quarta-feira, 28 de dezembro de 2016

"LA PAROLA SI FECE CARNE E VENNE AD ABITARE IN MEZZO A NOI"

titolo originale: "NENO ALIFANYIKA MWILI NA AKAKAA KWETU"

Riflessione su Is 52, 7-10; Hb 1, 1-6; Giovanni 1, 1-18

      Stiamo vivendo un tempo di gioia e di gratitudine, il Natale del Signore. Tutto sembra avere più colori, più luce e più significato. Questo è il risultato della presenza di Dio in mezzo a noi. Egli ha preso su di sè la nostra realtà e ci invita ad imparare da lui per vivere bene. Ringraziamo Dio perché continuamente ci dà l’opportunità di rinnovare continuamente la nostra vita. Il messaggio della nascita di Gesù è un messaggio di grande gioia per tutti, perché il Salvatore è nato per tutti. Rallegriamoci perché Dio ha deciso di portare la salvezza per noi, creando la sua dimora tra noi. La salvezza è opera di Dio, ma si realizza nel mondo con la partecipazione umana. Prendiamo come esempio Maria e Giuseppe; attraverso la semplicità dell'evento e delle persone coinvolte, ci rendiamo conto della grandezza del nostro Dio. Questo conferma il proverbio africano che dice: "La gente umile, facendo cose semplici ed in piccoli posti è capace di cambiare il mondo.”  I grandi cambiamenti di cui la nostra società ha bisogno dovrebbero verificarsi a partire da ogni persona. La nuova società si realizzerà quando tutti prenderanno coscienza della necessità di cambiare se stessi, piuttosto che cercare di cambiare gli altri.

    Secondo la prima lettura, dopo l'esperienza dell’esilio il popolo d'Israele vive in circostanze nuove e riscopre la propria vocazione come popolo di Dio. Il senso della sua vocazione non è usare vendetta contro i nemici, ma proclamare una buona notizia, la notizia della pace. Questa notizia è un messaggio di incoraggiamento da parte di Dio che motiva le persone a coltivare un nuovo rapporto con Dio e tra di loro. Questo è il messaggio di gioia che dovrebbe essere proclamato a tutti, perché la salvezza di Dio è per tutti. Come nuovo popolo di Dio, noi siamo gli eredi di questo messaggio, cioè, proclamare la salvezza di Dio in Gesù Cristo.  Tutto ciò che Dio ha fatto nella nostra vita deve essere proclamato. La gioia che è risultato di questa azione non sarà piena nella nostra vita se non la proclamiamo agli altri. Questo movimento inizia in Dio stesso, che è il Dio della parola. Ha creato tutte le cose mediante il potere della sua parola. Così, la seconda lettura testimonia che egli dopo aver parlato nel passato tramite i nostri antenati, parla oggi e continua a parlare perché la parola è stata sempre con lui, si tratta di suo figlio, Gesù Cristo, il mediatore della nuova ed eterna alleanza.

         La parola di Dio che era per sempre è il Figlio di Dio. Lui è la ragione di tutto ciò che fu creato. Questa parola si fece carne nel grembo della Vergine Maria, rivelando l'immagine di Dio come un padre che è pieno di compassione. Il Figlio Gesù ci ha resi figli di Dio e ci ha illuminato con la sua luce finché possiamo essere testimoni della luce e della verità, come Giovanni Battista. Tutto ciò che Dio fa è buono e perfetto, perché questo è il suo modo d’agire. "La parola si fece carne e venne ad abitare in mezzo a noi". In Gesù, Dio è uno di noi. Egli è la misericordia che si lascia trovare e toccare, portando una nuova proposta di vita. Allora, non è sufficiente riconoscere la misericordia di Dio in Gesù; è anche necessario permettere di essere toccati da questa misericordia e guidati dal suo messaggio di amore e di pace. La nascita di Gesù ha fatto diventare tutti gli uomini una sola famiglia. Veramente, Dio ha rivelato se stesso come il “Vicino”, il “Povero” e l’amore rifiutato, invitando tutti a riconoscere il valore dei piccoli gesti e progetti. Naturalmente questa opzione di Dio è imbarazzante, ci invita a pensare e agire diversamente.

         Dio accetta le condizioni di essere bambino, con totale dipendenza della cura e amore dell’essere umano. È la fede che ci porta a identificare questo bambino di Betlemme in ogni bambino che ci viene incontro nel nostro cammino. Ogni bambino chiede il nostro amore. Proviamo a pensare ai bambini che non hanno alcuna esperienza di amore dei loro genitori; ai bambini delle strade che non hanno un posto dove vivere; ai bambini che servono come soldati, ai bambini che sono vittime dell’abuso sessuale e ai bambini che sono stati costretti a lasciare i loro sogni a causa della situazione economica familiare. Il Bambino di Betlemme è un invito per noi a promuovere una situazioni diversa nella vita di questi bambini.

    Anche se viviamo in una società consumista, che impedisce la nostra attenzione all'essenziale nella nostra vita, dobbiamo essere attenti, il Natale non è consumismo. È la festa della rivelazione del mistero dell'amore di Dio che fa diventare il cuore umano dimora di valore veri. Dio ci ama liberamente e generosamente, senza merito della nostra parte. Questa esperienza ci porta a fare lo stesso; così il Natale sarà più di un periodo nell'anno. Sarà sempre Natale, se impariamo ad amare veramente e mettere più sforzo per costruire una società più giusta e fraterna per il bene di tutti.

Fr Ndega
Revisione: Giusi

“THE WORD BECAME FLESH AND MADE DWELLING AMONG US”

original title: "NENO ALIFANYIKA MWILI NA AKAKAA KWETU"

Reflection Is 52, 7-10; Hb 1, 1-6; John 1, 1-18

       We are living a period of great joy and thanksgiving, that is, Christmas of the Lord. Everything seems to have more colour, more brightness and more meaning. That is the result of the presence of God among us. He assumes our context and invites us to learn from him so that we can live better. Let us thanks to God because he continues giving us opportunities for our renewal. The message of the birth of Jesus is message of great joy for all because the Saviour was born for all. Let us rejoice because God decided to bring salvation to us, building his dwelling among us. The salvation is work of God, but it happens in the world with the participation of the human being. Let us take as example Mary and Joseph. Like that, through the simplicity of the event and the people involved, God manifests his greatness. This concrete reality confirms an African proverb, which says, “Simple people performing simple things in simple places are able to change the world”. The big changes that our society needs should happen inside of each person. The new society will happen when each person recognises the need of changing himself/herself instead of trying to change others. 
      
         According to the first reading, after the experience of exile, the People of Israel live a new reality and rediscover his vocation as People of God. The meaning of his vocation is not in organizing vengeance against his enemies but in proclaiming good news, that is, news of peace. This good news is message of consolation that comes from God and leads the people to assume the commitment of cultivating new relationship with God and among themselves. This is a message of joy, which should be proclaimed to all, because the salvation is for all. As new People of God, we are heirs of this message with new meaning, i.e., to proclaim the salvation of God in Jesus Christ. Our feet are sign of our availability and passion for the sake of the kingdom of God. Everything that God does in our life needs to be proclaimed. The joy that is fruit of this action will be full in us if it is proclaimed to others. This process starts with the own God, who is the God of the Word. He created everything through the power of his word. Then, the second reading witnesses that he spook in the past through our ancestors, he speaks today and will continue speaking because this Word was and is always with him; this word is his Son Jesus Christ, who is the Mediator of the New and Eternal Covenant.   

         The Word of God that exists always is the own Son of God. He is the reason of everything that was made. This word was made flesh in the womb of the Virgin Mary, coming into the world full of grace and truth, revealing the face of God as a Father full of mercy. The Son Jesus made us sons of God and enlightened us with his light in order we should be witnesses of the light and of the truth like John the Baptist. Everything that God does, he does well and perfect because this is his way of acting. Then, “the Word became flesh and made dwelling among us”. In Jesus Christ, God is one of us. He is mercy who allows being met and touched, bringing a new proposal of life. For that, is not enough to recognise the mercy of God in Jesus; it is important also to allow oneself be touched by this mercy and being led by his message of love and peace. The birth of Jesus makes all people to become one only family. Truly, God reveals himself as the Neighbour, the Poor, the Rejected, inviting all of us to recognise the value of the small gestures and projects. Of course that the option of God embarrasses us, inviting us to think and act differently.      

The God Almighty becomes a child to depend totally on care and love of human being. It is the faith that lead us to recognise this child of Bethlehem in each child we meet in our daily life. Each of these children begs for our love. Let us think about those children who do not have the experience of love of the parents. Let us think also about those street-children, who do not have place to live. Let us think about that children who are used as soldier, being transformed in instruments of violence instead of being instruments of peace; let us think also about the children who are victims of sexual abuse and finally, the children who are forced to abandon their dreams because the critical economic situation. The child of Bethlehem is invitation so that we may promote a different reality in the life of these children.      

As we live in a society of consumption, that prevent us of focusing the essential in our lives, we should be attentive. Christmas is not consumption. It is feast of the revelation of the love of God, which transforms the heart of human being in dwelling of the true values. God loves us freely and generously, that is, without merit of our part. This experience lead us to do the same so that Christmas should not be a moment only in the year. Will be Christmas always if we learn how to love truly, putting more effort to build a more fraternal society with justice and dignity for the good of all.   


Fr Ndega

segunda-feira, 26 de dezembro de 2016

“EL VERBO SE HIZO CARNE Y HABITÓ ENTRE NOSOTROS”

título original: "NENO ALIFANYIKA MWILI NA AKAKAA KWETU"

Reflexión Is 52, 7-10; Heb 1, 1-6; Jn 1, 1-18

Estamos viviendo un tiempo de gran alegría y acción de gracias, esto es, la Navidad del Señor. Todo parece tener más color, más luz y más sentido. Esto es el resultado de la presencia de Dios entre nosotros; Él asumió nuestro contexto y nos invita a aprender de el para que podamos vivir mejor. Agradezcamos a Dios por continuar dándonos oportunidades para nuestra renovación. El mensaje del nacimiento de Jesús es mensaje de gran alegría para todos porque el Salvador nació para todos. Alegrémonos porque Dios decidió traernos la salvación, “armando su morada” en medio nuestro. La salvación es obra de Dios, pero sucede en el mundo con la participación del ser humano. Tomemos como ejemplos a María y a José. Así, a través de la simplicidad del evento y de las personas envueltas, Dios manifiesta su grandeza. Esta realidad concreta confirma un dicho africano que dice así: “personas simples, haciendo cosas simples y en lugares simples son capaces de cambiar el mundo”. Los grandes cambios que nuestra sociedad necesita deben darse dentro de cada persona. La sociedad nueva sucederá cuando cada persona reconozca la necesidad de transformarse a sí mismo antes de querer transformar a los otros.

De acuerdo con la primera lectura, después de la experiencia del exilio, el Pueblo de Israel vive una realidad nueva y redescubre su vocación como Pueblo de Dios. El sentido de su vocación no está en vengarse de sus enemigos, sino en proclamar una buena noticia, que es noticia de paz. Esta buena noticia es un mensaje de consuelo que viene de Dios y conduce al pueblo a asumir el compromiso en la construcción de nuevas relaciones con el mismo Dios y entre ellos. Este es un mensaje de alegría que debe ser proclamado para todos porque la salvación es para todos. En tanto Nuevo Pueblo de Dios, somos herederos de este mensaje, esto es, proclamar la salvación de Dios que es Jesucristo. Nuestros pies son señal de nuestra disponibilidad, de nuestra pasión por la causa del Reino de Dios. Todo lo que Dios hace en nuestra vida necesita ser proclamado. La alegría, que es fruto de esta acción, sólo será plena en nuestra vida si es proclamada a los demás. Este proceso comienza en Dios mismo que es el Dios de la Palabra. Él creó todo por el poder de su palabra. Así, la segunda lectura testimonia que él hablo por nuestros antepasados, habla hoy y continuará hablando porque esta Palabra siempre estuvo con él, esta palabra es su Hijo Jesucristo, que es el Mediador de la Nueva y Eterna Alianza.

La Palabra de Dios que existe desde siempre es el propio Hijo de Dios. Él es la razón de todo lo que es hecho. Esta Palabra se hizo carne en el vientre de la Virgen María, viniendo al mundo lleno de gracia y verdad, revelando el rostro de Dios como un Padre lleno de misericordia. El Hijo Jesús nos hizo hijos de Dios y nos iluminó con su luz para que seamos testigos de la luz y de la verdad como Juan Bautista. Todo lo que Dios hace es bueno y perfecto porque esta es su manera de actuar. Así, “la Palabra se hizo carne y habitó entre nosotros”. En Jesucristo, Dios es uno de nosotros. Él es misericordia que se permite encontrar y ser tocado, trayéndonos una propuesta nueva de vida. Por eso, no es suficiente reconocer la misericordia de Dios en Jesús, es importante también permitirse ser tocado por esta misericordia y conducido por su mensaje de amor y de paz. El nacimiento de Jesús hizo de todas las personas una única familia. Verdaderamente Dios se revela como el vecino, el Pobre, el Rechazado, invitando a todos a reconocer el valor de los pequeños gestos y proyectos. Claro que la opción de Dios nos deja inquietos, invitándonos a pensar y actuar diferente.

El Dios Todopoderoso se vuelve un niño para depender totalmente del cuidado y del amor del ser humano. Es la fe que nos lleva a reconocer a este niño de Belén en cada niño que encontramos en nuestro día a día. Cada uno de esos niños pide nuestro amor. Pensemos en aquellos niños que no tienen la experiencia del amor de los padres; también aquellos niños de la calle, que no tienen un lugar donde vivir, pensemos todavía en aquellos niños que son usados como soldados, transformándolos en instrumentos de violencia en vez de ser instrumentos de paz; pensemos todavía en aquellos que son víctimas del abuso sexual, y por últimos aquellos que son forzados a abandonar sus sueño a causa de la economía precaria. El niño de Belén es invitación para que promovamos una realidad diferente en la vida de estos niños.

Como vivimos en una sociedad consumista, que nos impide enfocar en lo esencial de nuestras vidas, nosotros debemos estar atentos. La Navidad no es el consumismo. Es fiesta de la revelación del misterio del amor de Dios que transforma el corazón del ser humano en morada de los verdaderos valores. Dios nos ama gratuitamente y generosamente, esto es, sin méritos de nuestra parte. Esta experiencia nos lleva a actuar de la misma manera para que la Navidad no sea solo un momento del año. Será siempre Navidad si aprendemos a amar de verdad y ponemos más esfuerzos para construir una sociedad más justa y más fraterna para el bien de todos.

Fr Ndega

Traducción: Nómade de Dios.

“O VERBO SE FEZ CARNE E HABITOU ENTRE NÓS”

Titulo original: "NENO ALIFANYIKA MWILI NA AKAKAA KWETU"

Reflexão sobre Is 52, 7-10; Hb 1, 1-6; Jo 1, 1-18

       Estamos vivendo um tempo de grande alegria e ação de graças, isto é, o Natal do Senhor. Tudo parece ter mais cor, mais luz e mais sentido. Isto é o resultado da presença de Deus entre nós; ele assumiu o nosso contexto e nos convida a aprender dele para que possamos viver melhor. Agradeçamos a Deus por continuar dando-nos oportunidades para a nossa renovação. A mensagem do nascimento de Jesus é mensagem de grande alegria para todos porque o Salvador nasceu para todos. Alegremo-nos porque Deus decidiu nos trazer a salvação, “armando sua tenda” no meio de nós. A salvação é obra de Deus, mas acontece no mundo com a participação do ser humano. Tomemos como exemplos Maria e José. Assim, através da simplicidade do evento e das pessoas envolvidas, Deus manifesta a sua grandeza. Esta realidade concreta confirma um ditado africano que diz assim: “Pessoas simples fazendo coisas simples e em lugares simples são capazes de mudar o mundo”. As grandes mudanças que a nossa sociedade precisa devem acontecer dentro de cada pessoa. A sociedade nova acontecerá quando cada pessoa reconhecer a necessidade de transformar a si mesmo antes de que querer transformar os outros.   

        De acordo com a primeira leitura, depois da experiência de exílio, o Povo de Israel vive uma realidade nova e redescobre a sua vocação como Povo de Deus. O sentido de sua vocação não está em se vingar de seus inimigos, mas em proclamar uma boa notícia, que é notícia de paz. Esta boa notícia é uma mensagem de consolo que vem de Deus e conduz o povo a assumir o compromisso na construção de novas relações com o próprio Deus e entre eles. Esta é uma mensagem de alegria que deve ser proclamada para todos porque a salvação é para todos. Enquanto Novo Povo de Deus, nós somos herdeiros desta mensagem, isto é, proclamar a salvação de Deus que é Jesus Cristo. Nossos pés são sinal da nossa disponibilidade, da nossa paixão pela causa do reino de Deus. Tudo o que Deus faz na vida da gente precisa ser proclamado. A alegria, que é fruto desta sua ação, só será plena em nossa vida se for proclamada aos demais. Este processo começa em Deus mesmo que é o Deus da Palavra. Ele criou tudo pelo poder de sua Palavra. Assim, a segunda leitura testemunha que ele falou outrora pelos nossos antepassados, fala hoje e continuará falando porque esta Palavra sempre esteve com ele, esta palavra é o seu Filho Jesus Cristo, que é o Mediador da Nova e Eterna Aliança.  

          A Palavra de Deus que existe desde sempre é o próprio Filho de Deus. Ele é a razão de tudo o que foi feito. Esta Palavra se fez carne no ventre da Virgem Maria, vindo ao mundo cheio de graça e verdade, revelando o rosto de Deus como um Pai cheio de misericórdia. O Filho Jesus nos fez filhos de Deus e nos iluminou com sua luz para que sejamos testemunhas da luz e da verdade como João Batista. Tudo o que Deus faz é bom e perfeito porque este é o seu jeito de agir. Assim, “A Palavra se fez carne e habitou entre nós”. Em Jesus Cristo, Deus é um de nós. Ele é misericórdia que se permite encontrar e ser tocado, trazendo-nos uma proposta nova de vida. Por isso, não é suficiente reconhecer a misericórdia de Deus em Jesus; é importante também permitir-se ser tocado por esta misericórdia e conduzido pela sua mensagem de amor e de paz. O nascimento de Jesus fez de todos as pessoas uma única família. Verdadeiramente Deus se revela como o Vizinho, o Pobre e o Rejeitado, convidando todos a reconhecermos o valor dos pequenos gestos e projetos. Claro que a opção de Deus nos deixa embaraçados, convidando-nos a pensarmos e agirmos diferentemente.

O Deus Todo Poderoso se torna uma criança para depender totalmente do cuidado e do amor do ser humano. É a fé que nos conduz a reconhecer esta criança de Belém em cada criança que nós encontramos em nosso dia-a-dia. Cada criança dessa pede nosso amor. Pensemos naquelas crianças que não tem a experiência do amor dos pais; também aquelas crianças de rua, que não tem um lar para viver; pensemos ainda naquelas crianças que são usadas como soldados, sendo transformadas em instrumentos de violência em vez de serem instrumentos de paz; pensemos ainda naquelas que são vítimas de abuso sexual e, por último, aquelas que são forçadas a abandonarem seus sonhos por causa da situação econômica precária. O Menino de Belém é convite para que promovamos uma realidade diferente na vida destas crianças.  

Como vivemos em uma sociedade consumista, que nos impede de focalizar o essencial em nossa vida, nós devemos estar atentos. O Natal não é consumismo. É festa da revelação do mistério do amor de Deus que transforma o coração do ser humano em morada dos verdadeiros valores. Deus nos ama gratuitamente e generosamente, isto é, sem méritos da nossa parte. Esta experiência nos leva a agir do mesmo modo para que o Natal não seja só um momento no ano. Será sempre Natal se aprendermos a amar de verdade e colocarmos mais esforço para construirmos uma sociedade mais justa e fraterna para o bem de todos.


Fr Ndega

domingo, 25 de dezembro de 2016

“NENO ALIFANYIKA MWILI NA AKAKAA KWETU”


Kutafakari kuhusu Is 52, 7-10; Hb 1, 1-6; Yoh 1, 1-18

   Sisi tunaishi wakati wa furaha na shukrani, yaani wakati wa Krisimasi. Kila kitu kinaonekana kuwa na rangi zaidi, mwanga zaidi na maana zaidi. Haya ndiyo matokeo ya uwepo wa Mungu miongoni mwetu; yeye aliyachukua mazingira yetu na kutualika kujifunza kutoka kwake ili tuweze kuishi vizuri. Tumshukuru Mungu kwa kuendelea kutupa sisi nafasi ya kuwa watu wapya. Ujumbe wa kuzaliwa kwa Yesu ni ujumbe wa furaha kubwa kwa wote, kwa sababu Mwokozi alizaliwa kwa wote. Tufurahi kwa sababu Mungu aliamua kuyajenga makao yake kati yetu na kutuletea wokovu. Wokovu ni kazi ya Mungu, lakini unatendeka duniani kwa ushiriki wa binadamu. Tuchukue Mariamu na Yusufu kama mifano. Hivyo, katika udogo wa tukio hilo na unyenyekevu wa watu waliohusika, tunaweza kutambua ukuu wa Mungu wetu. Hali halisi hii inathibitisha methali ya Kiafrika inayosema, “Watu wanyenyekevu, wakifanya vitu rahisi katika mahali padogo wanaweza kubadilisha ulimwengu.” Mabadiliko makubwa ambayo jamii yetu inahitaji yanapaswa kutokea ndani ya binadamu. Jamii mpya itatokea wakati kila mtu atambue haja ya kujibadilisha mwenyewe kuliko kujaribu kubadilisha wengine.

      Kulingana na somo la kwanza, baada ya uzoefu wa utumwa Watu wa Israeli wanaishi hali mpya na kugundua tena wito wao kama watu wa Mungu. Wito huu sio kutumia kisasi dhidi ya maadui yao, bali kutangaza habari njema ndiyo habari ya amani. Habari hii ni ujumbe wa faraja unaotoka kwa Mungu na kuwaongoza watu kuchukua ahadi ya kujenga uhusiano mpya na Mungu na miongoni mwao pia. Huu ndio ujumbe wa furaha ambao unapaswa kutangazika kwa wote kwa sababu wokovu wa Mungu ni kwa wote. Kama watu wapya wa Mungu, sisi ni warithi wa ujumbe huu yaani tunatangaza wokovu wa Mungu ndiye Yesu Kristo. Miguu yetu ni ishara ya upatikanaji wetu, hamu yetu kwa ajili ya mpango wa Mungu. Yote ambayo Mungu amefanya maishani mwetu ni lazima kutangazika. Furaha iliyo matokeo ya tendo hili haitakuwa kamili maishani mwetu ikiwa hatuwezi kutangaza kwa wengine. Mwendo huu unaanza katika Mungu mwenyewe aliye Mungu wa neno. Aliviumba vyote kwa nguvu ya neno lake. Hivyo, somo la pili linashuhudia kwamba Yeye aliongea zamani kwa mababu yetu, anaongea leo na kuendelea kuongea kwa sababu huyo Neno alikuwako kwake milele, Neno hili ni Mwanawe Yesu Kristo aliye mpatanishi wa Agano Jipya.

       Neno la Mungu ambaye alikuwako milele ni Mwana wa Mungu. Huyo ni maana ya vyote vilivyofanyika. Huyo Neno alifanyika mwili tumboni mwa Bikira Maria akija ulimwenguni amejaa neema na ukweli akifunua sura ya Mungu kama Baba aliyejaa huruma. Mwana Yesu alitufanya watoto wa Mungu na kutuangaza kwa mwanga wake ili tuwe mashahidi wa nuru na kweli kama vile Yohana Mbatizaji. Mambo yote ambayo Mungu anafanya ni mazuri na kamili kwa sababu hii ni njia yake ya kutenda. “Neno alifanyika mwili na akakaa kwetu”. Katika Yesu, Mungu ni mmoja wetu. Yeye ni huruma ambaye alijiruhusu kukuta na kuguswa akituletea pendekezo mpya la maisha. Kwa hivyo, haitoshi kuitambua huruma ya Mungu katika Yesu; ni muhimu pia tujiruhusu kuguswa na huruma hii na tena kuongozwa na ujumbe wake wa amani na upendo. Kuzaliwa kwake Yesu kuliwafanya wanadamu wote wawe familia moja ya kipekee. Kweli, Mungu alijidhihirisha kama jirani, maskini na aliyekataliwa, akiwaalika wote watambue thamani ya ishara ndogo na miradi midogo. Bila shaka chaguo hili la Mungu linatuaibisha, kutualika kufikiri na kutenda kwa njia tofauti.

Mungu Mwenyezi anakubali hali ya mtoto mdogo, kwa utegemezi kabisa wa utunzaji na upendo wa binadamu. Ndiyo imani inayotuongoza kutambua mtoto huyu mdogo wa Bethlehemu katika kila mtoto ambaye sisi hukutana katika safari yetu ya kawaida. Kila mtoto anaomba upendo wetu. Tufikiri kuhusu watoto ambao hawana uzoefu wa upendo wa wazazi wao; pia kuhusu watoto wa mitaa/barabara ambao hawana mahali pa kuishi; tena kuhusu watoto wanaotumika kama askari, wakibadilishwa kuwa vyombo vya ukatili, badala ya kuwa vyombo vya amani; pia kuhusu watoto ambao ni waathirika wa unyanyasaji wa kijinsia, na kuhusu watoto waliolazimishwa kuacha ndoto zao kwa sababu ya hali ya kiuchumi siyo nzuri. Mtoto ndogo ya Bethlehemu ni mwaliko ili tuweze kusaidia kwa hali tofauti maishani mwa watoto hawa.

Ingawa tunaishi katika jamii ya ulaji, inayotuzuia kulenga muhimu katika maisha yetu, tunapaswa kuwa macho. Krismasi ni zaidi ya ulaji. Ni sikukuu ya ufunuo wa fumbo la upendo wa Mungu unaobadilisha moyo wa binadamu kuwa makao ya thamani za kweli. Mungu anatupenda kwa hiari na ukarimu, bila astahili kwa upande wetu. Uzoefu huu unatuongoza kutenda vivyo hivyo ili Krismasi iwe zaidi ya wakati mmoja tu kwa mwaka. Itakuwa Krismasi daima ikiwa tuweze kujifunza jinsi ya kupenda kwa kweli na kuweka juhudi kwa kujenga jamii ya undugu na ya haki kwa wema wa wote.


Fr Ndega

terça-feira, 4 de outubro de 2016

UTUMISHI WETU NI UTHIBITISHO WA IMANI YETU


Kutafakari kuhusu Lk 17, 5-10

     “Mwenye  haki ataishi kwa imani yake.” Tafakari yetu inalenga imani kama zawadi muhimu sana iliyo njia maalum ya kuishi nayo inatoa maana kwa maisha. Imani ni msaada kubwa katika majibu yetu kwa upendo wa Mungu. Hii ni zawadi inayochochea karama ya Mungu iliyo ndani yetu kupitia Roho Mtakatifu. Wakati wanafunzi wa Yesu walipomwomba wakisema, “Ongeza Imani yetu”, walionyesha tabia ya unyenyekevu wakitambua udhaifu wao mbele ya changamoto za kazi. Kwa dua hii walitaka kumaanisha kwamba walikuwako tayari kwa kila kitu kwa ajili ya Yesu, lakini walihitaji msaada wake. Kwa maneno mengine, ilikuwa tangazo la imani kuutambua uwezo wa Yesu kwa ajili ya imani yao haba. Jibu la Yesu linadhihirisha kwamba wanafunzi hawakuwa na imani jinsi walivyodhani walicho nacho. Jibu la Yesu linawasaidia kufahamu umuhimu wa Imani na lengo lake la kweli. Kulingana na Yesu imani inauhusu utumishi na kuthibitisha utambulisho wa wafuasi na mwalimu wao. Yesu hakujibu moja kwa moja, bali alipendelea kuonyesha kwamba imani sio jambo lolote. Haitoshi kusema “Nasadiki” ama “nakusadiki”. Ni kama ilivyotokea katika hadithi fulani:

“Kuna mtu ambaye alikuwa anatembea kwenye njia nyembamba bila kuwa makini kutazama alipokuwa anaelekea. Ghafla aliteleza kandokando ya mtelemko wa ghafla. Alishikilia tawi la mti kwenye mtelemko. Akigundua kuwa hawezi kushikilia kwa muda mrefu aliomba msaada. Aliita: “Kama kuna mtu huko juu anisaidie?” Sauti ilimjibu: “Nipo hapa.” Aliuliza: “Wewe ni nani?” Sauti ilimjibu: “Ni mimi Bwana Yesu Kristo.” Mtu huyo alisema: “Nisaidie Bwana.” Bwana Yesu: “Unaniamini?” Mtu huyo alijibu: “Nakuamini kabisa.” Bwana Yesu akasema: “Achia tawi la mti.” Mtu huyo alishangaa: “Nini?” Bwana Yesu: “Achia tawi la mti.” Baada ya kimya cha muda mrefu mtu huyo alisema: “Hakuna mtu mwingine huko juu?” 
       Bila shaka tabia ya mtu huyo siyo imani kwa sababu inakosa muhimu sana iliyo kuacha kitu ambacho kinaonekana kuwa usalama na kujiruhusu kuongozwa na Yule anayejua analofanya. Imani ya kweli inadai tabia ya kujisalimisha, kulingana na hadithi nyingine: “Siku moja ajali ilitokea katika nyumba ya ghorofa kubwa nayo nyumba hii ilianza kuwaka moto. Watu wote walipaswa kutoka nje. Familia moja ilipata kutoka, lakini mtoto mdogo wake alibaki nyuma. Wazazi hawakuweza kurudi tena ili wachukue mtoto kwa sababu moto ilikuwa kali sana. Mtoto alikaribia dirisha moja katika sehemu ya juu ya nyumba akilia sana. Yeye hakuweza kumwona yeyote nje ya nyumba kwa sababu ya moshi nyingi. Lakini, kutoka nje baba ya mtoto huyo aliyepata kumwona mtoto, alimwambia, ‘mwanangu, utupe chini kutoka huko kwa maana mimi nitakuchukua mikononi mwangu.’ Ingawa mtoto hakupata kumwona babaye, akaisikiliza sauti yake na kuamua kujitupa. Kisha, mara babaye alipata kumchukua mwanae mikononi mwake, akimwokoa.”
      Katika hadithi hii, kwanza kabisa kuna uhusiano wa kifamilia, yaani, baba na mtoto. Baba anatumia nafasi ya kusema kitu, yaani, ‘mwanangu, utupe chini kutoka huko kwa maana mimi nitakuchukua mikononi mwangu.’ Anasema hayo kwa sababu anajua mwanae na tena anajua kwamba huyo mwanae anahitaji msaada wake. Anaposema hayo, anahakikisha uwepo na utunzaji wake. Basi, hali ya imani inafanana na hivi. Hii ni zawadi iliyotoka kwa Mungu na inatenda ndani yetu ili lile ambalo lisilowezekana libadilishwe kuwa linalowezekana. Imani hii hata ndogo inaweza kushinda vikwazo vikubwa. Tukumbuke yale ambayo Yesu aliwaambia wanafunzi wake waliochanganyikiwa, yaani, “Kama mngekuwa na imani kiasi cha chembe ya haradali, mngeuambia mkuyu huu, Ng’oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii”. 
        Imani hii tulipokea katika ubatizo kama mbegu ambayo inahitaji kuchipua, kukua na kuboresha. Tunahitaji kuiimarisha zawadi hii kwa sababu ni maonyesho ya utambulisho wetu na, kupitia ushuhuda wa imani halisi tunaweza kuwaimarisha wengine katika safari yao. Mt. Yohana Calabria asema: imani yetu iwe halisi na ya kweli; haiwezekani kuwa na tofauti kati ya imani tunayoamini na ile tunayoishi.” Si lazima imani kubwa; kweli imani yetu inapaswa kuwa hai na ufanisi. Kuhusu hayo, mtume Yakobo asema, “mwonyeshe imani yenu bila matendo nami nitaionyesha imani yangu kwa matendo yangu. Imani bila matendo imekufa.”  Katika sehemu nyingi za injili tunakuta mifano ya Imani hai na ufanisi, yaani, wakati Yesu alipokutana na mtu aliye na aina hii ya imani na mtu huyo alimwomba ili amponye, Yesu asema, “imani yako imekuokoa”.
        Kulingana na hadithi, ingawa mtoto hakupata kumwona babaye, lakini akaisikiliza sauti yake na kuamua kujitupa, vivyo hivyo sisi tunaalikwa kuchukua uamuzi wa kujisalimisha. Hii ndiyo imani. Mungu ambaye tunasadiki yu kama vile yule baba ambaye alipata kumchukua mwanae mikononi mwake, akimwokoa.” Tumeipewa imani na kupitia zawadi hii tunaweza kujibu kwa mwaliko wa Mungu. Bila shaka jibu ambalo yeye anatarajia ni kwamba tuweze kujikabidhi mikononi mwake kama ilivyotokea kwa Ibrahimu na kwa wenye haki wengine wa Biblia. Mfano, kulingana na uzoefu wa Ibrahimu, haitoshi kusema “nakuamini”; ni lazima kutii, kuruhusu kuongozwa na Mungu hadi palipompendeza. Kuhusu uzoefu huu wa Ibrahimu, waraka wa Waebrania unatuletea ushuhuda mzuri sana, yaani, “Kwa njia ya imani Ibrahimu alitii alipoitwa ahamie nchi ambayo angepewa kuwa mali yake. Alihama bila kujua anakokwenda” (Waeb 11:8).

       Kumwachia Mungu ni kuwa na imani ya Ibrahimu. Ni imani ya kumwacha Mungu aitwe  Mungu aliye Baba na Mtoaji. “Matatizo yote yapaswa kufikiriwa na kusomeka kwa maelewano na ubaba wake” (Mt. Yohane Calabria). Huyo, yaani, Mt. Yohane Calabria, anafahamiwa kama Mtakatifu wa Riziki kwa maana ya tabia ya imani ya kweli na kujisalimisha kwake katika Riziki ya Mungu. Kulingana naye, Riziki ya Mungu ni kama Mama ambaye anatenda mambo yote kwa wema wetu. Tunapaswa kujiona kubebwa mikononi mwake wa mama.” Kuhusu hayo, anaendelea kwa kusema, “Kama sisi tuko mikononi mwa Mungu, tuko mikononi pazuri.” Je, tabia yetu ni kama ile ya mtoto mdogo ambaye anaruhusu kuongozwa kwa sababu ana uhakika kuamba mama au baba yake anajua lile analofanya? Yeyote ambaye anaamini anaweza kujisalimisha mikononi mwa Mungu Baba kama Mt. Calabria alivyo.


     Ikiwa tunajiita Wakristo, ni kwa sababu tunajua kwamba sisi ni washiriki wa imani ya kanisa lilipo kwa karne nyingi. Wakati tunapotumia imani yetu kama jibu kwa mwaliko wa Mungu, hatuyategemei mawazo yetu peke yake, bali tunaitegemea imani ya watu wote wa Mungu, yaani, imani ambayo inawahusu Ibrahimu, Musa, manabii wa Israeli, mitume na wanafunzi wengine wengi wa Yesu Kristo, Mt. Yohana Calabria na kadhalika. Imani yangu ya kibinafsi ni urithi wa imani ya jumuiya ya kanisa. Kutokuwepo kwangu katika jumuiya ama kikundi kunasababisha shida kwangu na kwa kikundi. Basi imani inadhihirisha utambulisho wetu; hii ni njia yetu wenyewe ya kuishi na kutumikia. Imani yetu inauhusu utumishi ambao tunaweza kufanya. Kwa kutumikia kwa kweli tunataka kumwomba Bwana Yesu kama wanafunzi wa kwanza alivyo, tukisema, “Bwana Mkubwa, ongeza imani yetu!”

Fr Ndega

terça-feira, 27 de setembro de 2016

HALI YA MASKINI INATUHUSU SISI


Kutafakari kuhusu Lk 16, 19-31

     Mungu anashutumu kutofautiana na unafiki katika safari ya watu wake na anapendekeza njia tofauti. Kulingana na somo la kwanza, utumwa katika safari ya Waisraeli ulikuwa matokeo ya kosa la uhusiano mwema na Mungu na la ahadi ya kuujenga undugu. Ibada yao ilibadilika kuwa jambo bila maana, yaani haikuonyesha tena ukarimu wa moyo wala haikusababisha mabadiliko katika uhusiano miongoni mwa watu na katika jamii. Walio na nguvu waliishi kwa kutofautiana mbele ya hali ya wengine na matendo ya nje hayakuihusu tabia ya ndani. Wakitenda hivi walivutia hali mbaya kwa maisha yao. Lakini tunajua kwamba Mungu hakuwaacha watu hawa, akitenda kwa uaminifu hasa kuhusu hali ya maskini na wasio na nguvu kwa maana maisha yao yanathamini sana kwa Bwana. Somo la pili linaonyesha ushuhuda wa Mtakatifu Paulo kuhusu Timotheo. Kulingana na ushuhuda huu haiwezekani kuwa mtu wa Mungu kwa kulitumia jina tu. Utambulisho wa mtu wa Mungu wa kweli unaonyeshwa kupitia kufuata haki, utawa, imani, upendo, uvumilivu na upole.   

       Kama tujuavyo, mifano ni sehemu ya ajabu ya ufundishaji wa Yesu. Kupitia mfano yeye anaweka rahisi na kupatikana kwa wote siri za Ufalme wa Mungu. Katika andiko hili, Yesu anasimulia mfano wa mtu tajiri na Lazaro maskini anawaonya wasikilizaji wake kuhusu hali ijayo iliyo matokeo ya chaguzi za watu katika wakati huu. Mtu tajiri ni ishara ya walio na mazoea ya kuitumainia mali bila kuguswa na hisia kuhusu kile kinachotokea kandokando yao. Hao walichagua kwa nafsi yao njia ambayo itawaongozea mauti. Lazaro ni ishara ya walio maskini ambao wameachwa bila ulinzi na utunzaji; wanapiga kelele ili wapate nafasi ya kuishi kwa heshima. Tena Lazaro ni pendekezo la kuishi tofauti, kuyalenga maisha katika thamani za kweli. Huyo ni ishara ya uvumilivu, ya mapigano na mwaliko wa kumtumainia Mungu ambaye katika riziki yake hawaachi wale ambao wanamwamini.

       Kupitia mfano huu Yesu anatukumbusha kuhusu hali ya kikatili ambayo ipo katika jamii yetu, yaani kutokuwa na usawa kati ya watu. Katika mafundisho yake, Kanisa limeshutumu hali hii mara nyingi kwa kusema, “Hali mbaya ya jeuri imezaa matajiri walio na utajiri zaidi daima juu ya maskini walio maskini zaidi daima.” Hali hii ni tofauti kabisa na matarajio ya Mungu ambaye, kulingana na wema wake, ananyesha mvua kwa wenye haki na wasio na haki, tena kwa walio wema na kwa wabaya ili vitu vyote alivyoumba kwa wote vipatikane kwa wote. Mfano mzuri tunapata katika Wimbo wa Bikira Maria ambao unaishuhudia njia ya ajabu ya Mungu ya kutenda, yaani yeye huwashusha wakuu na kuwapandisha wadogo ili waweze kuishi pamoja kama ndugu na kwa usawa wa haki na wa heshima. Mungu anajitambulisha na hali ngumu ya wasio na nguvu na ya maskini. Udhalimu wote unaofanyika kwao unamgusa Mungu ndiye kuwepo katika upande yao. Katika wakati ujao, baada ya hali ya dunia, hali itakuwa tofauti, yaani waliopokea mambo mema katika maisha yao bila ahadi na hisia kuhusu hali ya wengine wataumizwa na wale waliopata mabaya kama Lazaro alivyo, watafarijiwa. Yeyote ambaye anatumia mali yake ili awadharau wengine anatupa maisha yake takatakani kwa sababu maisha hayamaanishi mali mengi bali uwezo wa kutenda mema. Kuhusu mambo haya Mt. Yohana Calabria alikuwa na haya ya kusema: “Maskini wako ili matajiri waokoke/waokolewe”. 

     Hali ya maskini ina uhusiano na sisi sote, kwa sababu “dhambi ya jamii ni matokeo ya kiasi cha dhambi za kibinafsi”. Basi, ni lazima toba/mabadiliko sio kwa ajili ya dhambi za kibinafsi tu, bali pia kuchukua jukumu kuhusu dhambi ya kijamii. Mwendo huu unaweza kwanza kupitia tabia ya kuacha njia ya ukusanyaji ambayo kwa kawaida inatuongoza kuwa na kutofautiana kuhusu hali ya wengine. Tunaalikwa kuchukua njia ya unyenyekevu inayokihusu kitu kidogo na kutufanya kuguswa na hisia kuhusu wale wasio na kitu. Mungu anatuokoa maana ya upendo wake, lakini anathamini sana juhudi zetu kama alivyosema Baba Mt. Benedito wa kumi na sita: “kwa kweli, wokovu ni zawadi iliyo neema ya Mungu, lakini ili uwe ufanisi katika maisha yangu unadai ridhaa yangu, ambayo inaonyeshwa kupitia matendo, yaani kupitia utayari wa kuishi kama Yesu alivyo kwa kuufuata mfano wake.” 

Fr Ndega

quarta-feira, 21 de setembro de 2016

NEGRITUD Y SEGUIMIENTO DE JESÚS


Fuimos bendecidos por Dios con este mes que dedicamos en honor a la Biblia o a la Palabra de Dios, especialmente presente en la biblia. En esta reflexión, queremos recibir las provocaciones de la Palabra de Dios para ver como estamos y que es lo que debemos hacer para seguir verdaderamente a Jesús.

Jesús nos llama a seguirlo, pero no quiere que lo sigamos de cualquier manera. No podemos seguirlo a partir de un “oí decir”, sino por convicción, que nace de un encuentro personal con él mismo. Según el documento de Aparecida, no seguimos una idea o una doctrina, sino una persona: Jesucristo. Lo que sabemos sobre él no es fruto de nuestras ideas, sino un recibir de aquello que él mismo reveló sobre sí, estando entre nosotros. Jesús no vino para morir en la cruz, sino para salvarnos. Su compromiso profético lo llevó a la cruz. Él la abrazó por amor, para que ella no sea más señal de muerte para nadie. Su gesto fue recibido por Dios, que respondió con la resurrección. Por lo tanto, por detrás de la cruz, aparentemente señal de muerte, está el gesto de amor de Cristo que conduce a la vida. Él no paró en la cruz, pues detenerse en la cruz es dejarse dominar por las fuerzas de la muerte de la sociedad injusta, pero él simplemente venció la muerte, conduciéndonos a la vida plena por la resurrección. Por este motivo, la cruz pasa a ser parte de su vida y misión.

Aceptando la cruz, Jesús le da un nuevo significado y la propone como condición para todos los que desean seguirlo. Para seguirlo verdaderamente, necesitamos estar dispuestos a cargar también la cruz. Necesitamos entender la cruz como parte de un proceso de madurez en el seguimiento y como señal de nuestra entrega en vista del bien de los demás; como consecuencia de nuestra fidelidad a Jesús y a su proyecto. Es necesario, primero, renuncia a sí mismo y eso exige cambio de vida y de mentalidad, o sea, no da para decidir por Jesús y continuar actuando de la misma manera que antes. Después, debe asumir cada día la cruz de sus propias dificultades y ser solidario/a con la cruz de los otros. Traicionamos nuestra vocación de seguidores y seguidoras de Jesús cuando preferimos ser cruz en la vida de los otros, en vez de ayudarlos a cargar sus cruces.

Cuando hablamos en biblia y en pueblo negro, vemos que tienen muchas cosas que ver, pues, parte de las historias bíblicas sucedieron en África y envuelven africanos. José, hijo del patriarca Jacob fue recibido en África (Egipto) y allá fue valorizado con su talento de intérprete de sueños – para el pueblo africano, la revelación de Dios se da también a través de los sueños. Moisés fue iniciado en los conocimientos africanos (ciencia egipcia) y se volvió poderoso en palabras y obras. Jeremías estaba preso en una cisterna, durante la invasión de Babilonia a Jerusalén y fue salvado por Ebed Melec, un africano, empleado del Rey. Jesús fue recibido en África (Egipto) para escapar de la persecución de Herodes y cuando conducía la cruz al monte Calvario, fue ayudado por un africano, llamado Simón, de la ciudad de Cirene, de Libia. Un funcionario de la reina Candase, de Etiopía, fue evangelizado y bautizado por Felipe, de suerte que cuando la naciones europeas invadieron África, ya existía el cristianismo allí. Es por eso que todavía hoy existen en África las Iglesias Apostólicas Tradicionales (de los primeros siglos) y la Iglesia Católica Romana (de los tiempos de la colonización).

En tiempos de colonización la biblia fue utilizada por los colonizadores para justificar la esclavitud y se insistía mucho en la figura melancólica de Jesús, excesivamente dulce, que aceptó el sufrimiento porque era voluntad de Dio, de manera que todo intento de fuga o de desobediencia al señor de esclavo era actuar contra las enseñanzas de Jesús y, por lo tanto, quedar impedidos de recibirlo en la eucaristía. Esta situación incidía a la comunidad negra actitudes de conformación al sufrimiento, a la esclavitud. Aquellos que hablaban de la Biblia y de la cruz de Cristo aumentaban el peso de la cruz de los oprimidos en vez de ayudarlos a cargar sus cruces. La biblia es utilizada, entonces, como instrumento de opresión y obstáculo en la lucha por la dignidad y la libertad. El problema no está en la Biblia en sí misma, sino en quien está con la Biblia en la mano y se atreve a hablar de ella.

A lo largo de todo este período, la propia comunidad negra había percibido que aquellos que catequizaban dejaban mucho que desear sobre el verdadero significado del mensaje que llevaban.  A partir de su propio descubrimiento sobre Jesús, la comunidad negra se dio cuenta de su identificación y solidaridad en relación a los pobres y todos los que sufren; y su compromiso en vista de la transformación de esta realidad. Descubrieron que sus señores catequistas habían vaciado la biblia de su fuerza profética. Redescubrieron, entonces, la biblia como fuente de liberación y de vida nueva. La presencia de afrodescendientes siguiendo fielmente a Jesucristo, viene marcando significativamente la vida de la Iglesia, contribuyendo, de forma dinámica, para que ella cumpla con fidelidad la misión que recibió. En contrapartida, esta Iglesia “Madre” ha buscado realizar un discipulado reparador, reconociendo los límites de la evangelización pasada, apoyando e incentivando la comunidad negra en sus justas reivindicaciones en vista de la vida plena, profecía del Reino de Dios.

Axé.

Padre Josuel Ndega

Traducción: Nómade de Dios.

NON SI PUÒ SERVIRE DUE PADRONI


Riflessione su Lc 16, 1-13

       Dio desidera per il suo popolo lunga vita e dignità. Tutte le cose che non vanno in questa direzione vengono da lui rifiutate. Così, tramite il profeta Amos, nella prima lettura, Dio ha condannato tutte le forme di oppressione che impediscono di vivere come popolo di Dio, soprattutto la situazione di violenza contro i poveri e gli affamati. La loro sofferenza è una dimostrazione che abbiamo una società ingiusta dove esistono persone potenti, che hanno proprietà e ricchezze, mentre altre non hanno il sufficiente per vivere. Anche noi se non siamo attenti, diventiamo collaboratori di questa ingiustizia sociale, che è il risultato di un accumulo di peccati personali. A proposito di questo Papa Francesco dice: "Il consumismo ci ha indotti ad abituarci al superfluo e allo spreco quotidiano di cibo... Ricordiamo bene, però, che il cibo che si butta via è come se venisse rubato dalla mensa di chi è povero, di chi ha fame!" La situazione di queste persone era una priorità nella missione di Gesù che ha preso l’impegno di essere povero per arricchire tutti con la sua povertà.

       Nella seconda lettura, San Paolo ci consiglia di pregare per tutti gli uomini specialmente per coloro che hanno l'autorità di condurre e di governare: ministri della Chiesa, capi di governo e così via, affinché possano fare il loro lavoro bene, così che tutti possiamo vivere una vita di serenità e di pace. Noi siamo di Dio, e pertanto, l’autorità che i capi hanno sulle nostre vite è solo una partecipazione nella missione di Dio stesso che vuole che tutti gli uomini siano salvati e che conoscano la verità. È anche nostra responsabilità che facciano un buon lavoro e questo è gradito a Dio. Continuando la nostra riflessione, abbiamo una parabola in cui Gesù ci parla della necessità di essere fedeli nel compito che abbiamo ricevuto da Dio. Ciò che abbiamo appartiene a Dio, per cui ogni bene viene da lui. Lui ci affida la custodia di tutto e aspetta che noi agiamo secondo la sua volontà. Non siamo i proprietari, ma gli amministratori dei doni di Dio, per questo dovremmo usare i soldi non come fine nella vita, ma come strumento per produrre buone condizioni per tutti.

         Viviamo in una società dove il denaro è la misura di tutto e tutto dipende dal denaro. Si tratta di un potente mezzo di vita per molte persone. I cristiani, che comportamenti devono avere di fronte alla ricchezza? Coloro che seguono Cristo dovrebbero essere onesti in tutte le cose e avere il giusto comportamento in relazione alla ricchezza. La mancanza di un giusto rapporto con questa ci conduce a dimenticare la cura per la famiglia, l’attenzione alla propria salute, una vera relazione con Dio e con gli altri. Spesso nel rapporto con Dio c’è qualcosa che non va bene a causa del nostro desiderio di avere sempre più ricchezze. Gesù non sta dicendo che il denaro non è importante, ma dice che non possiamo lasciarci prendere e schiavizzare dal denaro. Gesù vuole che ognuno comprenda che soldi non possono garantirci i valori che generano vita e felicità. Noi possiamo usare i soldi per servire Dio, ma non possiamo usare Dio per trovare soldi. Su questo dobbiamo essere vigili perché questo può accadere e spesso senza che ce ne rendiamo conto. Il denaro è pericoloso perché può farci insensibili all’ amore di Dio e ai bisogni degli altri.

       Il denaro ci aiuta a vivere, ma ha messo anche persone lontane tra loro. Il denaro può costruire una casa ma anche può distruggere famiglie. Attraverso il denaro possiamo comprare vestiti, cibo e così via, ma possiamo anche produrre privilegi, corruzione e discriminazione. Non possiamo permettere che i soldi siano motivo di differenza tra di noi, conducendoci a discriminare gli altri. Tra noi sappiamo quanto il denaro è stato importante, soprattutto per quanto riguarda l'offerta per l'edificazione e manutenzione della chiesa-tempio e per le molte attività della evangelizzazione. Ringraziamo Dio per l'uso del denaro come espressione di generosità per il bene delle nostre comunità. Chiediamo la grazia di usare il denaro che abbiamo non come strumento di discriminazione, ma piuttosto come uno strumento di solidarietà, costruendo fraternità. 

Don Josuel Ndega
Revisione: Signora Giusi






domingo, 18 de setembro de 2016

HATUWEZI KUWATUMIKIA MABWANA WAWILI


Kutafakari kuhusu Lk 16, 1-13


       Mungu anatarajia kwa watu wake maisha marefu na kwa heshima. Mambo yote ambayo hayaisaidii hali hii yanakataliwa na Mungu. Hivyo, kupitia nabii Amos, katika somo la kwanza, yeye (Mungu) anashutumu aina yote ya ukandamizaji ambao uliwazuia watu waishi kama watu wa Mungu hasa hali ya udhalimu dhidi ya maskini na wenye njaa. Mateso yao yadhihirisha kwamba tuko na jamii ya kijeuri ambapo wako baadhi ya watu wenye nguvu kwa sababu wanamiliki mali na pesa nyingi wakati wengine wengi hawana kilicho cha kutosha kwa kuishi. Sisi pia kama si makini tunaweza kusaidia ili hali ya udhalimu wa kijamii uongezeke kwa sababu dhambi ya kijamii ni matokeo ya kiasi cha dhambi za kibinafsi. Kuhusu hayo Baba Mtakatifu Francisco asema: “Ulaji umetuongoza kutumia vitu bure pamoja na ubadhirifu wa chakula cha kila siku... Tunapaswa kukumbuka kwamba chakula ambacho sisi hutupa takatakani ni kama ikiwa tulikuwa tumeiba kutoka meza ya walio maskini na wenye njaa.” Hali ya watu hawa ilikuwa kipaumbele katika kazi ya Yesu ambaye alichukua ahadi ya kuwa maskini ili kuwatajirisha wote kwa umaskini wake.    

         Katika somo la pili, Mt. Paulo anatushauri kuwaombea watu wote hasa wale ambao wako na mamlaka ya kuongoza na kutawala, yaani Viongozi wa Kanisa, Serikali na kadhalika. Hao wanapaswa kufanya kazi yao vizuri ili tuweze kuishi maisha ya utulivu na amani. Sisi ni wa Mungu na kwa hivyo, kazi ya viongozi wote kwa ajili ya maisha yetu ni ushiriki katika utawala wa Mungu mwenyewe ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli. Ni jukumu letu ili watawale vizuri nayo inampendeza Mungu. Tukiendelea kutafakari kwetu, tuko na mfano ambao Yesu alisimulia kuongea kuhusu mahitaji ya kuwa mwaminifu katika jukumu ambalo tumepokea kutoka kwa Mungu. Kile kilicho nacho kinatoka kwa Mungu kwa sababu vyote vyatoka kwake. Anatukabidhi utunzaji wa vyote na kutarajia tupate kusimamia zawadi zake kulingana na mapenzi yake. Sisi sio walio na mali bali wasimamizi wa zawadi za Mungu. Hivyo, tunapaswa kuitumia pesa sio kama lengo la maisha, bali kama chombo cha kuizaa hali nzuri kwa wote.

          Tunaishi katika jamii ambapo pesa ni kipimo cha kila kitu na pia inaonekana kwamba pesa inatutawala. Kila kitu ambacho tunahitaji hakiwezekani kupata bila pesa. Hii ni nguvu na maana ya kuishi kwa watu wengi. Je, Wakristo wanapaswa kuwa na tabia gani mbele ya utajiri? Wale wanaofuata Kristo wanapaswa kuwa waaminifu katika mambo yote na kutumia tabia kamili kuhusu pesa. Kutokuwa na tabia kamili kuhusu jambo hili kunatuongoza kusahau uangalifu kwa ajili ya familia, utunzaji kwa afya yenyewe, uhusiano wa kweli na Mungu na kadhalika. Mara nyingi uhusiano wetu na Mungu unasumbuliwa kwa sababu ya hamu ya kuwa na pesa na mali nyingi. Yesu hasemi kwamba pesa si muhimu, lakini asema kwamba haiwezi kutushika na kutumiliki. Yesu anataka tufahamu kwamba pesa haijengi thamani za kweli ambazo zinazaa uzima na furaha. Tunaweza kuitumia pesa ili kumtumikia Mungu, bali hatuwezi kumtumia Mungu ili tupate pesa. Tunapaswa kuwa macho kwa sababu hali hii inaweza kutokea na mara nyingi bila tuweze kuitambua hiyo. Pesa ni kitu ambacho kinaweza kututumia na kutubadilisha kuwa wasio na hisia kwa ajili ya Mungu na kwa mahitaji ya wengine.     


       Pesa inatusaidia kuishi lakini imewaweka watu mbali sana wao kwa wao. Pesa inaijenga nyumba lakini inaweza kuharibu familia. Kupitia pesa tunaweza kuinunua nguo, chakula na kadhalika, lakini pia inaweza kuzaa upendeleo, ubaguzi na utoaji rushwa. Hatuwezi kuruhusu kwamba pesa iwe chombo cha tofauti kati yetu, kutuongoza kuwabagua wengine. Kati yetu tunajua jinsi vile pesa imekuwa muhimu, hasa kuhusu sadaka ya ukarimu kwa ajili ya kulijenga kanisa-hekalu na kwa ajili ya mahitaji mengi katika kazi zetu za uinjilishaji. Tunamshukuru Mungu kwa matumizi ya pesa kama maonyesho ya ukarimu kwa manufaa ya jumuiya zetu kwa kulijenga Kanisa la Bwana. Tena tumwombe neema ya kuwa na tabia kamili mbele ya pesa kutumia ishara hii si kama chombo cha ubaguzi, bali kama chombo cha undugu.   

Padre Josuel Ndega

sábado, 10 de setembro de 2016

MUNGU ANAFURAHI SANA TUNAPOMRUDIA YEYE


Kutafakari kuhusu Lk 15, 1-32

Sura ya kumi na tano ya toleo la Luka ni maarufu miongoni mwa mifano ya Yesu. Hii inaitwa sura ya Mifano ya huruma. Tuko na mifano mitatu (Kondoo aliyepotea: 4-7; Sarafu iliyopotea: 8-10; Mwana mpotevu: 11-32). Mifano hii inaonyesha tabia ya huruma ya Mungu kuhusu wenye dhambi na furaha ya kukutana tena na yule ambaye alipotea. Kwa kufahamu nia ya Yesu alipoisimulia mifano hii tunahitaji kutafakari kwanza kuhusu mazingira ambayo Yesu aliishi. Katika muktadha huo, baadhi ya watu walijiona waliostahili wokovu wa Mungu kwa sababu ya uaminifu wao kwa Sheria. Walichukua mamlaka ya kuwatenganisha watu, wakiwapanga kama wema au wabaya. Mamlaka haya hayatoki kwa Mungu kwa sababu kipimo ni ubaguzi. Walisahau kwamba mbele ya Mungu watu wote ni sawa. katika njia yake ya kupenda Mungu hambagui yeyote. Kwa upande wake watoza ushuru na wenye dhambi ni watoto wake kama vile ndio Mafarisayo na Waandishi. Ikiwa hao wanaweza kuzaa undugu, tena wataweza kuishi katika ushirika na Mungu, anayekaribisha kila mtu ili awaokoe wote.

          Ingawa yako matukio mengi katika Agano la Kale, ambayo yanaonyesha njia maalum ya Mungu ya kutenda, ni “katika Yesu Kristo kwamba huruma ya Mungu imepata kuwa hai na yenye kuonekana, na hata ilifikia kilele chake katika Yeye... Yesu ni uso wa huruma ya Baba. Kila kitu ndani yake kinaongelea huruma. Hakuna chochote kwake kinachopungukiwa na huruma (Baba Mt Francisco).”  Kama alama ya huruma ya Mungu, Yesu ana chaguo wazi sana, yaani, “Mtu huyu huwakaribisha wenye dhambi, tena hula nao”. Maneno haya yalisemwa na wale waliompinga Yesu. Kwa kweli, Yesu alikuwa na njia maalum ya kuongelea huruma ya Mungu, yaani katika Yesu jambo la huruma lilionyeshwa “kwa neno lake, matendo yake na kwa nafsi yake yote.” Yeye alitumia ishara nyingi za makaribisho, akithibitisha lengo la ujumbe wake na ukweli wa mafundisho yake. Kwa kweli, watozaushuru wengi, makahaba na wengine waliokataliwa na jamii, walijiona kukaribishwa na Yesu na tena kubadilishwa kwa sababu ya mkutano na huruma ya Mungu.

          Katika mfano wa mwana mpotevu, ingawa tuko na tukio la kijana mdogo na hisia za kijana mkubwa, macho yetu yamlenga baba wa vijana hawa wawili ndiye aliye mhusika mkuu wakati wote. Uhusiano wake wa mapendo kwa vijana wake, ambao wote ni wapotevu kwa njia tofauti ndio umuhimu wa tukio hili. Kulingana na Yesu, baba huyo ni kama Mungu ambaye ana watoto tofauti na kushiriki nao zawadi zake kwa njia sawa. Yeye anawapenda wote na kutaka watu wote wajione wakiwa katika familia, kushiriki kwa furaha yake kama Baba. Katika familia hii anautoa utunzaji na ulinzi ili wawe na maana nzuri ili kubaki naye daima. Wakati yeyote anapoamua kutenda kinyume naye na kubaki mbali sana naye, sio kwa maana mtu huyo hajihisi kupendwa, bali ni kwa sababu anajiona mwenye uhuru. Kama huu ni uzoefu wa upendo wa Baba: huu ni wa hiari na kuuzaa uhuru. Sisi pia tunahisi mbali sana na Mungu wakati sisi hutenda kinyume naye, yaani, tunapomkosea. Yeye anajihisi ameachwa na kusalitiwa, lakini haachi kutupenda. Kama yule baba, Mungu anashughulika sana na maisha yetu. Anakuja kututafuta ili kutupa sisi ulinzi na utunzaji wake. Kwa hivyo tunahisi majuto na kivutio cha kuishi tena uzoefu wa ushirika tumeopoteza. Ingawa mara nyingi tunakataa utambulisho wetu wa wana, kwa dhambi zetu, Mungu haukatai utambulisho wake wa Baba kamwe.

         Katika mfano huu yuko pia mwana mkubwa ambaye hajihisi mwana, kwa sababu anajiona kuwa ni mfanyakazi, wala hajihisi ndugu, kwa sababu anamkataa ndugu yake mdogo. Tabia ya huyo mwana mkubwa inaizuia furaha kamili ya Baba na ukamilifu wa sikukuu. Kumrudia Mungu ni maana ya furaha kubwa kwake. Lakini furaha yake haiwezekani kuwa kabisa ikiwa hatushiriki katika hisia zake kuhusu wengine. Hataki kwamba tuwe na wivu kuhusu njia yake ya kupenda; anataka kwamba tutende kama yeye alivyo. Kwa hivyo Yesu alisema, “Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo.” Upatanisho na wengine ni kipimo ili uhusiano wetu na Mungu uwe kweli. Hii ni njia ya kweli ya toba iliyo mwendo wa muda mrefu na huanza mioyoni mwetu. Kupitia Ekaristi hii, turuhusu kuguswa na huruma ya Mungu ili tuweze kuwa vyombo vya huruma hii kwa wale wanaohitaji msamaha wetu.

Fr Ndega 
Mapitio na marekebisho: Serah

domingo, 4 de setembro de 2016

KUMFUATA KRISTO KWA KUPANGA MAMBO YA KESHO


Kutafakari kuhusu Lk 14: 25-33

     Umati wa watu waliandamana na Yesu, lakini sio wote waliokubaliana naye. Alipoitambua hali ya kutokuwa na ahadi na makubaliano, aligeuka, akiwakazia macho na kuzungumza nao. Maneno yake yalikuwa nafasi ya kutafakari kwa kweli maana ya safari yao. Ingawa Yesu alikuwa maarufu, kwa sababu ya mambo mema kwa ajili ya watu, utume ambao Yesu alichukua kutimiza mapenzi ya Mungu hauleti umaarufu. Watu walichanganyikiwa kuhusu Yesu kwa sababu hawakumjua bado na kumfuata kwa njia yoyote. Kama Yesu hakuwa na nia ya kumdanganya yeyote, aliongea nao kwa uwazi sana kuhusu maana ya kumfuata na matokeo ya uamuzi huu. Kusema hivyo kulikuwa tabia yake ya kawaida kama alivyofanya kwa ajili ya wale kumi na wawili, yaani aliwajulisha masharti ili wawe wanafunzi wake wa kweli. Kutoka kwao, Yesu hakutarajia werevu ama upumbavu, bali kupatikana na hatia. Hawawezi kumfuata Yesu kwa sababu walipokea habari tu ya kuwa ni vizuri kufanya hivyo. Yesu anatarajia zaidi, mabadiliko ya ndani.

           Andiko hili ni mwaliko wa kuchukua ahadi ya kumfuata Kristo kwa kupanga mambo ya kesho, yaani kuwa na uwezo wa kuona mbele ili kutenda vizuri ama Kuwa na utoaji ili kuepuka kufaragua. Ni vizuri kuota ndoto lakini ndoto hii inapaswa kuihusu hali halisi mtu anayoishi, vinginevyo itakuwa udanganyifu tu. Yesu anataka kuepuka kwamba safari ya wafuasi wake iwe pasipo maana ama udanganyifu. Ni lazima utambuzi, hekima, kupanga na uamuzi. Mungu mwenyewe anatupa mfano wa kuwa na mipango ya muda mrefu ili tupate mafanikio katika safari yetu kama wafuasi wa Yesu. Yeye Mungu alipanga kumtuma mkombozi ndiyo maana miaka ilihesabiwa kwa kurudi nyuma maneno kabla ya Kristo (K.K) kuzaliwa yakitumika. “... wakati maalum ulipotimia, Mungu alimtuma Mwanawe aliyezaliwa na mwanamke... ili apate kuwakomboa waliokuwa chini ya sheria.” (Wagalatia 4: 4-5). “Hata baadhi ya wakulima hutegemea mvua inyeshe hata kama hawajaandaa shamba mahali pa kupanda mbegu kama za mahindi au maharagwe.” Kupanga mambo ya kesho ni muhimu.

         Yesu alisema, “Basi, kadhalika kila mmoja wenu asiyeacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.” Kama ilivyotekea katika vifungu vingine, Yesu aliwapendekezea watu mpango wa maisha nao mpango huu unajumuisha kujinyima, kwa sababu yeyote anayekutana na Yesu kwa kweli amekwisha pata hazina ya kweli kwa maisha yake wala hawezi kubaki alivyo, yaani mambo mengine hayana maana tena. Kwa maneno mengine, Yesu anataka kuwa kipaumbele maishani mwa wanaoamua kumfuata. Hakuna jambo lingine ambalo liweze kuitoa maana ya kweli kwa maisha yao ila Yesu mwenyewe. Wanafunzi wa Yesu wa kweli walimtegemea Mungu katika mambo yote kama Yesu alivyo. Yeye alishiriki na wanafunzi wake ufalme wa mbinguni na kuwajulisha njia ya msalaba ili waweze kufanya mapenzi ya Baba yake. Kupitia njia hii, tunatambua kwamba Kumfuata Yesu hakuuleti upendeleo au hadhi, bali mateso na kujisalimisha kwa ajili ya ufalme wa Mungu. Basi, yeyote ambaye anataka kuishi shwari na bila ahadi hawezi kumfuata Yesu. Tena yeyote ambaye anatamani kumfuata Kristo bila msalaba hatamfuata Yeye kwa kweli kamwe.

         Kupitia njia ya unyenyekevu na utupu Yesu alipata utukufu. Kupitia njia hii utambulisho wa wanafunzi na mwalimu Yesu unatokea. Kwa upande wa Kristo msalaba ulikuwa sehemu muhimu katika mwendo wa kufanya mapenzi ya Mungu na kudhihirisha mpango wa upendo wake. Kwa upande wetu kama wanafunzi, kuchukua msalaba ni ishara ya utayari wetu kwa kuruhusu kuongozwa na Mungu na kuyakaribisha mapenzi yake kwa maisha yetu. Kwa kufikia lengo hili tunapaswa kujikana nafsi yetu, yaani kujisahau sisi wenyewe ili wengine waweze kukumbukwe. Tunapaswa kujikana ili Mungu aweze kujifunua kwa nguvu yote ya upendo wake. Kujiondoka kutoka katikati/mahali muhimu ili wengine waweze kuwa na nafasi zaidi. Kwa maneno mengine, tunapaswa kuwafikiria wengine kuwa wamuhimu zaidi kuliko sisi wenyewe. Kama haiwezekani kumfuata Kristo bila msalaba, mfano wake wa uaminifu kwa mpango wa Mungu utuimarishe ili tuchukue msalaba wetu wa kila siku, kumfuata kwa uaminifu na kufanya mapenzi ya Mungu.

Fr Ndega
Mapitio na marekebisho: Serah

domingo, 28 de agosto de 2016

UNYENYEKEVU NA UKARIMU KAMA VIPIMO VYA UHUSIANO WETU


Kutafakari kutoka Luka 14,1.7-14

        Yesu alialikwa kula chakula nyumbani mwa Mfarisayo mmoja na, kwanza kabisa, yeye alisababisha usumbufu kwa sababu alimponya mtu mmoja siku ya Sabato. Sheria ya Wayahudi inakataza hali hii, lakini Yesu anapendelea kuwajali watu kuliko kuifuata sheria ambayo haikufuata tena nia ya Mungu ya asili. Akitarajia waweze kufikiri kama yeye aliwauliza swali: “Je, ni halali au la kumponya mtu siku ya Sabato?” Lakini wao wakakaa kimya. Tukumbuke kwamba Mafarisayo na Waandishi waliondoa maana ya kinabii ya sheria, wakitafsiri kulingana na mawazo yao ya upungufu. Hao wanapenda sana kujiinua na kupendezwa. Mara nyingi Yesu alipokutana nao hakufikia mafanikio kuhusu mapendekezo yake ya maisha mapya kwa sababu wao ni wanafiki na wanapendelea kumjaribu Yesu kuliko kubadilisha mawazo yao kulingana na matarajio ya Yesu. Kwa hivyo mkutano wa Yesu nao ni maana ya mapambano/mfarakano daima.

     Yesu yupo mloni, karamuni. Injili ya Luka inaonyesha kwamba kushiriki katika milo mbalimbali kulikuwa muhimu sana kwa Yesu aliyetumia vipindi hivi kama nafasi ya kuwafundisha watu. Karamu miongoni mwa Wayahudi inathamini sana. Pamoja na maana ya uzoefu wa familia, kielelezo cha urafiki, mshikamano na hamu ya kukuwa pamoja, karamu pia ni mfano wa uhusiano wa upendo kati ya Mungu na watu wake (Hos 2:1-23, Isa 54:4-8, Eze 16:7-8). Katika mafundisho ya Agano la Kale, kushiriki katika Ufalme wa Mungu, mara nyingi hulinganishwa na kushiriki katika karamu (Isa 34:5-7, Zek 9:15,1 Nya 12:38, Zek 14:15-24). “Karamu za namna hiyo mara nyingi zilikuwa na ujumbe wa kimasiha. Zilisherehekea ushindi wa Mungu dhidi ya nguvu za uovu (Isa 25: 6-8), zikaimarisha uhusiano kati ya Mungu na watu wake, na kuwaunganisha watu kati yao.” Huu ni kweli, mfano kwenye karamu ya arusi. “Upendo wa Mungu ni kama ule wa Bwana arusi, jinsi alivyolipenda na kulichagua Taifa la Israeli kama mali yake mwenyewe. Wakristo wa kwanza, walifikiria pia juu ya uhusiano wao na Kristo kama mfano (Yoh 3:39, 2Kor 11:2, Efe 5:23-32).”

         Basi, katika injili ya leo, Yesu alishangaa kwa sababu ya mashindano ya watu kwa ajili ya mahali pa kwanza katika karamu naye aliwapendekezea tabia tofauti. Kulingana na Yesu tabia ya ukarimu wao kwa ajili ya maskini na wasiojiweza ni njia ya kuonyesha kuwa upendo wa Mungu unatolewa kwa hiari kwa ajili ya watu wote. Kwa maneno mengine, karamu zinapaswa kutafakari upendo wa Mungu kwa wote. Katika karamu ya arusi mbinguni, yeye atawakaribisha wale wanaomwelekea. Katika jamii, kwa kawaida, kutafuta mahali pa kwanza, msimamo, upendeleo, umaarufu, na kadhalika huongezeka sana. Hali hii husababisha mapambano/mfarakano, chuki na ukatili. Hata katika Kanisa na jumuiya zetu tunaweza kukuta hali kama hii. Yesu alikwisha ameonya kuhusu hatari za hali hii na kufundisha unyenyekevu kama njia kamili. Unyenyekevu ni fadhila ambayo inampendeza Mungu na watu. Kuwa mnyenyekevu ni kuchukua hali ya udhaifu ya kibinafsi kushinda mwelekeo wa kuwa bora kuliko wengine. Inamaanisha kuweka vipaji vya kibinafsi kuwatumikia wengine kwa ukarimu na upendo.


        Lengo la Yesu ni kuzaa ubinadamu mpya na aina mpya ya uhusiano miongoni mwa watu. Msingi wa ubinadamu mpya ni unyenyekevu na upendo. Thamani hizi zinapaswa kusaidiwa zaidi miongoni mwetu. Kupitia utumishi wa kindugu na wa kinyenyekevu tunaweza kufikia lengo la Yesu ambaye ana mawazo tofauti na yale ya jamii. Kwake Yesu, mtu ni mkuu ikiwa yeye ni mdogo; tena mtu ni wa kwanza ikiwa yeye ni wa mwisho; pia mtu anakwezwa ikiwa yeye anajishusha. Katika jumuiya zetu za wafuasi wa Yesu muhimu sio uhusiano wa biashara bali upendo wa hiari na ukarimu, kutumikia wenzetu kama Mwalimu Yesu ambaye alikuja kutumikia na sio kutumikiwa. Maisha yake ya utumishi ni kipimo chetu. Hatuhitaji mahali pa kwanza, bali kutumikia kwanza kwa njia ya unyenyekevu na ukarimu. Tujifunze kutoka kwa Kristo aliyefahamika kama Mtumishi wa Bwana kwa namna ya kipekee, ili utumishi wetu uweze kumpendeza Mungu.   

Fr Ndega