sábado, 27 de outubro de 2018

IMANI YETU INATUFANYA (INATUZUIA) KUONA NINI?


Kutafakari kutoka Yer 31,1-7; Wab 5,1-6; Mk 10, 46-52


     Kifungu cha Yeremia ni mwaliko wa furaha kwa sababu Bwana anapanga kutenda mambo ya ajabu katika maisha ya watu wake: hakika, kazi hii imekwisha anza. Yeye ndiye Baba amejaa upendo kwa ajili ya watu wake, hasa kwa ajili ya wadogo na wasio na nguvu miongoni mwetu. Yeye huvutia kwake kila anayeishi ili kufanya uzoefu wa wokovu wake kwa sababu “upole wake unafikia kila kiumbe.” Anatuambia leo: “Wewe ambaye husikiliza, wewe unayeteseka, wewe unayependa nawe unayesali, wewe ni mwanangu mpendwa, binti yangu mpendwa!” Mbele ya Mungu ambaye anatenda hivyo kwa ajili yetu, tabia yetu lazima kuwa ya amini kabisa, tukiacha nafasi kwa tendo la neema yake katika maisha yetu, yaani, kuruhusu Mungu awe Mungu ndani yetu.

       Kifungu cha waraka kwa Wayahudi kinaleta mfano wa kuhani ambaye amechaguliwa miongoni mwa watu na kufanya wakfu kwa manufaa yao. Yeye amevaa udhaifu na kwa hivyo anaweza kuhisi huruma kamili kwa ajili ya wanaokosa. Ukweli huu inamzungumzia Yesu Kristo, Kuhani wa kweli, ambaye “anakusanya katika nafsi yake udhaifu wa mtu na nguvu ya kufanya upya wa Aliye juu.” Yeye hakujitukuza nafsi yake kufanywa kuhani mkuu” bali ndiye Baba aliyemtukuza. Sisi pia tangu ubatizo wetu katika Kristo, tuko na heshima ya kikuhani iliyo huduma ya wokovu. Kwanza ya yote hii ni zawadi ya Mungu nasi mbele ya hali hii tunapaswa kujibu kwa uaminifu na furaha. Tunasaidiwa na neema yake na jumuiya ya imani ili tuweze kuishi wito wetu kama zawadi kwa ajili ya wengine.

        Kifungu cha injili anaongelea kuponywa kwa Bartimayo na, basi, ufunuo wa Yesu kama mwanga ambaye anatupa mtazamo mpya. Muujiza huu ulitokea wakati Yesu alikuwa anaondoka mji wa Yeriko, yaani, katika pembezoni. Yeriko ni mmoja miongoni mwa miji ya zamani ulimwenguni. Mji huu ni eneo la baadhi ya matukio makuu ya biblia; hata katika muda wa Musa iliongelewa kuhusu mji huu. Tukumbuke “kuzingirwa na kuchukuliwa kwa Yeriko” na Waisraeli katika wakati wa Yoshua (Yoshua 6, 1-27). Tukumbuke pia Zakayo; mabadiliko ya maisha yake yalitokea katika Yeriko. Mji huu ni karibu na mto Yordano na Yesu alipita mahali huko mara nyingi. Andiko la siku ya leo linaongea kuhusu mkutano wa Yesu na kipofu Bartimayo, aliyeketi kando ya barabara ya mji. Hakika alikwisha amesikia kuhusu Yesu na alitaka sana nafasi ya kukutana naye. Lakini hakujua kwamba Yesu pia alitaka kukutana naye ili kumwongozea njia mpya ya kuishi. Kisha, nafasi imefika! Shauku ya kipofu ilikuwa kubwa sana hata hakuna mtu aweze  kumnyamazisha.

        Kilio cha kipofu ni kilio cha kila binadamu ambaye anajua udhaifu wake mwenyewe na kuhusu mahitaji ya huruma ya Mungu. Kipofu ni ishara ya kivuo dhahiri cha ndugu zetu wengi walio waathirika wa udhalimu na kosa la usawa wa kijamii. Ni nafasi ya kutambua kwamba watu wengi wanaanguka au wameachwa barabarani ama katika mahusiano yetu. Wanapaza sauti kwa huruma na kwa nafasi kwa sababu wanaamini kwamba wale ambao wanajiona kuwa wafuasi wa Yesu wanaweza kusikiliza sauti yao na kuwatendea mema. Yesu alisikia si kilio cha kipofu tu, bali pia kilio cha wale ambao walimwambia kipofu “anyamaze”!, wakionyesha kutojali. Yesu analaumu kutojali kwa sababu kunaharibu undugu na kukana utambulisho wa mwanafunzi wa kweli.  

     Hakika jibu la Yesu linaonyesha mchanganyiko wa huruma na hasira, kwa sababu alikuwa akishughulika kwa upofu wa aina mbili tofauti, yaani, upofu wa Bartimayo na upofu wa umati wa watu ambao walikuwa wakimfuata Yesu bila ushirika na hisia zake. Je, ni nani ana upofu zaidi, yule aliye kipofu asili au wale ambao hawapati kuona walio na mahitaji kandokando yao? Hata hivyo kuna tumaini, kwa sababu miongoni mwa wale ambao walimwambia kipofu “nyamaze!” walikuwapo wengine ambao walimwambia “jipe moyo, anakuita! Yeye hajakusahau wala hawaachi wale ambao wanamwamini”. Sauti hizi ni za watu ambao wanachukua ujumbe wa kinabii na kupata kuwahamasisha waliokata tamaa. Ni ishara pia ya walio vyombo vya Mungu katika maisha ya yeyote anayetaka kugundua wito wake ili aweze kumjibu Mungu kulingana na matarajio yake.

     Yesu ambaye tunamfuata ni mwenye hisia sana. Ana macho na masikio yalio makini sana kwa hali halisi ya watu. Anatualika kuwa na hisia sawa naye. Mara nyingi sisi tu kama kipofu huyo, yaani, tunahitaji na kutarajia mkutano wa mabadiliko ya maisha ili kuona vizuri kile kinachotokea kandokando yetu na kumfuata Yesu ambaye analeta maana mpya kwa maisha yetu. Tena mara nyingi sisi ni kama wengine karibu na Yesu, lakini mbali sana na ndugu, waliofungwa kwa hali iliyo kandokando yetu na hata tunafikiri kwamba tuna mamlaka ya kuwaambia wengine: “mnyamaze”. Hapo tuko na kosa kubwa. Tunapaswa kuwa macho kwa baadhi ya uzoefu wa sala ambao unatufungua kwa Mungu lakini unatufunga kwa wengine. Ikiwa imani yetu haituongozi kukutana na wengine wala haitufanyi wenye huruma, mbele ya mateso na mahitaji yao, imani ni kipofu, ni udanganyifu na kuhitaji kupona. Mungu atupatie neema ya imani ya kweli na halisi.

Fr Ndega

COSA LA NOSTRA FEDE (NON) CI FA VEDERE?



Riflessione a partire di Ger 31,1-7; Eb 5,1-6; Mc 10, 46-52


     Il brano di Geremia è un invito alla gioia perché il Signore sta per compiere un’opera stupenda nella vita del suo popolo; anzi, quest’opera è già cominciata. Egli è un padre pieno di tenerezza per il suo popolo, specialmente per i più deboli tra noi. Egli attira a sé ogni vivente per fare sperimentare la sua salvezza perché “la sua tenerezza abbraccia ogni creatura”. Egli ci dice oggi: “tu che ascolti, tu che soffri, tu che ami, tu che preghi, tu sei mio figlio prediletto, mia figlia prediletta!” Davanti a un Dio che agisce così nei nostri confronti, il nostro atteggiamento deve essere di totale fiducia, lasciando spazio all’azione della sua grazia nella nostra vita, cioè, lasciando che Dio sia Dio in noi.

     Il brano della Lettera agli Ebrei ci porta l’immagine del sacerdote che è scelto fra gli uomini e costituito per il bene degli uomini. Lui è rivestito di debolezza e per questo è in grado di sentire giusta compassione per coloro che commettono errori. Questa realtà parla proprio della identità di Gesù Cristo, vero sacerdote, che “riunisce nella sua persona la debolezza dell'uomo e la potenza rinnovatrice dell'Altissimo”. La dignità di sommo sacerdote non si dà da se stesso, ma l'ha ricevuta dal Padre. Anche noi a partire dal nostro battesimo, abbiamo in Lui una dignità sacerdotale che è servizio alla salvezza. Essa è prima di tutto un dono, un’iniziativa di Dio a cui noi dobbiamo rispondere con fedeltà e gioia. Siamo aiutati dalla sua grazia e dalla comunità perché possiamo vivere la nostra vocazione come un dono per gli altri.

        Il brano del vangelo parla della guarigione del cieco Bartimeo e, quindi, la rivelazione di Gesù come luce che ci dà nuova visione. Questo miracolo è avvenuto mentre Gesù usciva dalla città di Gerico, cioè, nella periferia. Questa è una delle città più antiche del mondo. È stata scenario di alcuni importanti eventi biblici; anche nel tempo di Mosè si parlava di questa città. Ricordiamo il blocco e la presa di Gerico da parte degli Israeliti sotto la guida di Giosuè (Gio 6, 1-27). Ricordiamo anche l’evento di Zaccheo: il cambiamento della sua vita è successo proprio a Gerico. Questa città è vicina al fiume Giordano e Gesù l’ha visitata molte volte. In una di queste ha avuto un incontro con il cieco Bartimeo che era seduto lungo la strada a mendicare. Certamente questo cieco ha sentito parlare più volte di Gesù e desiderava molto una opportunità di incontrarlo. Ed ecco l’opportunità è arrivata! L’entusiasmo di Bartimeo è stato tale che non c’era nessuno che potesse farlo tacere: “Gesù, figlio di Davide, abbi pietà di me!”. Gesù si commosse e lo chiamò. Il cieco gettò via quello che gli dava sicurezza e con un salto andò verso Gesù e guarito, lo seguì.

      Il grido di Bartimeo è il grido di ogni uomo consapevole della sua debolezza e quindi bisognoso della misericordia di Dio. La situazione del cieco è simbolo della esclusione evidente di molti nostri fratelli e sorelle vittime dell’ingiustizia e della disuguaglianza sociale. Questa è una opportunità per riconoscere che molte persone sono “cadute” o state abbandonate lungo le vie per cui passiamo. Loro gridano per misericordia e opportunità perché credono che coloro che dicono di essere seguaci di Gesù possano ascoltare la loro voce e fare loro del bene. Gesù ha sentito non soltanto il grido del cieco ma anche il grido di coloro che hanno detto al cieco: “taci!”, dimostrando indifferenza dinanzi alla sua situazione. Gesù condanna l’indifferenza perché distrugge la fraternità e nega l’identità del vero discepolo.  

       Certamente la risposta di Gesù è stata un misto di misericordia e indignazione perché si trovava dinanzi a due cecità: la cecità di Bartimeo e la cecità della gente che lo seguiva ma senza comunione con i suoi sentimenti. Dobbiamo domandarci: chi è cieco di più, colui che è cieco dalla nascita o coloro che non riescono a vedere o percepire i bisogni di coloro che vivono accanto a sé?  Per fortuna tra quella gente c’erano anche altri che hanno detto al cieco: “Coraggio! Alzati, Egli ti chiama! Egli non si è dimenticato di te né abbandona coloro che confidano in lui!” Queste voci esprimono l’atteggiamento di persone che assumono l’impegno di motivare coloro che sentono difficoltà a credere a causa di qualche delusione o mentalità opposta alla fede. Queste voci sono anche segno degli strumenti che Dio usa per farsi sentire nella vita e nel cuore di coloro che sono in ricerca della loro vocazione perché siano consapevoli della chiamata divina nelle sue scelte fondamentali. 

      Il Gesù che seguiamo è molto umano. Ha gli occhi e le orecchie attenti alla situazione della gente. Egli ci invita ad avere la stessa sensibilità. Spesso siamo come il cieco Bartimeo, cioè, abbiamo difficoltà a vedere bene e cerchiamo una opportunità, un incontro che ci trasformi veramente al fine di vedere chiaramente ciò che sta accadendo intorno a noi e seguire Gesù che porta un nuovo senso alla nostra vita. Ma alle volte siamo anche come la folla che seguiva Gesù: ci sentiamo molto vicini a lui ma lontani dai fratelli e sorelle che convivono con noi e addirittura pensiamo di avere l’autorità di dire agli altri: “dovete tacere!”. Secondo il vangelo di oggi, siamo dinanzi a un grande equivoco. Dovremmo essere attenti a certe esperienze che ci aprono a Dio, ma ci chiudono agli altri. Se la nostra fede non ci conduce agli altri né ci rende compassionevoli dinanzi ai dolori altrui, questa fede è cieca. Non ci fa vedere bene. Ha bisogno di essere evangelizzata (guarita). Chiediamo a Dio la grazia di una vera fede.

Fr Ndega 
Revisione dell'italiano: Giusi

O QUE NOSSA FÉ (NÃO) NOS FAZ VER?



Reflexão a partir de Ger 31,1-7; Eb 5.1-6; Mc 10, 46-52


        O texto de Jeremias é um convite à alegria porque o Senhor está prestes a realizar uma obra maravilhosa na vida do seu povo. Na verdade, esta obra já começou a muito tempo. Ele é um Pai cheio de ternura para com o seu povo, especialmente para os mais fracos e necessitados entre nós. Ele atrai a si cada ser que vive para experimentar a sua salvação porque a “sua ternura abraça toda criatura”. Ele nos diz hoje: “você que escuta, você que sofre, você que ama e você que reza, você é meu filho amado, minha filha amada!” Diante de um Deus que age assim no relacionamento conosco, nossa atitude deve ser de total confiança, deixando espaço para a ação de sua graça em nossas vidas, isto é, deixando Deus ser Deus em nós.

     O trecho da carta aos Hebreus nos traz a imagem do sacerdote como alguém que é escolhido do meio do povo e constituído para o bem do povo. Ele traz em si as fragilidades da condição humana e por isso é capaz de sentir a compaixão pelos que erram. Esta realidade fala muito da identidade de Jesus Cristo, verdadeiro Sacerdote, que “reúne em sua pessoa a fraqueza do ser humano e a força renovadora do Altíssimo”. A dignidade de sumo sacerdote, ele não se dá de si mesmo, mas a recebeu do Pai. Nós, também, a partir do nosso batismo, temos em Jesus uma dignidade sacerdotal comum que é um serviço à salvação. Essa é, antes de tudo, um dom, uma iniciativa de Deus a qual devemos responder com fidelidade e alegria. Somos ajudadas pela sua graça e pela Comunidade, para podermos viver a nossa vocação como um dom para os demais.

      O evangelho fala da cura do cego Bartimeu e da revelação de Jesus como luz para que tenhamos nova visão. Este milagre aconteceu quando Jesus saia da cidade de Jericó e, portanto, na periferia. Esta é uma das cidades mais antigas do mundo. Foi cenário de importantes acontecimentos bíblicos. Já na época de Moisés se falava desta cidade. Lembramos do cerco e da tomada de Jericó pelos Israelitas sob a guia de Josué (Jos 6, 1-27). Lembremos também do evento Zaqueu: a transformação de sua vida aconteceu em Jericó. Esta cidade está perto do rio Jordão e Jesus passou por lá muitas vezes. Em uma dessas ele se encontrou com o cego Bartimeu que estava sentado ao longo da estrada mendigando. Certamente Bartimeu ouviu falar muito de Jesus e desejava uma oportunidade para encontrá-lo. Então, a oportunidade chegou! Jesus estava passando e Bartimeu estava atento à sua passagem. O entusiasmo do cego era tal que ninguém pôde calar o seu grito: “Jesus, Filho de Davi, tem piedade de mim!” Jesus se compadeceu e o mandou chamá-lo. O cego jogou fora o que lhe dava “segurança” e com um salto acolheu o invito de ir até Jesus. Uma vez curado, descobriu que a sua vocação era seguir o mestre Jesus.

     O grito de Bartimeu é o grito de cada ser humano consciente de sua realidade frágil, pecadora e, portanto, necessitada da misericórdia de Deus. A situação deste cego é símbolo da exclusão gritante de muitos de nossos irmãos e irmãs, vítimas da injustiça e da desigualdade social. Esta é uma boa oportunidade para reconhecer que muitas pessoas estão “caídas” ou foram abandonadas ao longo do caminho por onde passamos e em nossas famílias. Elas clamam por misericórdia e oportunidade porque acreditam que aqueles que se dizem seguidores de Jesus podem ouvir suas vozes e fazer algo por elas. Interessante é que Jesus estava atento não somente ao grito do cego, mas também ao grito daqueles que diziam ao cego: “Cala-te!” Jesus sempre condenou a indiferença, que destrói a fraternidade e nega a identidade do verdadeiro discípulo. 
 
     Certamente a resposta de Jesus foi uma mistura de misericórdia e indignação, porque ele estava lidando com duas cegueiras: a cegueira de Bartimeu e a cegueira das pessoas que lhe seguiam, mas sem a devida comunhão com seus sentimentos. Devemos perguntar-nos: quem é mais cego, aquele que é cego de nascença ou aqueles que não conseguem ver ou perceber as necessidades daqueles que vivem em torno a eles? Mas, felizmente, entre essas pessoas que seguiam Jesus, podemos reconhecer também outras que dizem ao cego: “coragem! Levanta-te, ele te chama! Ele não se esqueceu de você nem abandona aqueles que confiam nele!” Essas vozes expressam a atitude das pessoas que assumem o compromisso de motivar aqueles que sentem dificuldades para crer por causa de alguma desilusão ou mentalidade oposta à fé. Estas vozes são também símbolo dos instrumentos que Deus usa para se fazer sentir na vida e no coração daqueles que estão buscando descobrir a sua vocação para que sejam cientes do chamado divino quando devem fazer as escolhas fundamentais para a própria vida.  

     O Jesus a quem seguimos é muito humano. Ele tem os olhos e os ouvidos muito atentos à situação do povo. Ele nos convida a ter a mesma sensibilidade. Somos muitas vezes como o cego Bartimeu, ou seja, temos dificuldade para ver bem e por isso buscamos uma oportunidade, um encontro que realmente transforme a nossa vida, a fim que possamos ver claramente o que está acontecendo ao nosso redor e seguir Jesus que traz um novo sentido para a nossa vida. Também muitas vezes somos como a multidão que seguia Jesus: nos sentimos muito próximos de Jesus, mas longe dos irmãos e irmãs que convivem conosco e até pensamos que temos autoridade para dizer aos outros: “calem a boca!”. De acordo com o Evangelho de hoje, estamos diante de um grande equívoco. Devemos estar atentos a certas experiências de oração que nos abrem a Deus, mas que nos fecham aos outros. Se a nossa fé não nos conduz aos demais, nem nos faz sentir compaixão diante dos seus sofrimentos e necessidades, esta fé é cega, ou seja, não nos faz ver bem. Ela precisa ser evangelizada (curada). Que Deus nos dê a graça de uma verdadeira fé.

Fr Ndega

domingo, 21 de outubro de 2018

“CHI NON VIVE PER SERVIRE NON SERVE PER VIVERE”



Riflessione su Is 53, 10-11; Eb 4, 14-16; Mc 10, 35-45

      La vita di chi serve gli altri secondo la carità di Cristo è piena di senso perché fa sperimentare la vera gioia. La persona realizzata non è chi è pieno di titoli e successi ma chi ha imparato a fare della vita dono per gli altri con umiltà e pazienza. Così dice San Paolo: “Non fate nulla per rivalità o vanagloria, ma ciascuno di voi, con tutta umiltà, consideri gli altri superiori a se stesso. Ciascuno non cerchi l’interesse proprio, ma anche quello degli altri” (Fl 2, 3-4). Vive veramente chi serve agli altri non chi si serve degli altri. Qui vale questa massima: “chi non vive per servire non serve per vivere”.

         È proprio su questo che ci fa riflettere la liturgia di questa domenica. La prima lettura, dal profeta Isaia, è tratta da uno dei cantici del “servo del Signore”. Secondo questo brano, il servo è una persona veramente realizzata perché ha saputo dare un vero senso alla sua vita donandosi per gli altri. La sua esistenza vale molto agli occhi del Signore e tutto ciò che fa ha lo scopo di rivelare la volontà di Colui che lo ha costituito suo servo. A causa della sua fedeltà al Signore che lo ama e gli è vicino, molte persone saranno salvate. La comunità cristiana vede in questo servo il proprio Gesù, che con la sua vita e missione rivela agli uomini il progetto salvifico del Padre. Secondo la Lettera agli Ebrei, Gesù è il sacerdote di cui abbiamo bisogno, qualcuno come noi, che prende su di sé le nostre debolezze - fuorché il peccato - per mostrarci la via per resistere alle suggestioni del male e accettare di vivere aiutati dalla grazia di Dio.

       Nel Vangelo due dei discepoli di Gesù andarono da lui per fargli una richiesta. Volevano che nella sua gloria, potessero occupare i posti principali, vale a dire, uno alla sua destra e l’altro alla sua sinistra. Questa richiesta dimostra che non hanno capito nulla sull’identità e la missione del loro maestro. È importante ricordare che questa sconvolgente situazione si è verificata dopo che Gesù aveva rivelato per la terza volta il mistero della sua pasqua, la sua passione e morte e alla fine la gloria per la risurrezione. In un altro momento, mentre Gesù parlava di questi eventi importanti, i discepoli discutevano su chi dovrebbe essere il più grande tra di loro. Così dimostravano che le loro aspettative e il loro modo di pensare erano ancora lontani dalla proposta di Gesù. Egli, dopo aver capito che questa mentalità era presente anche negli altri richiamò a sé i dodici per riportarli all’essenziale della sua sequela.

        I due discepoli di Gesù erano affamati di protagonismo, successo, fama e desiderio di dominio. Anche gli altri dieci cercavano le stesse cose e non volevano rimanere indietro. Stavano impostando la loro vita in una direzione totalmente opposta alla proposta del loro maestro. In altre parole, avevano un progetto di vita molto chiaro da compiere, ma avevano scelto la persona sbagliata da seguire per compiere questo progetto. Davanti a questa divisione nel gruppo a causa della competizione per essere il primo e comandare, Gesù li chiama a sé come la prima volta, correggendo quello che non va: “Egli rimuove l’idea che hanno costruito su loro stessi” e su di Lui. Gesù usa questa opportunità per riprendere con loro le condizioni per essere veri discepoli.

        Essi dovranno capire che lui ha una scelta e una logica diversa da quella del mondo. “Nel Regno di Gesù, coloro che hanno autorità esistono non per sfruttare gli altri o dipendere dall'onore e dal servizio del popolo, ma i capi sono i servi del popolo”.  Il punto di riferimento di tutto questo si trova nella vita stessa del maestro Gesù: “Il Figlio dell’uomo non è venuto per essere servito, ma per servire e dare la sua vita in riscatto per molti”. Non c'è altro modo per trovare il senso vero della vita. Chiunque decida di seguire Gesù non può continuare a pensare e ad agire come prima. La nuova condizione di persona richiede dal discepolo/a un atteggiamento diverso.

       “Gesù trovò una forte resistenza a Gerusalemme che gli costò il perdere la vita. Ma quello che Gesù sperimenta è un servizio d’amore per il suo popolo (Mc 10:45)”. È attraverso la fede in Cristo e l’ispirazione della parola di Dio che chiunque può affrontare le avversità, rifiuti e sofferenze senza rinnegare la sua fede. Quindi, vivere o coltivare la vocazione di servo con fedeltà non è molto facile, perché ci sono alcune realtà che fanno opposizione alla nostra decisione, vale a dire, la mentalità attorno a noi contraria alla proposta del Vangelo, l’incomprensione dei propri familiari, la tendenza umana che dentro di noi ci porta a cercare di essere serviti piuttosto che servire, la mancanza di una fede forte e la perseveranza nel fare del bene, ecc. Tutte queste cose fanno parte del nostro cammino insieme al nostro desiderio profondo di fedeltà a Colui che ci ha affidato una missione.

       Ma non possiamo dimenticare che non camminiamo da soli. Colui che accetta “donarsi come dono a tutti gli uomini" è il nostro esempio e ci assicura il suo aiuto perché possiamo perseverare nel servizio agli altri anche in mezzo alle prove. Se è l’amore quello che dà senso alla vita, non c’è un altro modo di vivere con senso se non attraverso un servizio umile e generoso agli altri come una forma concreta di amare e come identificazione con Colui che “morto e risorto per noi, si offre alla nostra libertà e la provoca a cercare, scoprire e annunciare questo senso vero e pieno”.

Fr Ndega 
Revisione dell'italiano: Giusi

sábado, 20 de outubro de 2018

UKUU WA KWELI NI KUTUMIKIA KWA UNYENYEKEVU NA UKARIMU



Kutafakari kutoka Is 53, 10-11; Waeb 4, 14-16; Mk 10, 35-45

     Maisha ya yule ambaye anamtumikia Bwana yana maana kubwa. Yote ambayo anafanya yalenga kufunua mapenzi ya Yule ambaye alimwalika kuwa mtumishi wake. Kwa sababu ya kujisalimisha kwake kwa upendo watu wengi wataokolewa (andiko la kwanza). Huyo ndiye Kuhani mkuu ambaye tunahitaji, yaani mtu kama sisi, ambaye anachukua hali yetu ya udhaifu - ila dhambi – ili kutuonyesha njia kamili ya kushinda hali hii na majaribu yote yanayotuzuia kuonja neema ya Mungu na kuishi kulingana na mapenzi yake (andiko la pili).

         Katika injili, ndugu wawili, yaani Yakobo na Yohane walimwendea Yesu na kumwomba kitu. Walitaka kuketi mmoja mkono wake wa kuume na mwingine mkono wake wa kushoto katika utukufu wake. Ombi hili linadhihirisha kwamba wanafunzi wake walishindwa kufahamu utambulisho na utume wa Mwalimu wao. Ni muhimu kukumbuka kwamba hali hii ilitokea baada ya ufunuo wa Yesu kuhusu mambo yatakayomtokea yeye katika Yerusalemu, yaani mateso, kifo na kisha kufufuka. Katika kipindi kingine, wakati Yesu alipoongea kuhusu matukio muhimu hayo, wanafunzi walijadiliana kuhusu ni nani ndiye mkuu kati yao, wakionyesha kwamba mawazo na matarajio yao yalikuwapo bado mbali sana na pendekezo la Mwalimu Yesu. Hivyo, yeye alipaswa kuwa na uvumilivu sana mbele ya ugumu wa wale aliowachagua kama washirika. Hata hivyo, aliweka halisi daima masharti ya kumfuata. 

         Kwa wanafunzi wa Yesu, sehemu muhimu ya tangazo lake ndio utukufu kwa sababu walitafuta kuwa wahusika wakuu. Wengine kumi walikasirika kwa sababu walitafuta mambo sawa na wote wawili nao hawakukubali kubaki nyuma. Kwa maneno mengine, wote walikuwa wazi katika kutafuta kwao, yaani walitafuta msimamo, umaarufu na upendeleo, lakini walichagua Mtu sio kamili wa kumfuata ili kutimiza lengo hili kwa sababu mantiki ya Yesu ni tofauti. Mbele ya hali hii ya mgawanyiko kwa sababu ya ghasia ya rejeo la maisha, Yesu aliwaalika tena kama mara ya kwanza na kusahihisha matarajio yao potovu: “anaondosha fikra zao walizojijengea wenyewe.” Njia ya maisha yake ina mwelekeo tofauti na wa dunia. “Katika ufalme wa Yesu, wale walio viongozi hawapo ili kuwanyonya wengine au kutegemea heshima na utumishi kutoka kwa watu wao, bali viongozi ndiyo huwa watumishi wa watu.”

       Basi, mantiki ya Yesu ndiyo mantiki ya utumishi unaokuta katika maisha yake rejeo lake: “Mwana wa Mtu hakuja kutumikiwa, bali kutumikia na kutoa maisha yake kuwa fidia ya watu wengi.” Hali hii ambayo ilishirikisha maisha yake wakati wote inakuwa ni rejeo kwa maisha ya wale ambao wanatamani kumfuata kwa uaminifu: “Yeyote anayetaka kuwa mkuu kati yenu sharti awe mtumishi wa wote; na anayetaka kuwa wa kwanza kati yenu sharti awe mtumishi wenu.” Hakuna njia nyingine ili mtu aweze kupata maana kamili ya maisha. Yeyote anayeamua kumfuata Yesu hawezi kuendelea kufikiri na kutenda kama mtu wa zamani.

        “Yesu anakumbana na upinzani mkali huko Yerusalemu na kumfanya apoteze maisha yake. Lakini jambo hilo Yesu anaona ni huduma ya upendo kwa watu wake (Mk 10:45).” Ndiyo kupitia imani katika Kristo na msukumo kutoka Neno lake kwamba yeyote anaweza kukabiliana na taabu, kukataa na mateso bila kukata tamaa. Hivyo, kuishi au kulima wito wa mtumishi kwa uaminifu sio rahisi kwa sababu kuna vitu vingi dhidi ya uamuzi wetu, yaani mawazo kandokando yetu kwa kawaida ni tofauti na pendekezo la injili; upinzani kutoka kwa wengine hata familia; mwelekeo wa kibinadamu ambao ndani yetu unatuimarisha kutafuta kutumikiwa badala ya kutumikia; kutokuwa na imani yenye nguvu na kosa la uvumilivu katika matendo mazuri, n.k.

        Vitu hivi vyote ni sehemu ya safari yetu pamoja na hamu yetu ya kumfuata Yesu kwa uaminifu. Lakini hatusahau kwamba hatutembei peke yetu. Yule aliyekubali “kujitoa kama zawadi kwa watu wote” ndiye mfano wetu na kutuhakikishia msaada wake ili tudumu katika utumishi kwa ajili ya wengine hata mbele ya kutokuelewana na taabu. Ikiwa ndio upendo ambao unatoa maana ya maisha, hakuna njia nyingine ya kuishi kwa maana ila kupitia utumishi kwa unyenyekevu na kwa ukarimu kwa wengine ulio maonyesho halisi ya upendo na utambulisho na Yule ambaye “alikufa na kufufuka kwa ajili yetu, inatoa mwenyewe kwa uhuru wetu na kuuimarisha kutafuta, kugundua na kutangaza maana hii ya kweli na kamili.”

Fr Ndega


sábado, 6 de outubro de 2018

“BILA UAMINIFU HAKUNA FURAHA”



Kutafakari kuhusu Mw 2: 18-24 Mk 10: 2-16


         Mwanzoni mwa injili ya leo Yesu alikuwa akiwafundisha watu kama ilivyokuwa desturi yake. Ghafla baadhi ya Mafarisayo walimwendea wakimjaribu. Jambo lilikuwa kuhusu talaka. Yesu aliitambua nia yao mbaya, lakini aliwatendea mema, akiwasikiliza kwa utulivu na kuthamini juhudi zao za kumwuliza maswali. Katika mazungumzo na Yesu shida yao ya pekee ilikuwa mtazamo upungufu kuhusu ndoa na familia. Yesu alisahihisha mtazamo huo, akiwakumbusha mpango wa kiasili wa Mungu kwa mwanamume na mwanamke. Aliongea pia kuhusu uzinzi kama matokeo ya talaka na kuonyesha uhusiano maalum na watoto wadogo ambao wanastahili kuheshimiwa na kuthaminiwa ili waweze kukua kwa usalama na furaha.

      Baadhi ya Mafarisayo wanatumia sheria ya Musa kumjaribu Yesu. Kulingana na mawazo yao, Sheria hiyo inaruhusu talaka, lakini Yesu anayakataa hayo. Kwa nini Yesu ana msimamo tofauti kwa uhusiano na jambo hili la Sheria? Kulingana na Kitabu cha Kumbukumbu la Sheria, sura 24, mwanamume aliweza kumpatia mkewe talaka ikiwa hakupendezwa naye kwa sababu ameona kwake kitu kisichofaa. Mwanamke alikuwa na nafasi chache za kutoa talaka kwa mmewe, mfano mwanaume akiugua ukoma. Katika mazingira haya hali ya mwanamke ilikuwa ngumu sana kwa sababu daima alionewa na daima alitegemea huruma tu ya mwanamume. Lakini Yesu aliwasaidia kufikiri vizuri kwa sababu Sheria zimewekwa kwa manufaa ya watu na si watu kwa ajili ya sheria.

        Msimamo wa Yesu ni wazi sana. Yeye alikuja kudhihirisha mpango wa kiasili wa Mungu na kulingana na mpango huu, wote mme na mke wameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu na Mungu ameweka upendo asili unaowafanya watamaniane na hatimaye kuwaacha wazazi wao, kuungana na kuwa mwili mmoja. Jambo hili linaonyesha kuwa mwanaume hana haki ya kuamua atakavyo kwa mkewe, mfano kumwacha mke wake kwa muda wowote anaotaka. Hivyo kuungana kwao kunamaanisha kuwa hawawezi kuachana au kutenganishwa. Lengo kuu la Yesu, ni kukarabati nafasi ya mwanamke ulioharibiwa na sheria. Kulingana na Yesu Mwanamke ana haki ya kuheshimiwa katika maisha ya ndoa na si kutendewa na kumilikiwa kama chombo tu. Nia ya Mungu ni kuwa mume na mke waendelee kukua katika upendo na kupata uzima wa milele. Nasi tunaweza kuushiriki pia mpango huu wa kuishi maisha ya umoja katika familia na jumuiya zetu.

      Thamani ya kibinadamu ya kupenda na kupendwa ni maana ya uzoefu wa ndoa na familia. Familia ni msingi wa uzoefu wa kibinadamu na yoyote ambayo ni dhidi ya kanuni hii ni marufuku katika biblia. Kwa hiyo “Usizini” ni moja miongoni mwa Amri Kumi. Kwa nini uzinzi hutishia familia? Uzinzi unaweza kuharibu familia kwa sababu unaweza kusababisha ujauzito na kuzaliwa kwa mtoto. Mtoto huyo ataanza safari ya maisha pasipo familia. Ikiwa uzinzi hauharibu familia, mara nyingi unasababisha madhara ya kutisha ndoa, kama hisia ya usaliti na upotevu wa itibari kwa kuonyesha kwamba uzinzi unamaanisha maisha ya ulaghai. Ni lazima kuwa macho kwa baadhi ya aina za urafiki. Wakati mume au mke ana urafiki fulani ambao unaanzisha uhusiano wa nguvu kuliko ule mtu anaoishi na mke au mume ni ngumu sana kuuepuka uzinzi. Wakati mume au mke ana ngono na mwingine kuliko mkewe/mumewe, mawazo kuhusu yule mtu ni daima na mawazo kuhusu jinsi ya kumdanganya mume au mke ni daima pia. Uzinzi haulindi familia na tena hauwalindi wanandoa dhidi ya maumivu ya hisia. 

      Maana ya Amri “Usizini” ni ulinzi kwa familia. Kwa nini familia ni muhimu sana? Kwa sababu pasipo familia uimara wa jamii hauwezekani. Kwa sababu bila familia mawasiliano ya thamani ya jamii kizazi kwa kizazi hayawezekani. Kwa maana uhusiano kati ya wazazi na watoto unawafanya kuwajibika na kukomaa zaidi. Kwa sababu bora kuliko chochote, familia inayaridhisha mahitaji ya hisia na fizikia/mwili, kuwapa watoto utoto salama na imara. Yesu anawajulisha watoto kama mfano ili tuweze kukaribisha vizuri mafundisho yake na kupata furaha kubwa. “Bila uaminifu hakuna furaha”. Familia yetu iweze kukuta njia kamili ya kuishi vizuri.

Fr Ndega