segunda-feira, 26 de maio de 2014

KUISHI NA KUSHUHUDIA IMANI NDANI YA JAMII




Ufunuo katika kitabu cha yohana 20,19-31

Mungu alitupa uwezo wa utu na kuishi kwa jamii kwa uzuri wetu, na mafanikio. Kulingana na kitabu cha mwanzo, “si vizuri kwa binadaamu kuwa peke yake [mwanzo 2,18].” Sisi ni wabinafsi, lakini tuna uhusiano na wenzetu.Tukikua katika ubinafsi, ubinafsi wenyewe unajitokeza ambapo ni hatari sana kwa maisha ya jamii, kwa sababu mtu mbinafsi anaishi kana kwamba jamii haipo. Kuvuruga uhusiano baina ya watu katika wanajumuia. Kutokana na ubinafsi, uovu mwingi hutokea. Kiafrica inaaminika kuwa ujuzi wa jamii unapaswa kuwa katikati ya maisha ya binadamu na bila jamii maisha inapoteza maana. Hali hii ni ya kweli tukihusisha  jamii, lakini ikilinganishwa na ecclesia jamii-upana wa familia zetu kijamii. Ni katika namna hii ndiposa kuangazia kuhusu kwa jamii ujuzi wa imani kama ushuhuda wa ufufuko wa yesu kristu.
Hapo baadaye kufungwa, kuteswa na kufa kwa yesu, jamii ya wafwasi wake walionekana kusahau yote walioyapitia na kiongozi wao  kama vile, kukaribisha, umoja, kiinua mgongo, Kwanza kutafuta ufalme wa Mungu. Kujihusisha na unabii kwa mapendeleo ya maisha, urahisi wa maisha na kujitoa, kusamehe bila kipimo, kugeuza matakwa yao kama yale ya mungu.Kabla ya hayo yote, wafwasi wa yesu waliamua “kufunga milango,” kwa ajili ya woga. Lakini yesu hatawaacha atakaa nao. Haswa wakati ule woga waondoa raha kwa wanaoishi. 
Ukweli ni kuwa mambo mengi yatufanya tuhisi woga kama vile, vita, ugaidi na vitisho kadha kutokana na kuishi, woga watuzuia kuishi imani yetu kikweli na twapaswa kuwa washuhuda wa kweli. Kwa hiyo twatambua umuhimu wa kuishi katika jamii. Kwa muungano wa wenzetu na vitendo vya mungu kuonekana ndani yetu, twaeza epukana na woga wetu wote na kukubali furaha na kihakika kitu cha muhimu ni kuzidisha amani na upatanisho baina ya watu. Lakini kama hatuna mwelekeo mvuri ndani ya jamii tutakuwa na ugumu kuwa washuhuda kwa maana mtu hushuhudia kile amepitia.
Jamii ya kwanza iliamini kuishi kwa imani kusaidia na kujitolea kulikuwa kunaleta utofauti. Na kwa hivyo walijulikana kwa hakika ushuhuda wa imani kwa jamii: “ona jinsi wanavyopendana,” kwa hivyo ilisemekana, Ni dhahiri kuwa ujuaji wa imani ni uamuzi wa kibinafsi, lakini inahusika na kanisa la kiiristo ukubwa, “Kwa sababu imani ya kanisa tangulia, dokezo na kustari imani yetu. Kwa hivyo twajua hatuko peke yetu na safari yetu ya imani ni matokeo ya urefu na ukomavu njia. Yatukumbusha  wazazi wetu, mafundisho, padre, mandugu na madada watakatifu na watu wengi waliopitia maisha yetu na.

Fr. Ndega
Translation: Benadert Oda (Kenya)

Nenhum comentário: