopotea (tukumbuke pia uzoefu wa “mwana mpotevu”) naye hatuhukumu kwa sababu ya makosa yetu, bali anataka tukubali pendekezo lake la maisha mapya. Mwendo huu ni wa muda mrefu lakini ndio ufanisi hasa tunapokiri ukweli wa maisha yetu na kukubali ukweli wa Yesu. Ikiwa ninabaki kufungwa bila kukiri udhaifu wangu tena itakuwa ngumu kufanya uzoefu wa kweli wa Mungu. Yeye anapatikana kama chanzo cha “maji hai” ambayo yanazizima kiu zote. Kwa hivyo, tukubali maji haya yametolewa na Kristo ili sisi pia tuweze kuwa chanzo cha maji yanayobubujika kwa uzima wa milele.   

Fr Ndega





[1] Katika sayari yetu maji yako zaidi kuliko ardhi (71%).  Maisha ya sayari unayategemea maji. Kuna maji misituni, katika wanyama, mwilini mwetu na kadhalika. Maji yanarudisha upya, yanasafisha, yanatakasa na kutoa uhai.
[2] “Tunayo historia ndefu ya chuki na uadui kati ya Wayahudi na Wasamaria ambayo imedumu hata leo. Wote wanamkiri mhenga mmoja katika Imani yaani Ibrahimu, na wote wana vitabu vitano vya kwanza katika Biblia takatifu ambavyo vinaitwa ‘Torati’… Baada ya kifo cha mfalme Sulemani, palitokea ugaidi mnamo mwaka 933 K.K uliosababisha kutengana kwa falme za kaskazini-Israeli na ufalme wa kusini-Yudea. Mji mkuu wa ufalme wa kaskazini ulikuwa Samaria na ule wa ufalme wa kusini ulikuwa Yerusalemu. Ufalme wa kaskazini ulistawi Zaidi ya ufalme wa kusini. Mwaka 722 K.K Wasiria waliuteka nyara. Waliwachukua mateka viongozi muhimu wa ufalme huo na kuwateua wageni kuwa viongozi wa watu. Hatimaye, wageni hao walioana na wenyeji wa Samaria. Kizazi Kilichofuata kilikuwa si kizazi halisi cha Wasamaria. Ndiyo maana Wasamaria wanadharauliwa na Wayahudi wa Yudea (R. BAAWOBR. Injili ya Mathayo: kwa ajili ya jumuiya ya Kikristu. Nairobi: Paulines, p. 38-39).”
[3] Id. Ibid., p. 39.

SORGENTE DI ACQUA VIVA CHE SAZIA TUTTE LE SETE


Riflessione su Esodo 17, 3-7; Giovanni 4, 5-42


           L’acqua è un dono molto prezioso. Spesso, però, non lo usiamo nel modo migliore. Riconosciamo l’importanza dell’acqua solo quando ci manca. Tutta la vita del pianeta dipende dall’acqua. Ma qui vogliamo riflettere sulla un’altra acqua perché anche se l’acqua naturale è molto importante per la nostra sete fisica, non è soddisfacente per altre seti che ci portiamo dentro come desideri profondi, vale dire sete di amore, di giustizia, di felicità, di rispetto, di pienezza. Per questo tipo di sete abbiamo bisogno un’acqua diversa, un’acqua viva. Proviamo a domandarci: ‘Chi può darci quest’acqua? ’ e ‘come possiamo acquistare questa acqua? ’

          Come abbiamo già riflettuto, il deserto è un luogo speciale di incontro con Dio. Nel frattempo deserto è anche luogo di tentazione. Il popolo di Israele è stato attirato nel deserto per l’esperienza di Dio che ha un rapporto d’amore con il suo popolo. Ricordiamo queste parole del libro del profeta Osea: “Perciò, ecco, io la sedurrò, la condurrò nel deserto e parlerò al suo cuore” (Os 2,16). Cosi anche Gesù quando si è rivelato alla Samaritana nel deserto, disse: “Sono io che parlo con te (Gv 4,26)”.

          Il nostro Dio è il “Dio della parola” e decide di parlare al suo popolo da cuore a cuore, perché il cuore è il luogo della decisione. È nel cuore che Dio ha messo la sete e la fame della sua Parola (cfr Am 8,11). Spesso, la mancanza di discernimento su questa realtà ha permesso al popolo di lasciare Dio per seguire “altri dei”. Attraverso il dono dell’acqua per saziare la loro sete nel deserto Dio ha voluto anche rivelare l’esistenza di una sete più profonda che loro dovevano scoprire a poco a poco, cioè, la sete di conoscere meglio Dio e credere nella sua provvidenza. La pedagogia del deserto è stata anche la possibilità di riconoscere che solo Dio è la sorgente di acqua viva per la loro sete, non altre divinità.

         Questa pedagogia divina è molta chiara anche nell’incontro di Gesù con la Samaritana. La donna è venuta al pozzo a mezzogiorno, che è un’ora improbabile per quella regione arida. Forse lei stava evitando di incontrare coloro che conoscevano la sua situazione di molti errori e per questo la criticavano e disprezzavano. Questo è stato un incontro fantastico, stupendo perché Gesù era un Ebreo e, secondo questo testo, i Giudei non hanno rapporti con i Samaritani. In realtà, Gesù ha tolto il muro esistente tra lui e la Samaritana. Egli vuole mostrarci che Dio non usa le misure umane.

            Gesù ha pensato questo incontro per aiutare la donna a riscoprire la gioia di vivere. Veramente, lei non ha marito, né dignità e neanche felicità. Gesù aspetta lei in “quella situazione” che fa parte del suo quotidiano.  Prima di tutto, egli chiede l’acqua, ma non per la sua sete fisica. Quale era la sua sete? Secondo Sant’ Agostino, “Colui che ha chiesto l’acqua aveva sete della fede della donna samaritana.” Ha chiesto acqua perché voleva offrire l’acqua viva, che è lui stesso. Poi, in un modo stupendo la condusse a distinguere tra ‘sete del corpo’ e ‘sete di vita.” Interessante è che alla fine di tutto questo processo, nessuno dei due ha preso dell’acqua del pozzo.

       Gesù aveva conoscenza dei molti errori della donna Samaritana, ma non l’ha condannata a causa di questo. Egli ha proposto una nuova vita e questa doveva iniziare nel suo cuore. Come lei non lo conosceva, aveva bisogno di una lenta e progressiva apertura del cuore per arrivare alla fiducia in lui, permettendogli di essere guidata e trasformata. “In primo luogo egli chiama Gesù l’Ebreo (Gv 4, 9); in un secondo momento lo chiama il Signore (Gv 4, 11.15); nel terzo, il profeta (Gv 4,19) e nel quarto in poi, il Cristo (Gv 4, 25-26.28-29)”. Questa donna ha fatto la grande scoperta della sua vita. La fretta ad annunciare questa buona notizia agli altri l’ha fatta lasciare la sua anfora, cioè, ha lasciato i suoi problemi, le sue ferite, la paura, la prostituzione, la vergogna. La donna che non era una persona vera è diventata una testimone della verità. La sua vita era motivo di scandalo, ma adesso è uno strumento utile per aiutare gli altri nel cammino della fede.

          Questo incontro di Gesù con la donna Samaritana parla molto della nostra esperienza di Dio. È stato l’incontro con la misericordia che fa rinascere la persona al punto che anche essa diventi misericordiosa. Come abbiamo meditato, siamo “cercatori di Dio” dalla nascita. Egli ha messo nel nostro cuore il desiderio di lui. “Se noi cerchiamo Dio è perché egli ci ha cercato per primo” (Cantico dei Cantici). Così, quella donna, che non ha un nome, siamo tutti noi chiamati ad incontrare Dio nell’ora e nel posto più improbabile della nostra giornata. Egli viene a trovarci nella nostra personale situazione con i nostri bisogni e debolezze e vuole parlare con noi cuore a cuore.

           Dio ci cerca dove eravamo perduti (ricordiamo qui l’esperienza del figlio prodigo) e lui non ci giudica a causa dei nostri errori, ma spera che possiamo accettare la sua proposta di una nuova vita. Questo movimento è lungo, ma è efficace specialmente quando riconosciamo la verità della nostra vita e accettiamo la verità che è Gesù. Se io rimango chiuso senza ammettere le mie debolezze sarà molto difficile fare una vera esperienza di Dio. Lui rivela se stesso come sorgente di “acqua viva” che sazia tutte le seti. Pertanto, accogliamo questa acqua che è fornita da Cristo in modo che anche noi possiamo diventare una fonte d’acqua che scaturisce per la vita eterna..

Fr Ndega
Revisione: Giusi

domingo, 12 de março de 2017

NUESTRO CAMINO DE LA FE ES UNA INVITACIÓN A UNA TRANSFIGURACIÓN CONSTANTE


Reflexión sobre Génesis 12, 1-4ª; Mateo 17, 1-9

El camino de aquellos que creen en Dios está lleno de sentido, porque caminan en la esperanza de la vida eterna. El ser humano es un “buscador de Dios” desde su nacimiento. Después de cada paso, estamos invitados a dar el siguiente, pues, existe dentro de nosotros una fuerza que nos empuja para adelante, diciéndonos que el “horizonte todavía no llegó”, pero es necesario continuar caminando. A lo largo del camino hay muchas cosas que debemos dejar, ya que cada nueva etapa de nuestra vida nos lleva a adquirir (nuevas) cosas.

Para alcanzar la finalidad plena de nuestras vidas, no necesitamos prisa, sino una decisión que, acompañada por la fe, encuentre la dirección correcta, pues, aquel que nos invita a iniciar la gran “aventura de vivir”, en verdad nos está atrayendo a sí mismo, de acuerdo con el teólogo Agustín, que dice: “oh Dios, vos nos hiciste para ti, y nuestro corazón vive inquieto hasta descansar en ti”. Fijando nuestra mirada en Jesús, que se transfigura, es fácil entender el verdadero sentido de nuestra vida y también del universo entero. Es en esta perspectiva que estamos invitados a reflexionar sobre la invitación que Dios hace a Abraham para que vaya a una “tierra desconocida” y la invitación de Jesús a sus discípulos de andar junto a él “en la cima de la montaña”.

Abraham es conocido como “nuestro padre en la fe”, porque él fue la primera persona que creyó contra toda expectativa humana. Él fue invitado a iniciar un viaje. Él no sabía dónde debía llegar, pero eligió creer en Dios y aceptar su promesa como garantía para “cargar” en el viaje. Todas las cosas dichas por Dios se volvieron realidad, porque es fiel Aquel que promete. Abraham no estaba caminando solamente en busca de la realización de un proyecto personal de vida, sino – principalmente - para hacer la voluntad de aquel que lo llamó. Esta realidad nos hace recordar el estribillo de un canto muy conocido en Brasil, que dice así: “feliz es quien parte, quien anda, y quien va, con la seguridad delante y la historia en las manos. Feliz es quien cree en las promesas del Padre y consagra su vida en favor de los hermanos”. Puede ser nuestro camino no es tan diferente que el de Abraham, tal vez lo que nos está faltando es aquella fe que él tuvo.

El evento de la transfiguración de Jesús se dio seis días después de haber revelado que debía sufrir, morir y resucitar. Al mismo tiempo, él invitó a sus discípulos a unirse a él en esta causa a través del “negarse a sí mismo, cargar con la propia cruz y seguirlo”. Verdaderamente, esto fue contra todas sus expectativas sobre el hombre que ellos habían conocido como el Cristo de Dios. Aunque Jesús había hablado también el tema de la “resurrección”, sus corazones ya estaban invadidos por la terrible noticia de su muerte y no podían entender muy bien.

Entonces, Jesús decidió invitar a algunos para acompañarlo a la cima del Monte Tabor. Este caminar “transfiguró” la visión de ellos. Allá en la montaña, Jesús fue transfigurado delante de ellos, él mostró un poco de su gloria y la realidad futura de aquellos que lo siguen fielmente. Jesús los invita a hacer la experiencia de lo “alto” para que pasen a ver a partir de lo “alto” y poder asimilar el sentido de su entrega y la realidad que son llamados a asumir en identificación con el Maestro. En realidad, “Jesús no necesitó cambiar en nada, lo que él cambió fue la visión de ellos sobre Jesús”.

La presencia de Moisés y Elías nos recuerda la referencia de la revelación del Antiguo Testamento. Ambos hablan con Jesús, mostrando que no hay ruptura entre la enseñanza de ellos y la de Jesús, sino conexión y continuidad. Aunque la enseñanza de Jesús sea continuidad, la voz que viene de la nube da testimonio de que él es quien tiene autoridad de enseñar e interpretar correctamente lo que ha sido dicho por los “ancestrales”. Así, el padre testificó sobre su Hijo, presentándolo como referencia en nuestra vida, esto es “este es mi hijo amado, escúchenlo”. Todos están invitados a escucharlo. Escuchar es un verbo muy significativo en la experiencia bíblica. Esta es la actitud correcta del judío fiel delante de la Palabra de Dios, asumiendo el compromiso de practicar lo que escuchó, entonces, escuchar tiene toda relación con el vivir.


“Ellos desean permanecer en la montaña, pero una voz del cielo los invitó a escucharlo y obedecerle”. Muchas veces Dios nos invita a hacer experiencia de su presencia como sucedió con Abraham, o como aquellos en la montaña, por ejemplo, participar en las celebraciones, en momentos de oración, retiros, etc. Experiencias como estas fortalecen nuestra fe y nuestro celo por la Obra de Dios. Naturalmente nosotros no queremos que esas experiencias lleguen al final, por lo tanto, nuestro camino de fe no está hecho solamente de “escalar montaña” (experiencia espiritual personal) sino también de “bajar de la montaña” (experiencia fraterna). Todos los días estamos invitados a hacer “experiencia de transfiguración”, a través de la escucha y de la práctica de la Palabra de Jesús. Esa experiencia nos ayuda a descubrir los rostros desfigurados de muchos hermanos/as a nuestro alrededor y tener para con ellos los mismos sentimientos y actitudes de Cristo. “Escuchar su Palabra nos da fuerza para seguirlo hasta el fin”. Entonces, tenemos aquí la forma acertada de ser y vivir como “hijos/as amados/as” de Dios.

Fr Ndega
Tradución: Nómade  de Dios

SAFARI YETU YA IMANI NI MWALIKO WA KUGEUKA SURA DAIMA


Kutafakari kuhusu Mwanzo 12: 1-4a; Mathayo 17:1-9

Safari ya wale wanaomwamini Mungu ina maana kwa sababu wanatembea kwa tumaini la kuishi milele. Binadamu ni “mtafuta wa Mungu” tangu kuzaliwa kwake. Baada ya kila hatua, tunaalikwa kuendelea kwenye nyingine maana hamu fulani ndani yetu inatuimarisha kusonga mbele na kutuambia, “upeo wa macho bado”, lakini ni lazima kuendelea kutembea. Kuna mambo mengi ya kuacha kwa sababu kila hatua mpya ya maisha yetu inatuongoza kuchukua mambo mapya.

Ili tufikie lengo kamili la maisha yetu hatuhitaji haraka bali uamuzi ulioandamana na imani unakuta mwelekeo wake kamili kwa sababu yule anayetualika kwa “tukio la kuishi” anatuvutia kwake kweli, kulingana na Mt. Augustine anayesema, “Ee Mungu, umetufanya kwa ajili yako na mioyo yetu inahangaika hadi ikapumzike kwako”. Tukimwangalia Yesu anayegeuka sura ni rahisi kuelewa maana ya kweli ya maisha yetu. Hivyo ndivyo tunaalikwa kuelewa mwaliko wa Mungu kwa Ibrahimu kwenye hali isiyojulikana na mwaliko wa Yesu kwa wanafunzi wake waandamane naye kwenye mlimani.  

Ibrahimu anafahamika kama “baba yetu katika imani” kwa sababu alikuwa wa kwanza aliyesadiki tofauti kabisa na matarajio ya kibinadamu. Yeye alialikwa kuacha yote na kufunga safari. Hakujua mahali ambapo alipaswa kufika, hata hivyo aliamua kumwamini Mungu na kuzikubali ahadi zake kama kipimo katika safari yake. Mambo yote yaliyosemwa na Mungu yalitimia kwa sababu ni mwaminifu yule aliyeahidi. Ibrahimu alisonga mbele sio kwa ajili ya kutimiza mpango wake wa kibinafsi tu bali pia kwa kufanya mapenzi ya yule aliyemwalika kufunga safari. Safari yetu siyo tofauti na ile ya Ibrahimu. Labda tunahitaji imani kama vile yake.

Tukio la kugeuka sura kwa Yesu kulitokea baada ya siku sita ya ufunuo kuhusu mateso, kufa na kufufuka kwake. Wakati huo huo aliwaalika wanafunzi wamfuate kwa “kujikana wenyewe, kuuchukua msalaba wao na kumfuata Yesu.” Kweli mambo hayo yalikuwa dhidi ya matarajio yao yote kuhusu mtu huyo waliyetambua kama Kristo wa Mungu. Hata yeye aliongea kuhusu kufufuka kwake, lakini mioyo yao ilikwisha sumbuliwa nao hawakuweza kuelewa vizuri. Basi, Yesu aliwaalikwa baadhi ya wanafunzi waandamane naye kwenye Mlima Tabor. Safari hii ilibadilisha mtazamo wao. Huko mlimani Yesu aligeuka sura mbele yao. Yesu aliwaonyesha kidogo utukufu wake na hali ijayo ya maisha ya wale wanaomfuata kwa uaminifu. Yesu aliwaalika kwa uzoefu wa juu ili waone kwa mtazamo wa juu na kuweza kuona vizuri hali ya kujisalimisha kwake na hali ambayo waliakwa kuichukua kama ahadi na Mwalimu wao.

Uwepo wa Musa na Elia unaeleza kuhusu rejeo la ufunuo katika Agano la Kale. Wote wawili waliongea na Yesu wakionyesha kwamba hakuna kupasuka kati ya mafundisho yao na yale ya Yesu, bali uhusiano na mwendelezo. Lakini kulingana na sauti iliyosikika kutoka kwenye wingu, ingawa mafundisho ya Yesu ni mwendelezo, ndiye yeye kwa uwezo wa kufundisha na kutafsiri kamili yale yaliyosemwa na mababu wa zamani. Baba alishuhudia kuhusu Mwana wake, akimuweka kama rejeo la maisha yetu, yaani, “Huyu ni Mwanangu mpendwa, msikilizeni”. Wote wanaalikwa kumsikiliza[1]. Kusikiliza katika Biblia ni kitenzi chenye nguvu sana. Hii ni tabia kamili ya Myahudi mbele ya Neno la Mungu, akifanya mazoezi kuhusu yale aliyosikia. Basi, kusikiliza kuna uhusiano wa kidani na kushika/kutenda.

“Wanatamani kubaki mlimani, lakini sauti inatoka mbinguni iliwaalika kumsikiliza na kumtii Yesu.” Mara nyingi Mungu anatualika kufanya uzoefu wa uwepo wake kama ilivyotokea na Ibrahimu ama kama vile wale kwenye mlimani. Mfano, tunaposhiriki katika sherehe fulani ama siku za maombi na kadhalika. Uzoefu kama huu unaiimarisha imani yetu na hamu yetu kwa ajili ya kazi ya Mungu. Kwa kawaida tunataka uzoefu huu uwe wa muda mrefu. Lakini safari yetu yapaswa kutendeka kati ya “kupanda mlimani” (mfano wa uzoefu wa Mungu wa kibinafsi) na “kushuka milimani” (mfano wa changamoto za undugu na kazi). Kila siku tunaalikwa kufanya uzoefu wa “kugeuka sura” kwa kusikiliza Neno la Yesu na kufanya mazoezi kuhusu Neno hili. Uzoefu huu unatusaidia kutambua nyuso bila heshima za ndugu wengi kandokando yetu na kuona hisia na tabia za Kristo kwa ajili yao. “Kusikiliza neno lake kunatupatia nguvu ya kumfuata mpaka mwisho.” Hii ni njia kamili ili tuwe pia “wana wapendwa” wa Mungu.


Fr Ndega


[1] Yesu ni ufunuo wa kipekee wa Mungu. Hakuna mwingine ambaye aweze kumdhihirisha Mungu kama Yesu alivyo. Kweli Mungu aliongea wakati wa zamani kwa mababu zetu. Lakini “siku hizi” mambo yote ambayo Mungu anaendelea kudhihirisha kwa watu anafanya kwa Mwanawe Yesu Kristo. Hata wale ambao hawamjui Yesu wanapokea ufunuo wa Mungu kwa njia yake. Katika kila ndugu ambaye wanamsaidia wanaweza kukutana na Kristo ambaye alijitambulisha na walio na mahitaji mengi (cf. Mt 25,31-46). Kipimo ni upendo/huruma. Matendo yao ya huruma yanaongelea Kristo.

OUR JOURNEY OF FAITH IS INVITATION TO A CONSTANT TRANSFIGURATION


Reflection on Genesis 12: 1-4a; Matthew 17: 1-9

        The journey of those who believe in God is full of meaning, because they walk hoping to get eternal life[1]. The human being is a “God’s seeker” since his birth. After each step, we are invited to take the following one, because there is within us a force that pushes us forward, telling us that the “horizon has not yet arrived,” but it is necessary to continue walking. Along the way, there are many “things” to be left, because each new stage of our life leads us to find new “ones”.

     To reach the full purpose of our lives, we do not need to hurry, but of decision that accompanied by faith, finds in God its correct direction. He, who invites us to begin the great “adventure of living”, is truly attracting us to himself, according to the theologian Augustine, who said, “O God, you have made us for your sake and our heart lives restless until it rests in you.” By fixing our gaze on Jesus, who was transfigured on the mount, it is easy to understand the true meaning of our life and the whole universe with us[2]. It is in this perspective that we are invited to reflect on God’s invitation to Abraham to go to an ‘unknown land’ and the invitation of Jesus to his disciples to walk with him to the ‘top of the mountain’.

       Abraham is known as “our father in the faith” because he was the first person to believe against all human expectations. He was invited to start a trip. He did not know where to go, but he chose to believe in God and accept his promise as a guarantee during the journey. All things that God said have come true, for he who promised is faithful. Abraham was not only seeking to achieve a personal project of life, but - and especially - to do the will of the one who called him. This reality makes us to remember the refrain of a very beautiful song composed in Brazil, which says, “Happy is who leaves, who walks and who goes; Sureness in the front and history in the hands. Happy is he who believes in the promises of the Father and consecrates his life for the sake of the brothers.” Then, our journey is not so different from that of Abraham. Maybe what we lack is that faith he had.

      The event of Jesus’ transfiguration occurred six days after he revealed that he should suffer, die, and be raised from the dead. At the same time, he invited his disciples to join him in this cause by “denying themselves, bearing their own crosses and following him.” Truly, this was against all their expectations about the man they had recognized as the Christ of God. Although Jesus had also spoken on the resurrection’s issue, their hearts were troubled by the terrible news of his death and they could not understand well.

      Then, Jesus decided to invite some of them to accompany him to the top of Mount Tabor. This journey “transfigured” their vision. There on the mountain, Jesus was transfigured before them. He showed a little of his glory and the future reality of those who follow him faithfully. Jesus invites them to an experience of the “high” so that they can see from the “high” and be able to assimilate the meaning of his surrender and the reality they are called to assume in identification with their Master. In fact, “Jesus did not have to change anything in himself; what changed was their vision of Jesus.”

     The presence of Moses and Elijah evokes the reference of revelation in the Old Testament. Both spoke with Jesus showing that there is no rupture between their teaching and that of Jesus, but connection and continuity. However, although Jesus’ teaching is continuity, the voice from the cloud testified that it is he who has the authority to teach and interpret correctly what was said by the Ancestors. Thus, the Father testified about his Son, presenting him as the reference in our life, that is, “This is my beloved Son, listen to him.” All are invited to listen to him[3]. Listening is a very significant verb in biblical experience. This is the correct attitude of the faithful Jew before the Word of God, assuming the commitment to put into practice what he heard. Therefore, listening is linked with living.

       “They wish to remain on the mountain, but a voice from heaven invited them to listen to him and obey him.” Many times God invites us to experience His presence as it happened to Abraham, or like those on the mountain, for example, to participate in the Celebrations, in moments of prayer, retreats, etc. Experiences like these strengthen our faith and zeal for the Work of God. Of course, we want these experiences should take long. However, our journey of faith is not only about “mountain climbing” (symbol of personal spiritual experience), but also about “descending from the mountain” (to face the challenges of fraternal and missionary experience). Every day we are invited to experience “transfiguration” through listening and practicing the Word of Jesus. This experience helps us to perceive the disfigured faces of many brothers and sisters around us and to have toward them the same feelings and attitudes of Christ. “Listening to His Word gives us the strength to follow Him to the end.” Then, here we have the proper way to be also “beloved children” of God.

Fr Ndega



[1] Here I make a reference to the author L. Wittgenstein in his reflection on the mystical and religious factor in the human being. According to him, "to believe in God is to understand the question of the meaning of life. To believe in God is to affirm that life has meaning. About God, who is beyond this world, we cannot speak. Moreover, on what we cannot speak, we must keep silent "(Tractatus, 7). This thought is completed with the statement of Ernest Bloch, quoted by LB in his article “The religion as a source of saving utopias”, which says: “Where there is religion, there is hope.”
[2] It is opportune to cite here a fragment of a great theologian who continues helping us with his profound reflections in non-ecclesial sectors: “Jesus is only the first of many brothers and sisters; Also humankind, the earth and the universe itself will be transfigured to be the Body of God. So, our future is the transfiguration of the universe and all that it contains, especially the human life... Maybe this is our great hope, our absolute future.” (LB)
[3] Jesus is the greatest revelation of God. No other can reveal God as he does. In fact, God spoke to our Ancestors in the past. Therefore, “in these days,” all that God continues revealing to the people, he does it through his Son Jesus. Even those who do not know Jesus receive the revelation of God through him. In that brother whom they can help because they are needy, they can meet Christ, who has identified himself with the needy of all times (Mt 25, 31-46). The measure is love/compassion. Their acts of compassion speak of Christ.