quarta-feira, 10 de setembro de 2014

KUHUSU NCHI YANGU BRAZIL




            Brazil ni nchi kubwa zaidi katika Latin Amerika na ni ya sita uchumi kubwa wa Ulimwengu. Lakini inashika mahali themanini na nne wa dunia katika kukuza mwanadamu. Brazil inamilika Majimbo 26 na Wilaya ya Shirikisho moja.  Majimbo yamesambazwa katika mikoa mi tano: Kaskazini, Kaskazini-Mashariki, Mashariki, Kusini na Magharibi-Yakati. Nchi hiyo ina msitu mkubwa na mto mkubwa katika Ulimwengu. Mwaka wa elfu mbili kumi na tatu idadi ya wakazi wa Brazil ilikuwa watu 200,674,130. Kutoka kiasi hicho, Watu Weusi walikuwa 106,000,000, weupe walikuwa 91,000,000, Watu Asia walikuwa milioni 2 na Wahindi walikuwa 896,900.  
            Kuhusu dini, Brazil ina karibu sana dini zote za ulimwengu. Lakini watu wengi ni wakristu (90%): Wakatoliki ni 73% na Waprotestanti ni 17%. Wabrazil wanapenda sana sikukuu. Sikukuu zaidi maarufu ni Kanivali za mchezo wa mpira. Ingawa wanapenda mchezo wa mpira, mchezo wa mfano hasa ni “Capoeira”.  Sahani ya taifa ya Brazil ni “Feijoada”, kwamba inafanywa kwa maharage na nyama ya nguruwe. Kuhusu siasa, Brazil inatawalwa na mwanamke anaitwa Dilma Rousseff ambaye amefanya kazi kizuri. Katika jamii, Nchi yangu ina matatizo mengi: usawa wa vijamii, ukatili wa kijana, trafiki ya madawa ya kuleya, asili janga, nk.  Lakini ninaipenda Nch hiyo.

Fr. Ndega
Mapitio: Mwalimu Patrick
           
                       

Nenhum comentário: