domingo, 26 de abril de 2020

NENO LINALOUCHOMA MOYO NA ISHARA INAYOUBADILISHA



Kutafakari kuhusu Mat 2, 14a.22-33; 1Pd 1, 17-21; Lk 24, 13-35



Tafakari ambayo tunapendekeza kutoka maandiko haya inaongea kuhusu mwendo wetu wa upevu wa imani unaoimarishwa na uhakika wa uwepo wa Bwana Mfufuka anayeandamana nasi anatueleza Maandiko Matakatifu yanayoongelea yeye na kuumega mkate kwetu ili tuwe na nguvu na ujasiri kutuendelea Kasi yake ya uokovu.  

Yesu alishiriki uwezo wake na wanafunzi wake akiwawezesha waendelee kazi yake. Kwa msaada wa Roho Mtakatifu, hasa katika siku ya Pentekoste, walitangaza kwa furaha uzoefu walioishi pamoja na mwalimu wao na ushindi wake juu ya mauti kwa uwezo wa Mungu. Tangazo hili ni mwaliko wa tumaini kwa sababu ushindi wa Yesu unatoa nafasi ya wokovu kwa wote.

Petro katika somo la pili anatuongea kwamba kama wanafunzi wa Kristo, tunaishi hapa duniani kama wageni. Kwa sababu ya Kristo imani yetu na tumaini letu linamwelekea Mungu ndiye Baba ambaye anatufikiria kama watoto na kutaka tutende kulingana na mfano wa Mwanawe Yesu. Ingawa Yesu haonekani tena kwa macho, yeye anaweza kutambuliwa kwa maisha yetu na matendo yetu mema.  

Mazungumzo ambayo injili inatujulisha ni mamoja kati ya mazungumzo ya ajabu na ya kamili ya Biblia. Tuko na wanafunzi wake wawili walikuwa wakielekea mji uitwao Emau, Kilomita 11 kutoka Yerusalemu. Wanafunzi walihuzunika sana, wamekata tamaa, wamekufa moyo na wakaiacha jumuiya na kurudi nyumbani, wakiwa tayari kusahau kila kitu walichoshiriki pamoja na Yesu. Walitarajia Masihi mtukufu na mfalme mwenye nguvu, lakini matokeo yalikuwa mbali sana na matarajio yao: mtu mpendwa alishindwa na akafa msalabani. Hakuwa na chochote cha kufanya isipokuwa kurudi kwa maisha waliyoyajua kabla ya kukutana na Yesu.

Ghafla alitokea mtu mgeni, ambaye alitembea pamoja nao na kuongea nao kuhusu matokeo ya hivi punde, yaani Yesu aliye nabii mwenye nguvu katika kazi na maneno mbele ya Mungu na watu, lakini alikuwa na mwisho usiotarajiwa. Huyo Mtu Hija aliyatafsiri Maandiko ambayo yanazungumza kuhusu Masihi. Walimsikiliza kwa uangalifu na mioyo yao ilianza kuchoma. Hatimaye, wanafunzi walifika nyumbani na kumwalika: “Kaa pamoja nasi, Bwana”!

Baada ya kulikaribisha Neno la Mtu hija, walimkaribisha nyumbani kwao. Yule mgeni alikubali kuingia sio kwa kukaa pamoja nao usiku mmoja tu, bali kubaki nao daima. Wakati wao walikuwako mezani,  mtu Hija  alifanya ishara inayojulikana, ishara ya karamu ya mwisho, wakati Yesu alipoanzisha Ekaristi. Macho ya wanafunzi yalifunguliwa na kumtambua Bwana Mfufuka. Hivyo Neno linaichoma mioyo; kuumega mkate hufanya kufungua macho. Kristo alitoweka maana jumuiya imekwisha pata ishara halisi za uwepo wake, yaani Neno lake na Mkate Uliomegeka. Asiyeonekana kwa macho, Bwana ndiye kuwepo na kubaki daima. Sasa ni wakati wa kushuhudia.

Yesu yu hai na kuandamana na binadamu katika safari, hata ingawa hatambuliwi daima. Anajifanya kujulikana katika uzoefu wa kuumega mkate. Kama wanafunzi wake tunahitaji kuwa pamoja naye, kujiruhusu kuandamana naye, kusikiliza maneno yake na kumwalika kukaa nasi. Ni thamani yake kukaa nasi na kutuonyesha njia ya kweli ya kuishi. “Ni maonyesho haya ambayo Wakristo wa kwanza walitumia kuonyesha ushirika wao wa Ekaristi. Kwa kufanya hivyo walimaanisha kwamba wote ambao wanakula mkate mmoja uliomegwa, yaani Kristo, wanaingia katika ushirika pamoja naye na kufanya mwili mmoja naye” (CCC 1329).

Katika safari yetu ya imani hatuko peke yetu kamwe. Yesu anatujia na kutembea pamoja nasi. Yeye anapatikana kwetu hasa wakati tunapokata tamaa na kutaka kuacha ahadi yetu kabisa. Yeye anatusikiliza na kutuongoza kwa neno lake ambalo linachoma mioyo yetu ili tuweze kumtambua katika Ekaristi na kuishi hali hii katika uzoefu wetu wa kila siku. Ndio uzoefu huu unaotufanya kuwa mashahidi wenye furaha na ujasiri wa uwepo wake hai na ufanisi kati yetu.   

Fr Ndega

sábado, 25 de abril de 2020

LA PAROLA CHE BRUCIA IL CUORE E L’ESEMPIO CHE LO TRASFORMA



Riflessione su At 2, 14a.22-33; 1Pt 1, 17-21; Lc 24, 13-35


      
          La riflessione che proponiamo a partire da questi brani, ribadisce il nostro processo di maturità della fede motivato dalla certezza della presenza del Signore Risorto che cammina con noi, apre le nostre menti perché possiamo comprendere le Scritture che parlano di Lui e ci nutre con il Pane di Vita che Lui spezza per noi perché abbiamo la forza e il coraggio per continuare la sua Opera di salvezza.

         La prima lettura dagli Atti degli apostoli sottolinea come Gesù abbia condiviso con i suoi discepoli ciò che ha ricevuto da Dio perché loro potessero continuare la sua stessa missione. Con l’aiuto dello Spirito Santo, specialmente dal giorno di Pentecoste, hanno annunciato con gioia l’esperienza vissuta con il loro maestro e la sua vittoria sulla morte per la forza di Dio. Questo annuncio è un invito alla speranza perché la vittoria di Gesù dà possibilità di salvezza a tutti.

       Pietro, nella seconda lettura, ci dice che come discepoli di Cristo, viviamo quaggiù come stranieri. Grazie a Cristo, la nostra fede e la nostra speranza sono rivolti a Dio Padre che ci tratta da figli e vuole che agiamo ad esempio del suo Figlio unigenito. Anche se egli non è visibile ancora una volta agli occhi della gente, può essere riconosciuto tramite la nostra vita e le nostre buone opere.

       Il dialogo che il Vangelo ci presenta è uno tra i testi più belli e completi delle Sacre Scritture. Narra dei due discepoli di Gesù che erano in cammino verso una città di nome Emmaus, a 11 chilometri da Gerusalemme. Erano molto tristi, frustrati, scoraggiati; hanno lasciato la comunità e stavano tornano a casa, pronti a dimenticare tutto ciò che hanno condiviso con il Maestro.  Aspettavano un Messia re glorioso e potente, ma il risultato è stato tutt’altro che le loro aspettative: una persona cara che ha finito i suoi giorni sulla croce. Non c’era niente da fare se non tornare alla vita che conoscevano prima di incontrare Gesù.

       All’improvviso uno sconosciuto si affianca, cammina con loro e parla con loro circa le ultime notizie su Gesù, il profeta potente in opera e in parole davanti a Dio e alla gente, il quale ebbe una fine inaspettata. Quel pellegrino aiuta loro a interpretare le Scritture che parlano del Messia. Essi ascoltano con attenzione e i loro cuori cominciano ad ardere ma non riescono ad ammettere che si trattava di qualcosa di insolito. Alla fine, i discepoli arrivati a casa, invitano quel pellegrino a restare con loro. Era quello che mancava perché l’esperienza del cammino non finisse in una semplice condivisione riguardo qualcuno che li aveva illusi e ora non c’era più.

        Dopo aver accettato la parola del pellegrino, lo accolsero a casa. Egli accettò non solo per stare con loro quella notte, ma perché lo sentissero presente con loro sempre. Quando erano a tavola, il pellegrino fece un gesto che ricordava l’Ultima Cena, quando Gesù istituì l’Eucaristia. Gli occhi dei discepoli si aprirono e riconobbero il Signore Risorto.

       Così, la parola brucia il cuore; il pane fa aprire gli occhi. Cristo scomparve (si è reso invisibile) perché la comunità aveva già ricevuto due segni concreti della sua presenza visibile, vale a dire: Parola e Pane spezzato. Anche se invisibile agli occhi, il Signore è presente e rimarrà per sempre. Ora è il momento di testimoniare con grande gioia questa verità.

     Gesù è il vivente e ci accompagna nel nostro cammino, anche se non sempre è riconosciuto. Si fa riconoscere nell’esperienza del pane spezzato con amore e in fraternità. Come i suoi discepoli dobbiamo lasciarci accompagnare da lui, ascoltare le sue parole e invitarlo a restare con noi. Egli per primo vuole stare con noi e mostrarci il vero modo di vivere. “È questa esperienza dello spezzare il pane che i primi cristiani hanno utilizzato per mostrare la loro comunione eucaristica. Facendo questo vogliono dire che tutti coloro che mangiano dell’unico pane spezzato, che è Cristo, entrano in comunione con lui e con egli costruiscono un solo corpo” (CCC 1329).

       Nel nostro cammino di fede non siamo mai soli. Gesù ci viene incontro, cammina con noi, è accessibile, specialmente quando sperimentiamo la delusione e pensiamo di abbandonare tutto. Egli ci ascolta e ci guida attraverso la sua Parola che brucia il nostro cuore e ci aiuta a riconoscerlo presente nella Eucaristia. Questa esperienza della Parola e del Pane spezzato in comunità ci fa diventare testimoni gioiosi e coraggiosi della sua presenza viva ed efficace nel mondo..

Fr Ndega
Revisione dell'italiano: Giusi

domingo, 19 de abril de 2020

KUWA CHOMBO CHA HURUMA YA MUNGU



Kutafakari kuhusu Yoh 20,19-31



            Jumapili hii inaitwa “Jumapili ya huruma”. Tuko na mengi ya kujifunza kuhusu jambo hili lililo tabia ya msingi ya kitambulisho yetu ya Kikristo. Yesu mwenyewe anatuhakikishia: “Heri walio na huruma, maana watahurumiwa” (Mt 5:7). Kulingana na Baba Mtakatifu Francisco, “Yesu Kristo ni uso wa huruma ya Baba. Fumbo la imani ya Kikristo linaonekana kukuta awali yake katika neno hili (...) Tunahitaji kutafakari fumbo la huruma. Hiyo ndiyo chemchemi ya furaha, utulivu na amani.”

Somo la kwanza linaongea kuhusu njia ya Wakristo wa kwanza ya kuishi kilicho kipimo cha utambulisho wa jumuiya za Kikristo za nyakati zote. Wakristo wa zamani walipata mafanikio katika safari yao kwa sababu ya vipimo vinne, yaani “mafundisho ya mitume, kuishi pamoja kindugu, kumega mkate na kusali.” Njia ya kuishi kama wamoja iliwavutia wengine wengi ambao walitambua katika matendo yao ya ajabu tendo la Bwana aliye Mfufuka. Hivyo,  kwa ushuhuda wao watu wengi walikutana na huruma ya Mungu.

Akiongea na watu wa Jumuiya za Kikristo ambazo zilikabiliana na migogoro mingi, Petro aliwahamasisha kwa maneno ya kutia moyo akiwaalika kumtukuza Mungu kwa sababu ya huruma yake kubwa. Kwa ufufuko wa Kristo yeye Mungu alitufanyisha kuzaliwa tena kwa tumaini hai ambayo haikatishi tamaa. Ingawa tukabiliane changamoto na mateso mengi tunaalikwa kuishi imani yetu kwa furaha na kwa ahadi mpaka tupate lengo la imani hii, yaani wokovu.

Baada ya kuona ukatili kwa Bwana wao, wanafunzi wa Yesu waliishi katika mazingira ya hofu. Hawakutaka kuwa na mwisho sawasawa wa mwalimu wao, lakini waliendelea wanakutana hata kwa siri. Mambo mengi ambayo walijifunza kutoka kwa Yesu yalikuwa maana ya utambulisho wao. Basi, ingawa walikuwa na hofu hawakuwa wasio na tumaini kwa sababu yule aliyewaita kumfuata hangewaacha peke yao. Kweli aliwataka kama mashahidi wake.

Akijua kwamba walihitaji msaada, Yesu aliwajia akiingia bila kufungua milango na kusimama katikati yao kwa sababu alitaka kuwa rejeo maishani mwao. Bwana Mfufuka ndiye mwenye uhuru na kupanga kufanyisha wenye uhuru wale ambao wanamfuata. Wanafunzi hawa walikuwa watumwa bado, yaani watumwa wa hofu zao, wa mashaka yao, wa mawazo yao ya Masihi yaliyokatisha tamaa na moyo wao wa kijiwe. Yeye alikuja kuwasaidia kushinda yote hayo katika safari yao ambayo yaliwazuia kumshuhudia kwa kweli.

Matokeo ya kwanza ya uwepo wa Bwana Mfufuka kwa wanafunzi ni furaha, yakithibitisha kwamba kuwa mwanafunzi wa Yesu ni kuwa mwenye furaha. Furaha inaifungua milango ya moyo kwa kuzipokea zawadi zingine. Bwana Yesu anawapa amani kama utambulisho naye aliye “Nabii asiye na ukatili”. Hivyo walikuwa vyombo vya amani. Pumzi ya Roho Mtakatifu ni ishara ya maisha mapya kwa ubinadamu uliofanyika upya kabisa kwa msalaba na ufufuko wa Kristo. Watu wapya hawa wakiishi kwa ushirika na Yesu na kwa msaada wa Roho Mtakatifu walitumwa kwa wajumbe wa huruma ya Mungu kwa kupitia msamaha na upatanisho. 

Thomas hakuwepo katika mkutano wakati Bwana Mfufuka alijionyesha akitoa zawadi zake. Hakika Thomas alipendelea uzoefu tofauti, yaani uzoefu wa “nje ya jumuiya.” Kutokuwepo huko kunamaanisha vipengele viwili:  Kwanza, Thomas ni mfano wa wale ambao wana ugumu wa kushiriki pamoja katika jumuiya. Kutokuwepo huko ni hatari kwa uzoefu wao wenyewe na kunaweza kuweka vikwazo kwa imani ya wengine.

Kwa upande mwingine, tunaweza kusema kwamba mfano wa Thomas unafanya jumuiya kushuhudia imani yake kwa kweli na kuaminika.  Haitoshi kusema “tumemwona Bwana!”. Bali ni lazima kumtambua na kumtangaza bila hofu kama “Bwana wangu na Mungu wangu!”. Kwa sababu ya Thomas, Yesu anatangaza maneno haya ya ajabu, yaani “Heri walioamini bila kuona.”

Kupitia mitume yake kama msingi Yesu ametupa zawadi ya imani na kutuomba tuishi imani hii pamoja na wengine, kwa kupendana na kusaidiana kama matokeo ya maisha mapya kutokana na ufufuko wa Bwana wetu. Mtu ana ugumu wa kuamini ikiwa anaamini peke yake. Imani yetu ni matokeo ya uzoefu wa kikanisa, kwa sababu imani ya Kanisa inaitangulia, inaizaa na kuiimarisha imani yetu. Bila ushiriki kwa hamu katika Jumuiya ya kikanisa, tuko na ugumu wa kutambua ishara za uwepo wa Bwana Mfufuka miongoni mwetu na imani yetu inakuwa haba na tena ndiyo hatari kwa imani ya wengine.

Andiko hili linatusaidia kutambua umuhimu wa kushiriki pamoja katika jumuiya. Bwana Mfufuka alitaka kujifunua kwetu kupitia msaada wa wengine. Tunapaswa kuwa macho kwa mwelekeo wa ubinafsi katika jamii ambao umeshawishi mahusiano yetu ya wanafunzi wa Kristo na kuuvuruga undugu wetu. Kwa njia ya ubinafsi maovu mengi yanatujia. Ni lazima kumchukua Yesu kama kipimo cha uzoefu wetu wa jumuiya nayo jumuiya inapaswa kuwa na nafasi muhimu katika maisha yetu ili tuweze kushinda hofu na kutokuwa na imani ili ushuhuda wetu uwe ufanisi katika hali iliyo kandokando yetu.

Fr Ndega

sábado, 18 de abril de 2020

ESSERE STRUMENTO DELLA DIVINA MISERICORDIA



Riflessione su Atti 2,42-47; 1Pt 1,3-9; Gv 20,19-31



      
       La domenica di oggi è chiamata “Domenica della misericordia”. Abbiamo tanto da imparare su questa caratteristica fondamentale della nostra identità cristiana! Gesù ci assicura: “Beati i misericordiosi, perché troveranno misericordia” (Mt 5, 7) e non c’è un’altra via per essere un vero discepolo. Abbiamo un’unica sorgente: Il Padre; abbiamo un’unica chiamata: essere misericordiosi. Secondo Papa Francesco: “Gesù Cristo è il volto della misericordia del Padre. Il mistero della fede cristiana sembra trovare in questa parola la sua sintesi. Abbiamo sempre bisogno di contemplare il mistero della misericordia. Questo è fonte di gioia, di serenità e di pace”.

      Il primo brano riassume l’identità delle prime Comunità cristiane in quattro aspetti fondamentali: “l’insegnamento degli apostoli, la fraternità, la frazione del pane (Eucaristia) e le preghiere”. Questi quattro aspetti diventano la misura della identità delle Comunità cristiane di tutti i tempi. L’unità fra di loro si fa rivelatrice della presenza e azione di Gesù Risorto, motivando tante persone a fare l’esperienza della misericordia di Dio.

      Scrivendo alle comunità cristiane in tempi di crisi, Pietro infonde loro consolazione e coraggio invitando a lodare Dio per la sua grande misericordia. Egli con la risurrezione di Cristo, ci ha rigenerati per una speranza viva, che non delude mai. Il cristiano è chiamato alla gioia, nonostante le prove e le difficoltà della vita. Nella sua identificazione con Cristo, cerca di vivere con autenticità la sua fede in ogni situazione per raggiungere l’obiettivo, cioè la salvezza.

        Dopo aver visto la violenza fatta dalle autorità giudaiche al loro Maestro, i discepoli di Gesù hanno vissuto un clima di paura. Non volevano sperimentare la stessa fine; tuttavia hanno continuato a trovarsi anche in privato. Molte cose che hanno imparato da Gesù erano per loro ragione di identità. Quindi, anche se erano in pericolo, non erano persone senza speranza, perché colui che li ha chiamati a seguirlo non li ha lasciati soli; voleva che fossero suoi testimoni.

       Sapendo che avevano bisogno di aiuto, Gesù si manifestò a loro nel cenacolo, a porte chiuse, e stette in mezzo a loro perché voleva essere il punto di riferimento nella loro vita. Il Risorto è libero e vuole rendere liberi coloro che lo seguono. I discepoli sono ancora schiavi delle loro paure, dei loro dubbi, del loro indurimento di cuore e della loro mentalità messianica delusa. Gesù viene proprio per aiutarli a superare tutto ciò che impedisce loro di essere veri testimoni.

       Il primo risultato di questa manifestazione è la gioia, confermando che essere discepolo di Gesù è essere portatore di gioia. La gioia apre le porte del cuore per ricevere il dono della pace e dello Spirito Santo. Con il suo Spirito, Cristo Risorto conferma la missione di questa comunità, simbolo della nuova umanità totalmente rigenerata dalla sua croce e risurrezione. Coltivando la comunione con Cristo e tra di loro, i discepoli sono inviati alla gente come strumenti della divina misericordia.

      Tommaso non era presente all’incontro comunitario quando il Signore Risorto si è rivelato con i suoi doni. Certamente egli ha preferito fare un’esperienza diversa. Per primo, la sua assenza nella comunità ci fa pensare a coloro che hanno difficoltà a partecipare alla vita della comunità. Questa situazione può essere un rischio per la sua esperienza personale di fede e anche essere ostacolo alla fede degli altri, poiché Tommaso ha avuto difficoltà a credere nella testimonianza degli altri.

      D’altra parte possiamo dire che la figura di Tommaso richiama la comunità a una testimonianza più autentica e convinta della sua fede. Non è sufficiente dire “abbiamo visto il Signore”, ma c’è bisogno di riconoscerlo e proclamare senza paura “mio Signore e mio Dio”. A causa di Tommaso, Gesù fa questa bellissima proclamazione: “beati quelli che non hanno visto e hanno creduto!”.

         Tramite i suoi apostoli, Gesù ci dà il dono della fede chiedendoci di vivere questa fede in una esperienza comunitaria, amandoci ed aiutandoci reciprocamente gli uni gli altri come segno concreto del loro coinvolgimento nel processo di risurrezione che il Signore ci propone ogni giorno. La persona ha difficoltà a credere se crede da solo. La nostra fede è risultato dell’esperienza ecclesiale, perché la fede della Chiesa precede, genera e nutre la nostra fede. Senza la partecipazione nella Comunità abbiamo difficoltà a riconoscere i segni della presenza di Gesù Risorto in mezzo a noi e la nostra fede diventa debole e anche ostacolo alla fede degli altri.

     Questo testo ci aiuta a riconoscere l’importanza di condividere la vita in comunità. Il Signore risorto ha voluto rivelarsi a noi attraverso l’aiuto di altri. Dobbiamo essere attenti alla tendenza della società, al suo modo individualistico di vivere che ha influenzato tanto le nostre relazioni fraterne. Attraverso l’individualismo altri mali arrivano. Noi dobbiamo accogliere Gesù al centro della nostra esperienza comunitaria ed assumere il ruolo della comunità come fondamentale nella nostra vita in modo da poter superare le nostre paure, le incredulità e cosi, a dare una testimonianza efficace nella realtà che ci circonda.


Fr Ndega
Revisione dell'italiano: Giusi

segunda-feira, 6 de abril de 2020

O SENTIDO DA DOR HUMANA



Reflexão sobre Mt 21,1-11; Is 50,4-7; Fil 2,6-11; Mt 26,14-27,66



            Estamos iniciando a semana mais importante para as Comunidades cristãs. É a semana que reúne os eventos centrais da nossa fé, narrando com muito simbolismo e profundidade os últimos momentos de Jesus em sua existência terrena e convidando ao silencio e a contemplação. É uma oportunidade também para revermos toda a nossa caminhada de compromisso com o Senhor e deixar-nos renovar pelo seu exemplo de fidelidade e decisão.
Somos convidados a acompanhar Jesus que entra vitorioso em Jerusalém para concluir a sua obra de amor. De fato, ele não vem montado a cavalo com arrogância e com um exército poderoso como faziam os generais ao entrarem nas cidades, mas vem montado num jegue, cheio de bondade e misericórdia assim como tem sido toda a sua vida. Jesus é muito consciente do que está para lhe acontecer, mas não se deixa abater. Pelo contrário, demonstra liberdade de Filho muito amado e enviado para salvar a humanidade. Enquanto recordamos sua entrada solene na cidade da paz, recordamos também a sua paixão e morte nesta cidade que tem também a fama de agir de forma violenta contra os enviados de Deus. Portanto, sua morte não é uma fatalidade, mas o resultado de uma missão profética vivida com fidelidade até as últimas consequências.
Como sabemos, o profeta Isaias apresenta quatro cânticos para falar da identidade missão do Povo de Deus, que é também chamado “Servo do Senhor”. Estes cânticos foram compostos durante o exílio na Babilônia e podemos encontrá-los na segunda parte do Livro de Isaias[1]. O texto que estamos usando nesta reflexão é o ‘terceiro cântico’ e segundo este, o Servo vive a sua vocação como um dom de Deus para dar nova vida aos seus irmãos/irmãs. Por causa de sua fidelidade, enfrenta muitas humilhações, rejeição e sofrimento, mas não desanima, pois se sente acompanhado e ajudado por Deus.
As Comunidades cristãs aplicam a figura deste Servo ao próprio Jesus. Ele, segundo São Paulo, em sua identificação com a condição humana, se humilha, aceita ser ultrajado e morto por causa de sua fidelidade a Deus. A sua confiança filial em Deus é a razão de sua fidelidade. Pela humilhação ele encontrou o caminho de sua glorificação. O caminho da humildade, dos pequenos gestos e da opção pelo que é mais insignificante aos olhos da sociedade serão os autênticos sinais que identificarão os que continuarão a sua obra.  
Segundo a narração de Mateus, Jesus considera que a sua prisão, paixão e morte será motivo de escândalo para os seus discípulos, pois eles ainda tinham a mentalidade triunfalista de messias e Jesus sabia disso muito bem. No entanto, ele completa o discurso - como sempre - falando da ressurreição e do encontro que terá com eles a partir de onde tudo começou, da Galileia. Para Jesus não existe expressão de amor maior que a de doar a vida pelos amigos, mesmo que estes tenham fugido (exceto as mulheres e o discípulo amado, segundo o evangelho de João).
Em seu grito: “Meu Deus, meu Deus, por que me abandonaste”?, Jesus expressou a dor que realmente sentiu como ser humano, isto é, a dor do abandono, a dor dos ultrajes, a dor dos pecados da humanidade, etc. E no momento em que tudo parecia ter sido feito em vão, temos a grande profissão de fé vinda da boca de pessoas que ninguém podia imaginar, ou seja, do centurião e seus companheiros: “Verdadeiramente, este homem era Filho de Deus”.
Jesus foi abandonado por seus amigos, mas não estava sozinho na cruz nem nunca esteve só em sua missão. Das suas próprias palavras temos este entusiasta testemunho: “Aquele que me enviou está comigo, não me deixou sozinho, pois faço tudo aquilo que lhe agrada” (Jo 8,30). Por isso o “grito” que Mateus coloca na boca de Jesus[2] deve ser refletido sempre em conexão com a sua confiança filial expressa na versão de Lucas, pois assim aconteceu durante toda a sua vida: “Pai, em tuas mãos entrego meu espirito” (Lc 23,46). Caso contrário, negaríamos não somente a sua intima comunhão com o Pai, mas também a fidelidade deste Pai.
O mistério da paixão e morte de Jesus não tem como primeira referência a dor e sofrimento que ele passou, mas o seu grande amor até as últimas consequências. A morte não foi uma imposição, mas uma aceitação voluntária, isto é, livre. Jesus estava consciente de que estava fazendo a coisa certa e por isso a sua paixão é o começo de sua vitória sobre a morte e o pecado, reavivando todas as esperanças dos pobres e de toda a humanidade.
O sofrimento do Filho de Deus nos convida a refletir sobre a dura realidade do sofrimento humano. Assim como Deus respondeu com a ressurreição diante da morte do Filho, podemos concluir que Deus não quer o sofrimento nem a dor para as pessoas. Ele não se “nutre” dessas coisas. Ele não abandona a quem sofre e nem se cala diante do seu sofrimento. Cristo fez suas as dores de todas as pessoas todos os tempos. Ele continua sofrendo em nós quando experimentamos dores e provações da nossa caminhada e nos diz como aos primeiros discípulos: “Alegrai-vos e exultai...” (Mt 5, 12a). Ele sofre com nòs e por nòs para que experimentar a sua alegria.
Portanto, existe dor, mas é uma dor redimida. São João Paulo II dizia: “Não se pode entender a dor humana a não ser no contexto de uma felicidade perdida e não tem sentido a dor a não ser em vista de uma felicidade prometida”. O exemplo de Cristo nos motiva a ser presença eficaz na vida dos que sofrem mais que nós. As cruzes da solidariedade e da compaixão que somos chamados a carregar a cada dia como ele fez, torna o nosso sacrifício também um gesto de amor como participação em sua paixão pela salvação de toda a humanidade.

Fr Ndega


[1] Podemos encontrar os quatro cânticos do Servo do Senhor nas seguintes passagens: o Primeiro cântico está no cap. 42,1-7; o Segundo, no cap. 49, 1-6; o Terceiro, no cap. 50, 4-7; o Quarto no cap. 52,13-53,12.
[2] “Meu Deus, meu Deus, por que me abandonaste”? Este é o versículo 2 do salmo 22. Este não é um grito de desespero, mas uma súplica confiante a Aquele que tem o poder de salvar da morte.

domingo, 5 de abril de 2020

MAANA YA MATESO YA KIBINADAMU



kutafakari juu ya Mt 21,1-11; Is 50,4-7; Waf 2,6-11; Mc 14,1-15,47



       Tunaingia katika wiki muhimu sana kwa Jumuiya za Kikristo. Hii ni wiki inayojumuisha matukio makuu ya imani yetu, ikieleza kwa ishara nyingi na kwa kina vipindi vya mwisho vya maisha ya Yesu ya kibinadamu hapa duniani na kutualika kwa kimya na kutafakari. Hii ni pia nafasi ya kufanya upya ahadi yetu kama wafuasi wa Yesu na kujiruhusu kuimarishwa na mfano wake wa uaminifu na uamuzi.

       Tunaalikwa kumfuata Yesu anayeingia kama mshindi katika Yerusalemu ili kukamilisha kazi yake ya upendo. Kweli, hakuja juu ya farasi kwa kiburi na kwa jeshi yenye nguvu kama walivyofanya majenerali wakiingia mijini, lakini amepanda punda, na kuja kwa wema na rehema kama imetokea wakati wa maisha yake yote. Yesu anajua sana nini itatokea nawe, hata hivyo hakukata tamaa. Kinyume, anaonyesha uhuru wa Mwana mpendwa aliyetumwa kuwaokoa wanadamu. Pamoja na kukumbuka kuingia kwake katika “Mji wa amani”, tunakumbuka pia mateso na kifo chake katika mji huu ulio na mazoea ya kutenda kwa ukatili dhidi ya wajumbe wa Mungu. Hivyo, kifo chake sio hatima, bali ndicho matokeo ya kazi ya kinabii aliyeishi kwa uaminifu hadi upeo.

       Kama tunavyojua, nabii Isaya anatoa nyimbo nne ili kuongea juu ya utambulisho na kazi ya Watu wa Mungu, wanaoitwa pia “Mtumishi wa Mungu.” Nyimbo hizi ziliandikwa wakati wa utumwa wa Babeli nasi tunaweza kuzipata katika sehemu ya pili ya Kitabu cha Isaya. Andiko tunalotumia hapo unafahamika kama ‘wimbo wa tatu’ na kulingana na wimbo huu, mtumishi anaishi wito wake kama zawadi inayotoka kwa Mungu kwa ajili ya kutoa maisha mapya kwa ndugu zake. Kwa sababu ya uaminifu wake, aliaibishwa, alikataliwa na kuteseka sana, lakini hakukata tamaa kwa sababu aliona ukaribu na utunzaji wa Mungu kuyahusu maisha yake.

     Kulingana na Jumuiya za Kikristu Mtumishi huyo ni mfano wa Yesu. Mtakatifu Paulo asema kwamba kwa ajili ya kujiambulisha mwenyewe na hali ya binadamu, Yesu Kristo alijinyenyekeza, akaaibishwa, akateseka na kuuawa maana ya uaminifu wake kwa Mungu. Amini yake ya mwana katika Mungu ndiyo maana ya uaminifu wake. Kwa njia ya kujifanya upole aliupata utukufu. Njia ya unyenyekevu, ya ishara ndogo na ya kuchagua kinachoonekana bila maana kwa jamii ndizo tabia za wale wanaoendelea kazi yake.

      Kulingana na masimulizi ya Marko, Yesu anafikiria kuwa kukamatwa kwake, mateso yake na kifo chake kitakuwa kashfa kwa wanafunzi wake, maana bado walikuwa na mawazo ya Masihi mwenye nguvu na umaarufu. Hata hivyo, aliendelea akisema kuhusu ufufuko wake na baadaye mkutano nao kwenye mahali ambapo yote yalianza, yaani kutoka Galilaya. Kwa Yesu hakuna maonyesho ya upendo kubwa kuliko kutoa maisha yake kwa ajili ya marafiki zake, hata wakati wao wametoroka (isipokuwa wanawake na mwanafunzi mpendwa, kulingana na injili ya Yohane).

     Katika kilio chake, yaani “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”, yeye alionyesha uchungu aliohisi kweli kama mwanadamu, yaani, uchungu wa kuachwa, uchungu wa vitendo viovu, uchungu wa dhambi za binadamu, n.k. Ghafla, wakati yote yalionekana yamefanyika bila mafanikio, tuko na tangazo kubwa la imani kutoka kwa watu wasiotarajiwa, yaani yule akida pamoja na walioandamana naye: “Kweli mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”

      Yesu aliachwa na marafiki zake, lakini yeye hakuwako peke yake msalabani wala wakati wa kazi yake. Maneno yake mwenyewe yanashuhudia kuhusu hayo, yaani “Yule aliyenituma yuko pamoja nami, hakuniacha peke yangu, kwa maana mimi nafanya yanayompenda yeye (Yoh 8.29).” Hivyo “kilio” ambacho Mathayo anaweka mdomoni mwa Yesu kinapaswa kufahamika kwa uhusiano na kujisalimisha kwake mikononi mwa Baba, kulingana na toleo la Luka, iliyo tabia yake daima, yaani “Baba, mikononi mwako naiweka roho yangu (Lk 23,46).” Vinginevyo, tungekuwa kukana sio tu ushirika wake na Baba bali pia uaminifu wa Baba huyo.

      Fumbo la mateso na kifo cha Yesu halionyeshi uchungu kama jambo la kwanza kwa kutafakari bali upendo wake mkubwa hadi upeo. Kifo hakikuwa kulazimishwa kwa Yesu, bali jambo ambalo yeye alikubali kwa hiari. Yesu alijua kwamba alikuwa akifanya jambo sahihi na hivyo mateso yake ni mwanzo wa ushindi wake juu ya mauti na ya dhambi, akifufua matumaini yote ya maskini na ya wanadamu wote.

     Mateso ya Mwana wa Mungu yanatualika kutafakari kuhusu hali ngumu ya mateso ya binadamu. Kama Mungu alijibu kwa ufufuko mbele ya kifo cha Mwanawe, tunaweza kuhitimisha kwamba Mungu hataki mateso na uchungu wa watu. Yeye hawaachi wale wanaoteseka wala hanyamazi mbele ya mateso yao. Kristo alichukua kwa nafsi yake uchungu wa watu wote wa nyakati zote. Yeye anaendelea kuteseka wakati sisi tunahisi maumivu na majaribio katika safari yetu. Mfano wake unatuimarisha tuwe na kuwepo ufanisi maishani mwa watu wanaoteseka zaidi kuliko sisi. Misalaba ya mshikamano na huruma tunayoitwa kuchukua kila siku kama yeye alivyo inafanya kwamba kujitolea kwetu kuwe ishara ya upendo pia kama ushiriki katika mateso yake kwa ajili ya wokovu wa watu wote.

Fr Ndega

EL SENTIDO DE EL DOLOR HUMANO



Reflexión sobre Mt 21,1-11; Is 50,4-7; Fil 2,6-11; Mt 26,14-27,66





Estamos comenzando la semana más importante para la Comunidades cristianas. Es la semana que reúne los eventos centrales de nuestra fe, narrando con mucho simbolismo y profundidad los últimos momentos de Jesús en su existencia terrena e invitando al silencio y a la contemplación. Es una oportunidad también para rever todo nuestro caminar de compromiso con el Señor y dejarnos renovar por su ejemplo de fidelidad y decisión.

Estamos invitados a acompañar a Jesús que entra victorioso en Jerusalén para terminar su obra de amor. De hecho, él no viene montado en un caballo, con arrogancia, ni con un ejército poderoso como hacían los generales al entrar en las ciudades, sino que viene montado en un asno, lleno de bondad y misericordia así como ha sido toda su vida. Jesús es muy consciente de lo que está por sucederle, pero no se deja perturbar. Al contrario, demuestra libertad de Hijo muy amado y enviado para salvar a la humanidad. Mientras recordamos su entrada solemne en la ciudad de la paz, recordamos también su pasión y muerte en esta ciudad que tiene también la fama de actuar de forma violenta contra los enviados de Dios. Por lo tanto, su muerte no es una fatalidad, pero el resultado de una misión profética vivida con fidelidad hasta las últimas consecuencias.

Como sabemos, el profeta Isaías presenta cuatro cánticos para hablar de la identidad misionera del Pueblo de Dios, que es también llamado “Siervo del Señor”.  Estos canticos fueron compuestos durante el exilio de Babilonia y podemos encontrarlos en la segunda parte del libro de Isaías. El texto que estamos usando en esta reflexión es el “tercer cántico” y según dice, el Siervo vive su vocación como un don de Dios para dar nueva vida a sus hermanos y hermanas. A causa de su fidelidad, enfrenta muchas humillaciones, rechazos y sufrimiento, pero no se desanima, sino que se siente acompañado y ayudado por Dios.

Los cristianos ven en este siervo la figura del mismo Jesús. Segun San Paulo, este siervo Jesús en su identificación con la condición humana, acepta ser humillado, ultrajado y muerto por causa de su fidelidad a Dios. Su confianza filial en Dios es la razón de su fidelidad. Por la humillación él encontró el camino de su glorificación. El camino de la humildad, de los pequeños gestos y de la opción por lo que es más insignificante, serán las auténticas señales que identificarán los que continúen su obra.

Según la narración de Mateo, Jesús considera que su prisión, pasión y muerte serán motivo de escándalo para sus discípulos, ya que ellos todavía tenían la mentalidad triunfalista del mesías y Jesús lo sabía muy bien. Por lo tanto, él completa el discurso – como siempre – hablando de la resurrección y retomará con ellos desde donde empezó todo, de Galilea. Para Jesús no existe expresión de amor mayor que dar la vida por los amigos, aunque estos hayan huido (excepto las mujeres y el discípulo amado).

En su grito: “Dios mío, Dios mío, ¿por qué me has abandonado?, él expresó el dolor que realmente sintió como ser humano, esto es, el dolor del abandono, el dolor de los ultrajes, el dolor de los pecados de la humanidad, etc. Y en el momento en que todo parecía haber sido en vano, tenemos la gran profesión de fe de los menos imaginados, a saber, el centurión y sus compañeros: “verdaderamente, este hombre era Hijo de Dios”.

Jesús fue abandonado por sus amigos, pero no estaba solo en la cruz, y nunca estuvo solo en su misión. De sus propias palabras tenemos este entusiasta testimonio: “Aquel que me envió está conmigo, no me dejó solo, yo hago todo aquello que le agrada”. (Jn 8,29). Por eso “el grito” que Mateo pone en la boca de Jesús debe ser reflexionado siempre en conexión con su confianza filial expresa en la versión de Lucas, pues así sucedió durante toda su vida: “Padre, en tus manos entrego mi espíritu” (Lc 23,46). De lo contrario negaríamos no solamente suya intima comunión con el Padre y la fidelidad de este mismo Padre.

El misterio de la pasión y muerte de Jesús no tiene como primer referencia el dolor y sufrimiento que él pasó, sino su gran amor hasta las últimas consecuencias. La muerte no fue una imposición, sino una aceptación voluntaria, esto es, libre. Jesús estaba consciente de que estaba haciendo las cosas bien y por eso su pasión es el comienzo de la suya victoria sobre la muerte e el pecado, reavivando todas las esperanzas de los pobres y de toda la humanidad.

El sufrimiento del Hijo de Dios nos invita a reflexionar sobre la dura realidad del sufrimiento humano. Así como Dios respondió con la resurrección delante de la muerte del Hijo, podemos concluir que Dios no quiere el sufrimiento y el dolor de las personas. No se alimenta de estas cosas. Él no abandona a quien sufre y no se calla delante de su sufrimiento. Cristo hizo suyos los dolores de todas las personas de todos los tiempos trayéndolos sobre sí mismo con su cruz. Él continúa sufriendo en nosotros cuando experimentamos dolores y pruebas en nuestro caminar y nos dice como a los primeros discípulos: "Alegraos y regocijaos..." (Mt 5, 12a). Él sufre para que podamos experimentar la felicidad.  

Por lo tanto, hay dolor, pero esto es redimido. San Juan Pablo II dijo: "No podéis entender el dolor humano, excepto en el contexto de la felicidad perdida; y no hay sentido el dolor, excepto en vista de una felicidad prometida”. El ejemplo de Jesús nos motiva a ser presencia eficaz en la vida de los que sufren más que nosotros. Las cruces de la solidaridad y de la compasión que estamos llamados a cargar cada día, como Jesús lo hizo, vuelve nuestro sacrificio en un gesto de amor también como participación en su pasión por la salvación de toda la humanidad.

Fr Ndega
traducion: Nomade de Dios
Actualización: Fr Ndega

sábado, 4 de abril de 2020

IL SENSO DEL DOLORE UMANO



Riflessione su Is 50,4-7; Fil 2,6-11; Mt 26,14-27,66



Stiamo iniziando la settimana più importante per le Comunità cristiane. Questa è la settimana che mette insieme gli avvenimenti centrali della nostra fede, narrando con molto simbolismo e profondità gli ultimi momenti di Gesù nella sua esistenza terrena e invitando al silenzio e contemplazione. Questa è anche una opportunità per riprendere il nostro cammino di impegno con il Signore e lasciarci rinnovare dal suo esempio di fedeltà e decisione.
Noi siamo invitati ad accompagnare Gesù che entra trionfante in Gerusalemme per concludere la sua opera d’amore. Infatti, egli non viene su un cavallo, con arroganza e con un esercito potente come facevano i generali quando entravano nelle città, ma viene su un asino, pieno di bontà e misericordia come è stata tutta la sua vita. Gesù è consapevole di ciò che gli accadrà ma non si lascia abbattere. Al contrario, dimostra libertà di Figlio molto amato e mandato per salvare l’umanità. Mentre ricordiamo la sua entrata solenne nella città della pace, ricordiamo anche la sua passione e morte in questa città che ha la fama d’agire in forma violenta contro le persone mandate da Dio. Quindi la sua morte, non è una fatalità ma il risultato di una missione profetica vissuta con fedeltà fino in fondo.  
Come sappiamo, il profeta Isaia presenta quattro cantici per parlare della missione e identità del Popolo di Dio, che è anche chiamato “Servo del Signore”. Questi cantici sono stati composti durante l’esilio a Babilonia e li possiamo trovare nella seconda parte del libro di Isaia. Il testo che stiamo usando è il “terzo cantico” e in questo testo, il Servo vive la sua vocazione come un dono di Dio per dare nuova vita ai suoi fratelli / sorelle. A causa della sua fedeltà, deve affrontare molte umiliazioni, rifiuti e sofferenze, ma non si scoraggia, perché si sente accompagnato e aiutato da Dio. In questo Servo, i cristiani vedono la figura dello stesso Gesù.
Secondo l’apostolo Paolo, il Figlio di Dio, nella sua identificazione con la condizione umana, si umilia, accetta di essere maltrattato e ucciso a motivo della sua fedeltà a Dio. La sua fiducia filiale in Dio è la ragione per la sua fedeltà. Nell’umiliazione ha trovato la via per la sua glorificazione. Il cammino di umiltà, dei piccoli gesti e l’opzione per ciò che è più insignificante nella società saranno i segni autentici che identificheranno coloro che continueranno la sua opera.    
Secondo il racconto di Matteo, Gesù considera che il suo arresto, la sua passione e la sua morte saranno scandalo per i suoi discepoli, poiché loro avevano ancora la mentalità di un messia trionfalista e Gesù lo sapeva bene. Tuttavia egli continua il discorso parlando della risurrezione e dell’incontro che avrà poi con loro, là dove tutto è cominciato, cioè, dalla Galilea. Per Gesù non c’è più grande espressione di amore che quella di dare la vita per i suoi amici, anche se sono fuggiti (eccetto le donne e il discepolo prediletto, secondo il vangelo di Giovanni).
Nel suo grido: “Dio mio, Dio mio, perché mi hai abbandonato”, Gesù ha espresso il dolore che davvero ha sentito come un essere umano, vale a dire, il dolore dell’abbandono, il dolore di oltraggi, il dolore dei peccati dell’umanità. E nel momento in cui tutto sembra essere stato inutile, ecco la grande professione di fede, dalla bocca di colui che meno ci si immaginava, vale a dire, il centurione romano e suoi compagni: “Davvero costui era Figlio di Dio”. Gesù è stato eloquente anche durante la sua morte.
Gesù è stato abbandonato dai suoi amici, ma lui non era solo sulla croce e mai è stato da solo nella sua missione. Viene dalle sue parole questa testimonianza: “Colui che mi ha mandato è con me, non mi ha lasciato solo, perché io faccio tutto ciò che gli piace” (Gv 8,30). Così il “grido” che Matteo mette in bocca a Gesù deve essere sempre messo in relazione con la sua fiducia filiale espressa nella versione di Luca, perché così è successo durante tutta la sua vita, vale a dire: “Padre, nelle tue mani consegno il mio spirito” (Lc 23,46). In caso contrario, sarebbe negata non solo la sua intima comunione con il Padre ma anche la fedeltà di questo Padre.
Il mistero della passione e morte di Gesù non ha come primo riferimento il dolore e la sofferenza che egli ha vissuto, ma il suo grande amore fino alla fine. La morte non fu un’imposizione, ma un’accettazione volontaria, cioè libera. Gesù era consapevole che stava facendo la cosa giusta, e così la sua passione è l’inizio della sua vittoria sulla morte e sul peccato, facendo rivivere tutte le speranze dei poveri e di tutta l’umanità.
La sofferenza del Figlio di Dio ci invita a riflettere sulla dura realtà della sofferenza umana. Siccome Dio ha risposto con la risurrezione alla morte del Figlio, possiamo concludere che Dio non vuole la sofferenza e il dolore delle persone. Egli non abbandona coloro che soffrono e non tace di fronte alla loro sofferenza. Cristo ha fatto propri i dolori di tutte le persone di tutti i tempi portandoli su di sé con la sua croce. Egli continua a soffrire in noi quando sperimentiamo il dolore e le prove nel nostro cammino e ci dice come ai primi discepoli: “Rallegratevi ed esultate…” (Mt 5, 12a). Egli soffre con noi e per noi affinché possiamo sperimentare la sua gioia.
Quindi, c’è il dolore ma è redento. Diceva San Giovanni Paolo II: “Non si può capire il dolore umano, se non nel contesto di una felicità perduta; e non ha senso il dolore, se non in vista di una felicità promessa”. L’esempio di Cristo ci spinge ad essere effettiva presenza nella vita di coloro che soffrono di più di noi. Le Croci di solidarietà e di compassione che siamo chiamati a portare ogni giorno come egli ha fatto, rende il nostro sacrificio anche un atto d'amore come partecipazione nella sua passione per la salvezza di tutta l’umanità.

Fr Ndega 
Revisione dell'italiano: Giusi


THE MEANING OF HUMAN SORROW



Reflection on Mt 21,1-11; Is 50: 4-7; Fil 2.6-11; Mt 26,14-27,66



       We are starting the most important week for Christian communities. It is the week that brings the central events of our faith together. It narrates with much symbolism and depth the last moments of Jesus in his earthly existence and invite to silence and contemplation. It is also an opportunity for us to review our whole journey of commitment with the Lord and to be renewed by his example of faithfulness and decision.

       We are invited to accompany Jesus who enters Jerusalem City victorious to complete his work of love. In fact, he does not come on horseback with arrogance and with a mighty army as the generals used to do when entering the cities, but he is mounted on a donkey, full of kindness and mercy, as he has been during all his life. Jesus is very aware of what is about to happen to him, but he does not let himself be discouraged. On the contrary, he shows freedom of Son very loved and sent to save the humanity. As we recall his solemn entry into the “City of peace”, we also remember his passion and death in this city, which has the reputation of acting violently against the messengers of God. Therefore, his death is not a fatality, but the result of a prophetic mission lived with fidelity to the last consequences.

      As we know, the prophet Isaiah presents four poems to speak about the identity and mission of the People of God, who is also called “Servant of the Lord”. These poems were composed during the exile in Babylon and we can find them in the second part of the Book of Isaiah. The text we are using here is the ‘third poem’ and according to this one, the Servant lives his vocation as a gift of God to give new life to his brothers and sisters. Because of his faithfulness, he faces many humiliations, rejection and suffering, but he does not become discouraged because he feels himself accompanied and helped by God.

       The Christians Communities consider this Servant a figure of Jesus. According to Saint Paul, in his identification with the human condition, Jesus accepts to be humiliated, outraged and dead because of his fidelity to God. His filial trust in God is the reason for his faithfulness. Through humiliation, he found the way to his glorification. The way of humility, of small gestures, and the option for what is most insignificant in the society are the authentic signs that identify those who should continue his work over the world.

        According to the narration of Matthew, Jesus considers that his imprisonment, passion and death would cause scandal to his disciples, because they still had the triumphalist mentality of messiah. However, he completes the discourse - as usual - speaking about the resurrection and the new meeting with them after this event in the place from where everything began, that is, from Galilee. For Jesus there is no expression of love greater than to give the life for the sake of the friends, even when they run away (except some women and the beloved disciple in the John’s version).

       In his cry, “My God, my God, why have you forsaken me?” He expressed the sorrow that he truly felt as a human being, that is, the sorrow of abandonment, the sorrow of outrages, the sorrow of humankind’s sins, etc. Then, when everything seemed to have been done in vain, we have the great profession of faith from the mouth of those less imagined, that is, the Roman centurion and his companions:  “In truth this man was son of God.” Jesus was eloquent even during his death.

        Jesus was abandoned by his friends, but he was not alone on the cross nor was alone also during his mission. From his own words, we have this enthusiastic testimony: “He who sent me is with me, and has not left me to myself, for I always do what pleases him” (Jn 8:29). That is why the “cry” that Matthew places in the mouth of Jesus must always be reflected in connection with his filial confidence expressed in Luke’s version, for it happened throughout his life: “Father, into your hands I commit my spirit” (Lk 23, 46). Otherwise, we would deny not only his intimate communion with the Father but also the fidelity of this Father.

        The mystery of the passion and death of Jesus does not have the sorrow and suffering that he experienced as first reference, but his great love to the last consequences. Death was not an imposition, but a voluntary acceptance, that is, he accepted it freely. Jesus was aware that he was doing the right thing and so his passion is the beginning of his victory over death and sin, reviving all the hopes of the poor and of all humanity.

     The suffering of the Son of God invites us to reflect on the harsh reality of human suffering. Just as God responded with the resurrection before the death of the Son, we can conclude that God does not want the suffering and the sorrow of the people. He doesn’t feed himself of these things. He does not forsake those who suffer nor is silent before their suffering. Christ made his own the sorrow of all people of all the times by bringing them upon himself with his cross. He continues to suffer in us when we experience sorrow and trials in our journey and tell us as to the first disciples: “Rejoice and be glad...” (Mt 5, 12a). He suffers so that we can experience joy.

     So, there is sorrow but it is redeemed. St. John Paul II said: “One cannot understand human sorrow, except in the context of lost happiness; and there is no sense the sorrow, except in view of a promised happiness.” The example of Christ motivates us to be an effective presence in the lives of those who suffer more than we do. The crosses of solidarity and compassion that we are called to carry every day as he did, makes also our sacrifice a gesture of love as participation in his passion for the salvation of all mankind.

Fr Ndega